Saidy Hamidu
Senior Member
- Mar 9, 2017
- 147
- 128
Mungu awape mapumzko mema huko walipo kiukweli kuhusu wazazi wapo katika wakati mgumu sana ni ajali mbaya sana sana.jamani watoto .. unaweza kuta ni wa darasa moja jamani wazazi wao wapo kwenye hali gani....wapumzike kwa amani duh