Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

RPC yupo sahihi,kauli ikikosewa huleta shida,basi wangemuhoji huyo OCD mkuu.
 
TAMKO LA UMOJA AS WA WATOTO
"SISI NI MWENYEZIMUNGU NA KWAKE NI MAREJEO YETU"
BARAZA UONGOZI NA MSHIKAMANO WA WATOTO DUNIANI LINAWATOA HOFU WATOTO WOTE ULIMWENGUNI KWAMBA VIFO VYA WATOTO NA WALIMU HUKO ARUSHA VIMETOKANA NA AJALI MBAYA YA GARI NA SI VINGINEVYO.TUKIWA TUNASUBURI TAMKO RASMI LA POLISI .

BARAZA LIMESIMAMISHA SHUGHULI ZA UMOJA KWA SIKU SABA NA VENDERA YETU HAITAPEPEA KWA MUDA HUI.
UMOJA WA WATOTO UNAWAOMBA WATOTO KUENDA SHULE KAMA KAWAIDA NA MITIHANI YA KITAIFA IENDELEE KAMA KAWAIDA DUNIANI KOTE."MUNGU ATUPE SUBURA NA UVUMILIVU KWA KUONDOKEWA NA WANACHAMA WENZETU AMBAO NI WAPENDWA WETU"

BARAZA LINATOA POLE KWA SHULE HUSIKA,WAZAZI,NDUGU NA JAMAA WA MAREHEMU" MOLA AZILAZE MAHALI PEMA NAFSI ZA MAREHEMU.
CHIFU CHAKACHENE ISMAIL ALLY IBRSHIM
FOUNDER AND GEAD OF WORLD CHILDREN UNION
 
Nakubaliana na wewe mkuu ila ni roho tu ya uchungu wa mzazi,na pia migodini viwandani na hata kwenye gesi kuna safety analysis kabla ya kuanza kazi yoyote,pia accidents zinazoweza kutokea,na jinsi ya kujikinga au tahadhari za kuchukua.sisi Mara nyingi katka maisha tuliyozowea hatufanyi Hays yote mwisho kabisa hata near miss inatakiwa kuwa reported maana near miss ya Leo inaweza kuwa incident au accident kesho kuna ajali naimani zilishatokea eneo hilo zamani zikapimwa na makosa kutupiwa madereva kma Leo,lakini serikali ibebe lawama za kutoweka zile bar za kwenye kingo za barabara,najua haxitaweza kuzuia ajali lakini gari hazitadumbukia labda.
 

Picha ya watoto waliofariki leo, ilipigwa wakati wanasubiria magari ili waondoke. Tunaweza kuitumia kama profile picha zetu kwa mda huu wa maombolezo.
RIP OUR SONS AND DAUGHTERS
Ukiangalia hii picha kwa makini.....utagundua jambo....wamekaa kiuzuni
Huyu alikuwa kwenye bus la nyuma sio lililopata ajali.gari lililopata ajali majeruhi wako mahututi
Nilitaka kushangaa....amekuwa discharged haraka hivyo bila a thorough medical checkup....na counselling
 
Wanangu mpumzike kwa amani,MUNGU AWAPE PUMZIKO LA AMANI,POLENI SANA WAZAZI WENZANGU NA WATANZANIA WOTE KWA UJUMLA.
 
Ombi wasanii wetu kuonyesha mmeguswa na msiba huu watungieni watoto wetu (marehemu)japo wimbo mmoja wakuwafariji wazazi wa marehemu na watanzania kwa ujumla. Ni msiba mkubwa mnoo.arushanzima ni simanzi
 
RPC yupo sahihi,kauli ikikosewa huleta shida,basi wangemuhoji huyo OCD mkuu.
OCD hana mamlaka ya kuzungumzia jambo kama hilo....ni RPC pekee...kama hayupo kuna utaratibu....wa kufata sio kila mtu anaongea tu.....labda kama amepewa ruksa
 
OCD hana mamlaka ya kuzungumzia jambo kama hilo....ni RPC pekee...kama hayupo kuna utaratibu....wa kufata sio kila mtu anaongea tu.....labda kama amepewa ruksa
Kwa hyo RPC alikuwa aongee kabla hajafika eneo LA tukio?
 

Picha ya watoto waliofariki leo, ilipigwa wakati wanasubiria magari ili waondoke. Tunaweza kuitumia kama profile picha zetu kwa mda huu wa maombolezo.
RIP OUR SONS AND DAUGHTERS
[emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Pole sana wafiwa. Mungu awape wepesi katika kipindi hiki kigumu.

However, CCM na serikali yao walaumiwe sana kwa kukusanya kodi nyingi sana na kuzitumia kununua ndege badala ya kuimarisha barabara za wananchi. Kama barabara hii ingekuwa imara ajali hii iliyopoteza roho za wapendwa wetu isingetokea.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Mungu awalaze mahali pema pepon[emoji24] [emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…