soma vizuri thread,
kinachozunguzwa ni jinsi ya kupata takwimu za mwendo wa gari(basi),suala la takwimu hizo zitafanyiwa kazi vipi,"is another square"
Mkuu na sisi tunaofanya jogging unaweza itumia kufuatilia mwendo? Kama inawezekana unaitumiaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
soma vizuri thread,
kinachozunguzwa ni jinsi ya kupata takwimu za mwendo wa gari(basi),suala la takwimu hizo zitafanyiwa kazi vipi,"is another square"
Hili ndilo tatizo letu na umeandika sawa kabisa na maamuzi mengi ambayo hufanyika nchini. Kwanza hakuna mtu anayejua hizi ajali zinasababishwa na nini? tunakisia tu kuwa sababu ni madereva wabaya lakini hakuna uchunguzi ulofanyika kwa kila ajali.''Kutokana na ajali za barabarani ambazo watalawa kama vile wameshindwa kusimamia au kuchukua hatua za dharura kunusuru maisha ya watu ambayo yanapotea kila siku; Ningekuwa kiongozi ningesema haya yafuatayo:
''Sitaki kusikia ajali zinatokea, hivyo basi kamanda wa usalaama barabani wa eneo usika (eneo la ajali), mkuu wa wilaya wa eneo n.k , barua zao ziko tayari kufukuzwa kazi kama hayo yatatokea katika eneo lao ikiambatana na kutunga sheria ya kufungwa kwa miaka 3 jela kushindwa kuweka mikakati ya kuzuia ajali''
MATOKEO:Wakuu hao wataweka mitakati ya kudhibiti ajari, hutasikia ajari za hovyo ovyo.
2.Kama wauzaji wa madawa ya kuleya wamewekewa sheria kali,kwa nini madereva na wamiliki wa kampuni ya usafirishaji yasiwekewe sheria kali.
Mfano🙁a)ikithibitika ni uzembe wa dereva;Dereva akisababisha ajari atalipa fidia ya sh TZS 10 billion Na kifungo cha maisha jela
(b) Wamiliki wa mabasi hayo pia watalipa fidia ya TZS 10 billion na kufungiwa kufanya shughuli za usafirishaji kwa miaka isiopungua 5
3.Serikali kufuta vyuo vya mitaani ambavyo havina sifa za kufundisha udereva.
Je kama haya yakisimamiwa kutakuwa na ajari barabari
WADAU TUJADILI
Mkuu na sisi tunaofanya jogging unaweza itumia kufuatilia mwendo? Kama inawezekana unaitumiaje?
Tufanye sasa tayari sheria ulizoziainisha zimepitishwa halafu mimi ndo kamanda usalama barabarani mathalani Dodoma.
1.Ikibainika dereva wa basi alikuwa speed inayozidi 40km/hr abiria mtaumia aisee mtakula bakora za kutosha na dereva ananyang'anywa leseni.Dar-Mza siku mbili.
2.Dereva akibainika amelewa,anaswekwa lupango miaka mitano(hakuna msamaha wa rais) na kufanyishwa kazi ngumu.
3.Ikitokea ajali na watu wakapoteza maisha,mmiliki wa hicho chombo atapaswa kuwalipa fidia(actually kifuta machozi) 80mil kila marehemu na 200mil kwa majeruhi wenye ulemavu wa kudumu kama kisababishi cha ajali ni ubovu wa chombo au uzembe.
4.Kama chanzo cha ajali ni ubovu wa chombo basi dereva,makenika,mmiliki watakuwa answerable NB hizi kesi haziendi mahakamani ni kitengo kinakuwepo maalumu kwa ajili ya ajali.
5.Mabasi yote na malori ya usafirishaji hayataruhusiwa kuwa barabarani yakitembea 300,000km
6.Madereva wa malori na mabasi wawe na elimu ya kidato cha sita na kuendelea na lazima awe na uzoefu wa 10yrs bila ajali ndo akabidhiwe gari kwengine.
7.Bodaboda akipata ajali kama abiria hajafa basi anapewa yeye hiyo pikipiki na unamlipa fidia na bakora unakula.
8.Basi likifika stendi kabla ya mda uliopangwa abiria mnatoa maelezo na bakora juu.
Nitaendelea.......
Jawabu ni Smart phone
Huawei Ascend Y530,download application iitwayo "My tracks"- controller akae siti yoyote ya BASI,safari ianze.
Speed,umbali, vyoote vitaonyeshwa na muda uliotumika kituo hadi kituo!
Mahitaji:-
1)smartphone kama iliyotajwa hapo juu au iliyo bora zaidi.
2)mtu(operator) wa simu hiyo
3)power bank(chargers)
4)My track(application) haihitaji mtandao wa simu ila smartphone iwe na line ya sim(sim card)
Utaratibu
Smartphone ikaguliwe na RTO au wakala wake!
Dereva asini kuwa smartphone yenye IMME 12345678... Ndiyo itakayo record mwendo wa basi lake kwa siku hiyo!
Kama una mawazo bora zaidi changia
hii hatua ni ndogo sana lakini ni nzuri pia kama ikifanyiwa kazi kwani hata kama itapunguza vifo vya watu wawili tanzania nzima bado inafaa sana.
ukichunguza kwa makini hata kwa kuangalia taarifa ya habari basi kila ajali inayotokea wakati abiria wanaulizwa utasikia ni mwendo kasi,swali je ni kwa nini mwendo kasi?mwendo kasi huo unasababishwa na nini?
tukirejea malalamiko ya madereva wa mabasi ya mkoa utaambiwa mambo mengi sana.
mfano ni kitambo sasa madereva wanalalamika kuto kuajiriwa badala yake wao ni vibarua tu.wizara husika iko kimya kama haiwasikii hivi
ukijiuliza kwa nini madereva wakimbize magari hapa ndipo utapata sababu nyingi sana kama zifuatazo.
1-barabara zimejaa matuta kibao yani utafikiri sio barabara za masafa marefu(mfamo barabara ya dar-arusha) dereva inabidi atembee polepole huko kwenye hayo matuta na ukiongeza na mashimo yaliopo kwenye baadhi ya maeneo unakuta eneo la kutumia nusu saa katumia masaa mawili halafu bado unamshauri akikuta eneo liko sawia asikimbize gari huo mda aliopoteza huko kwenye matuta na mashimo ataufidia saa ngapi?
2-utitiri wa matrafki wenye vitochi nao unachangia sana ajali kutokea,yani unakuta trafki katega mahali na kitochi chake sasa derevaakifika pale anapunguza mwendo ili kumzuga akisha mpita gari inakua ndege.lakini kabla hajafika mbali anakutana na trafki mwingine tena kwa hiyo inabidi azuge tena na mwendo wa kuzuga unaendelea mpaka afike anakokwenda.
3-uelewa mdogo wa abiria na watanzania wengi kwa ujumla juu ya sheria za barabarani.unakuta gari limeharbika sehemu ya hatari kabisa mfano kwenye kona,watu wanaweka majani na kugeuza eneo hilo ndio gereji tena hata kwa zaidi ya masaa matano bila kuliondoa hapo.sasa hata kama ni basi linatoka kwa mwendo wa kawaida bado hatari ya ajali itakuepo tu.
kwa watanzania kutokua na uelewa juu ya sheria za barabarani ni tatizo kubwa sana we angalia mtu akigongwa inakuaje,yani hatakama huyo aliegongwa ndio mwenye matatizo bado usalama wa dereva utakua mdogo kwani kama atasimama hapo ni lazima apigwe tu
hayo hapo juu ni machache sana ila yapo mengi sana kama madereva watasikilizwa naamini ajali zitaisha kabisa.
Kwani ni Ajali zote huwa zinasababishwa na mwendokasi?? Vipi kuhusu umakini wa dereva barabarani??
Ku-overtake kwenye kona au mlima, ku-overtake magari zaidi ya mawili kwa mpigo tena yote yakiwa kwenye mwendokasi, service za mabasi yenyewe lakini pia wakati mwingine ni uzembe tu wa madereva wengine kwa mfano ile ajali iliyosababishwa na Passo hivi majuzi..
huawei haiwezi kuzuia kontena kudodokea juu ya basi, au kuna app ya container skipping??
Barbara zimefinya kuanzia januari?
Jawabu ni Smart phone
Smartphone ikaguliwe na RTO au wakala wake!
Dereva asini kuwa smartphone yenye IMME 12345678... Ndiyo itakayo record mwendo wa basi lake kwa siku hiyo!
Kama una mawazo bora zaidi changia