Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana kkNiko njiani kuelekea Arusha. Nimefiwa na watoto wa kaka yangu wawili katika hiyo ajali. Mungu atupatie wepesi.
Saaaaana So Sad, hasa watoto daaaa eeeeee mungu. WHY THIS pengine wengine wangekuwa PresidaaHabari mbaya sana hii
Asante sana ndugu yangu. Acha tu ni Kama ndoto ambayo tunaomba tuamke usingizini tukute sio kweli. Kaka Presha imepanda kaanguka yuko hospital hajaamka mpaka sasa. Amezika MKE wake mwezi wa pili mwaka huu.Pole sana mkuu. Tunaomba Mungu akupe nguvu kwenye kipindi hiki kigumu.
kweli. asante. hata mimi mwanzo nilidhani utani.
alafu hata haijaumia Sana. vifo vingine vina utata sanaHiyo gari ilivyo sio ya kuuwa wote hao... Kuna ushetani tu hapo
Pole sana mkuuNiko njiani kuelekea Arusha. Nimefiwa na watoto wa kaka yangu wawili katika hiyo ajali. Mungu atupatie wepesi.
Asante sana ndugu yangu.Pole sana kk
Daaah Mungu akutangulie aiseePole sana mkuu. Tunaomba Mungu akupe nguvu kwenye kipindi hiki kigumu.
Mmmh nakosa hat la kusema jamnHiyo gari ilivyo sio ya kuuwa wote hao... Kuna ushetani tu hapo
Nipo kwenye Bus hapa nasafiri
Nimesoma hii habari ya ajali dah imeniuma sana kwa kweli yaani sina hata amani muda huu.
Maana hizo picha za wanafunzi zinaumiza kuziangalia jamani
Yaani hii habari imenichanganya kwa kweli
Kichwa kimeanza kuniuma na machozi yananitoka aiseeeee!!
Kuna abiria mwenzangu nimekaa nae hapa siti moja kaniuliza kaka vipi mbona umeanza kulia tena au unaumwa?
Nimemuonyesha picha za ajali kaanza kulia na yeye.
Wapendwa wana Jf hii ajali inasikitisha na kuhudhunisha sana pale ukianza kufikilia wazazi/walezi wa hawa watoto.
Mkuu yaani acha tu, kuna ajali nyingine ilitokea mbeya sehemu inaitwa songwe, watu walipitiwa na train walikuwa wamekaa kwenye mkutono wa dini maspeaker yalikuwa makubwa hawakusukia!! Cha ajabu hakukuwa na damuAjari kama hizo ni za kutatanisha tena arusha usiseme. 2012 pale makumira ukitoka chuo pale darajani kabla hujafika usa ilikuwa ni asubuhi mapema basi la ngorika na haice kuelekea dar lilitafuna watu sijawahi kuona almost wote walikufa tulivyofika mda huo huo police wanatoa maiti zilizokuwa kama nyama buchani hapakuwepo na damu hata kidogo.
Yule dereva alikufa vibaya sitosahau alivyokuwa anapiga kelele ajari ilikuwa ni asubuhi saa 1 hadi saa 4 asubuhi gari la kuvuta basi lilikuwa halijafika. Chuo kizima tulikwenda kuvuta ile basi walau dereva aokoke, tulivuta tukashindwa konda alioloka alikuwa anapiga kelele akimuita kwa jina chilo chiloo nakufaaa, mida ya saa nne na nusu gari la kunyanyua basi likafika likaanza kuvuta amenatia kwenye vyuma mara kunyanyua tu juu gafla likarudi chini likammalizia tulisogea karibu ila hakukua na damu jamani sijui kwann.
Wapumzike kwa amani.
Sasa safari hiyo ukute hawana kibali. Shule itakuwa matatani. Vijipesa hivi walimu tuangalie coster ni watu 25.unaweka zaidi YA 30 shídaa
Devil is at work...alafu hata haijaumia Sana. vifo vingine vina utata sana