Yeeeuwiiii jamani poleni sana... Allah ampe subira kaka yako... anapitia kipito kigumu mno.. ampe nguvuAsante sana ndugu yangu. Acha tu ni Kama ndoto ambayo tunaomba tuamke usingizini tukute sio kweli. Kaka Presha imepanda kaanguka yuko hospital hajaamka mpaka sasa. Amezika MKE wake mwezi wa pili mwaka huu.
Katika hali kama hiyo Brother anahtaji mtu wa karibu kuweza kuhimili hali hii, nenda ndugu yangu na Mungu akutangulie.Asante sana mkuu. Ndio maana nimesafiri mara tu nilipopata taarifa. Ndugu zangu wengine bado hawaamini na hawataki kuamini. Kaka alikuwa na watoto hao hao ndio walikuwa wanampa faraja baada ya mke wake kuitwa na Mungu mwezi wa pili mwaka huu.
Dah pole sana Mkuu inasikitisha sana jamani Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumuAsante sana ndugu yangu. Acha tu ni Kama ndoto ambayo tunaomba tuamke usingizini tukute sio kweli. Kaka Presha imepanda kaanguka yuko hospital hajaamka mpaka sasa. Amezika MKE wake mwezi wa pili mwaka huu.
Mwendo kasi na Ugeni wa Njia kwa dereva, eneo lenyewe lina Mtelemko Mkali + Plus mvua ilikuwa inanyesha na kuna ukungu mwingi so inaonesha gari lilimshinda alishindwa kumudu kona na mtelemko mkali likatoka barabarani kuelekea bondeni.Chanzo cha ajali tafadhali
Asante sana ndugu.Yeeeuwiiii jamani poleni sana... Allah ampe subira kaka yako... anapitia kipito kigumu mno.. ampe nguvu
Jamai em someni habari vizuri... amesema ilikua na abiria 30 jumla... chaaaHaya mambo ndio huwa tunayaongea kila siku
Watanzania tubadilike tufuate sheria
Kosta inabebaje 50!!
Basi kubwa tu ni 60
Amen ndugu yangu. Mungu ni mwema.Katika hali kama hiyo Brother anahtaji mtu wa karibu kuweza kuhimili hali hii, nenda ndugu yangu na Mungu akutangulie.
Asante sana mkuu.Dah pole sana Mkuu inasikitisha sana jamani Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu