Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishasema kwenye ile taarifa ya kifo kuwa kuna walakini kwenye umauti wake na taarifa ya siku hiyo hiyo kuwa amefukuzwa Austria kwa tuhuma za ubakaji.Natoa wito kwa Mamlaka huru kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mtu anayejulikana kwa jina la Celestine Mushi, ambaye inadaiwa amefariki kwa ajali, lakini Mwili wake umekutwa umeungua.
Zipo tetesi kwamba Balozi huyu alikwishafukuzwa nchini Austria kwa tuhuma za Ubakaji, sasa hizi tuhuma na hiyo ajali, na Mwili kukutwa umeungua, yanahitaji Ufafanuzi wa kina.
Naomba kuwasilisha.
Umafia wa Juju,au Game ndani ya Game..Kipande kile mkata kuendelea kuna umafia mwingi sana.....
Ukipata ajali ukipona kachinje ngombe au mbuzi
Ova
Kwa nature yako lazima useme ulichosema...bado sijashawishika kwamba alitengenezewa ajali.
..naamini ni ajali ya kawaida ambayo ingeweza kumtokea mtu yeyote.
Mangi tulia bana. Jamaa yetu katangulia dah!Boss sema neno basi mtalamu wetu
Jamaa wa pale Kibosho Road. DahMangi tulia bana. Jamaa yetu katangulia dah!
Ndo zipi kwa hapa Tanzania?Mamlaka huru
Game ndani ya game,njia ile ukipata ajali ukitoka umepona kachinje ngombeUmafia wa Juju,au Game ndani ya Game..
Hujui kuwa ni Bongo pekee duniani ndipo kuna magari ya kike na kiume, amka Ndugu [emoji848][emoji4]Kwanini watu wanahoji eti kwanini aendeshe Crown?
Ingekuwa mkokoteni sawa sasa walitegemea aendeshe nini sielewi kabisa
Watu mnapangia maisha ya mtu mbona Rais masikini duniani alikuwa na vw iliyochoka?
Maisha ya mtu ni yake na mpaka wengine huwa wana double life so what
Hapa ndo nilichoka, why waseme dereva ni mwanamke?Att
Ajali ya Toyota Crown t.175dmf imetokea mkata dereva ni mwanamke amefariki papo hapo, umiliki wa gari ni Celestine Joseph Mushy
Sambaza kwenye magroup kadri uwezavyo ili ndugu wapate taarifa
toka 0652003003
Pakoje hapo jomba hebu donoa kidogo,itatusaidia sisi wapinga dhulma kabla hatujakatiza ukanda huoKipande kile mkata kuendelea kuna umafia mwingi sana.....
Ukipata ajali ukipona kachinje ngombe au mbuzi
Ova
Aligonga nini hadi kuchakaa hivyoKama hiyo ajali ni ile nliyoshuhudia na kama ni yeye alifariki katika hiyo ajali, hakuna ambaye angeweza kumtambua mda ule hata baada ya 24 hours.
Ajali ilikuwa ni mbaya sana tulishindwa kulitambua gari lenyewe .!
Kwamba serikali hawakujua Balozi yuko wapi kwa siku 2Balozi anafariki Jumanne usiku,taarifa za kifo zinatoewa Alhamisi, ?
Familia/Serikali hawakuwa na taarifa kuhusu hiyo safari yake??
Kuna mengi ya kujiulizaBalozi kafa kwenye crown inashangaza kweli. Kweli balozi asafiri mwenyewe ata machawa chawa wa bongo akose. Sijui ila inaleta ukakasi
Ujue wenye nchi wakitaka pasiwe na maswali wanakuletea tuGari yake iligongana uso kwa uso na Lory kutoka kampuni ya Mahit sijui ( sikumbuki jina vizuri ) ilikua inatokea Tanga, ile impact ilifanya gari yake ilipuke hapo hapo, Lory ilidondoka na cabin yote iliungua Moto
Aliyekua kwa gari ndogo ndio aliingia upande wa Lory, kuna uwezekano dereva alisinzia au labda alikua kalewa, kwa ile impact yaan hata kama isingeungua bado asingepona
Kuna jambo ila si kila jambo lazima niliseme CCM Chama Imara tudumishe amani nchini ndo kitu cha msingi