Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Toka nimepata hii tarifa sijielewi kabisa....imenitoa mood kabisa. Mungu pekee awe Faraja kwa familia zote za wafiwa!
 
Walimu Acheni tamaa na wakuu wa shule huko ni kujitafutia pesa haramu magari mabovu c ajabu hata. Vibari hamna Fuatili saana hilo Unajua ilikuwa ni tamaa YA pesa je kwenye kalenda yao YA shule hiyo ziara ipo?
KAMATI YA shule Afsa Elimu wilaya mkoa wanajua feki tupu ndio Maana coster watu 25lakinizaidi YA 35Sumatra kibali kipo? Njiani trafic hawapo kujaza kote huko
 
Huyu afisa wa wilaya ni bomu la kutupwa, kibali kingesaidia nini, tuwaombee wafiwa wote, kwa kweli inatia huruma Sana RIP
 
Habari mbaya sana, poleni wazazi mm ni mmoja wa wazazi ambaye sipendi kabisa vi trip vya pamoja iwe ni kwa watu wazima au watoto i prefer private transport
Hoja yako haina msingi, watoto kwa kusafiri pamoja hilo peke yake ni somo kuna mengi wanajifunza wanapokuwa pamoja, na pia zingatia kuwa hiyo ni ziara ya kimasomo.
Mungu awapokee kwa amani vijana wetu, na wafiwa wote mungu awape uvumilivu ktk kipindi hiki kigumu.
 
Kufiwa na mtoto, mke, mume, Baba na Mama ni misiba mikubwa sana. Pole sana Mkuu.
Nahisi kufiwa na mtoto ni kunauma zaidi,mpaka walikosa jina la kumwita mzazi anaefiwa na mwanae.Anaefiwa na mke we huitwa mgane,anaefiwa na mmewe huitwa mjane,anaefiwa na baba au mama huitwa yatima.Ila anaefiwa na mwane walikosa jina kabisa.Pole kwa wazazi maana maumivu yake hayelezeki
 
Ahsante kwa ufafanuzi. Na wazazi kama hawakuwa makini katika maombelezo kuwa pamoja kwa kipindi kirefu inaweza kuathiri ndoa yao. Mara nyingi hutaka kujilaumu wao hata kama hawana makosa yoyote yale na kama wasipokuwa makini ndoa hutetereka na hata kuvunjika.

Nahisi kufiwa na mtoto ni kunauma zaidi,mpaka walikosa jina la kumwita mzazi anaefiwa na mwanae.Anaefiwa na mke we huitwa mgane,anaefiwa na mmewe huitwa mjane,anaefiwa na baba au mama huitwa yatima.Ila anaefiwa na mwane walikosa jina kabisa.Pole kwa wazazi maana maumivu yake hayelezeki
 
Nahisi kufiwa na mtoto ni kunauma zaidi,mpaka walikosa jina la kumwita mzazi anaefiwa na mwanae.Anaefiwa na mke we huitwa mgane,anaefiwa na mmewe huitwa mjane,anaefiwa na baba au mama huitwa yatima.Ila anaefiwa na mwane walikosa jina kabisa.Pole kwa wazazi maana maumivu yake hayelezeki

30.05.2016(almost a year now) nilimpoteza baby boy kila nikijiuliza sipati jibu nini kimetokea.
Najua jinsi gani wazazi wa hao watoto wanavyojisikia ni zaidi ya kuibeba dunia kwenye mabega sidhani kama kuna maumivu yatazidi maumivu ninayoyapata ni ngumu kusahau.
Pumzikeni kwa Amani watoto ninachoamini mko salama maana hamuijui dhambi kwa sasa mnafurahi na malaika wote ingawa wazazi mmetuachia simanzi ya kudumu.
 
Mi 'me' ila nimelia muda wote nasoma hii thread,toka page 1 -50. Kweli duniani tunapita.
 
Watoto wangu wanasoma hapo najaribu kuwajenga wachukie hivi vitrip wananiambia dereva wa hili gari anaitwa auncle babuu hana vidole 2 mkono wa kulia all it all imetuumiza
 
30.05.2016(almost a year now) nilimpoteza baby boy kila nikijiuliza sipati jibu nini kimetokea.
Najua jinsi gani wazazi wa hao watoto wanavyojisikia ni zaidi ya kuibeba dunia kwenye mabega sidhani kama kuna maumivu yatazidi maumivu ninayoyapata ni ngumu kusahau.
Pumzikeni kwa Amani watoto ninachoamini mko salama maana hamuijui dhambi kwa sasa mnafurahi na malaika wote ingawa wazazi mmetuachia simanzi ya kudumu.
Pole sana, Mungu akufariji.
 
tuseme ukweli school bus ya bei ndogo ni TATA ambalo linauzwa 100m shule ngapi zinamudu kununua? ukizingatia huyu bwana mkubwa ana negative altitude na sekta binafsi. Wamiliki wa shule hawafanyi biashara wanatoa huduma, serikali lazima itie mkono wake, hizi shule zipewe ruzuku basi zipewe sawa na shule za serikali zinavyopewa angalau.

Mafao watudhulumu, vyeti wavichane, makato ya helsb yaongezwe, pesa za nhif wakajengee majengo udom na hayo majengo wakae wao kwa kisingizio cha kuhamia dodoma na wanetu waachwe wajifie kwenye school bus mbovu, hapana hili hatukubaliani nalo.

Dogo hacha kukurupuka!
 
Mungu azipumzishe roho zao, amina, wazazi kuweni na uvumilivu, mjipe moyo
 
Back
Top Bottom