Ajali ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Austria ichunguzwe

Ajali ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Austria ichunguzwe

Natoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.

Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.

Naomba kuwasilisha.
Nilishasema kwenye ile taarifa ya kifo kuwa kuna walakini kwenye umauti wake na taarifa ya siku hiyo hiyo kuwa amefukuzwa Austria kwa tuhuma za ubakaji.

Seems cleansing imejiri na kwa sababu tumeamua kucompromise na katiba iliyopo ambapo viatu wamekuwa wavaaji viatu hivyo wakishughulikiana wanapovuka mstari inatuachia sisi wakuja sintofahamu nene
 
Ubakaji+crown (safari ya usiku)+ajali+kuungua=kifo. Alafu identification ni chain ya shingoni na nguo ya marehemu (ukumbuke aliungua)?????!!!!
 
Kwanini watu wanahoji eti kwanini aendeshe Crown?
Ingekuwa mkokoteni sawa sasa walitegemea aendeshe nini sielewi kabisa

Watu mnapangia maisha ya mtu mbona Rais masikini duniani alikuwa na vw iliyochoka?
Maisha ya mtu ni yake na mpaka wengine huwa wana double life so what
Hujui kuwa ni Bongo pekee duniani ndipo kuna magari ya kike na kiume, amka Ndugu [emoji848][emoji4]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Att
Ajali ya Toyota Crown t.175dmf imetokea mkata dereva ni mwanamke amefariki papo hapo
, umiliki wa gari ni Celestine Joseph Mushy

Sambaza kwenye
magroup kadri uwezavyo ili ndugu wapate taarifa
toka 0652003003
Hapa ndo nilichoka, why waseme dereva ni mwanamke?
 
Nimemsikia Mkuu wa Wilaya ya Handeni Nchembe anasema kuwa walifika wakakuta hatambuliki.

Shemeji yake anadai kuwa waliona cheni ndo wakajua ni yeye

Hii kitu ina mambo mengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hiyo ajali ni ile nliyoshuhudia na kama ni yeye alifariki katika hiyo ajali, hakuna ambaye angeweza kumtambua mda ule hata baada ya 24 hours.

Ajali ilikuwa ni mbaya sana tulishindwa kulitambua gari lenyewe .!
Aligonga nini hadi kuchakaa hivyo
 
Balozi kafa kwenye crown inashangaza kweli. Kweli balozi asafiri mwenyewe ata machawa chawa wa bongo akose. Sijui ila inaleta ukakasi
Kuna mengi ya kujiuliza
  1. Kafukuzwa huko isisikike duniani
  2. Amefika nchini kwake kimyakimya
  3. Mteuzi wake kakaa kimya
  4. Nyumbani aliondokaje peke yake
  5. Je hawawezi kufuatilia mawasiliano yake ya simu kabla hajafa?
 
Gari yake iligongana uso kwa uso na Lory kutoka kampuni ya Mahit sijui ( sikumbuki jina vizuri ) ilikua inatokea Tanga, ile impact ilifanya gari yake ilipuke hapo hapo, Lory ilidondoka na cabin yote iliungua Moto

Aliyekua kwa gari ndogo ndio aliingia upande wa Lory, kuna uwezekano dereva alisinzia au labda alikua kalewa, kwa ile impact yaan hata kama isingeungua bado asingepona
Ujue wenye nchi wakitaka pasiwe na maswali wanakuletea tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom