MLAU
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 4,726
- 3,363
RPC Charles Mkumbo wa Mkoa wa Arusha kutoa taarifa za awali kwani ni mpaka ufike mwenyewe eneo la tukio unapo mjibu mtangazaji wa ITV kuwa huwezi kutoa majibu ya kubuni kwani Karatu hakuna msaidizi wako ambaye ni OCD au msaidizi wa OCD ambaye lazima akupe taarifa iliyokufa utoke Arusha kuelekea Karatu!!!
Ma RPC mbadilike ktk kutoa taarifa kwa umma hasa za awali then kuna taarifa za tukio zima baada ya kufika eneo la tukio.
Sasa ikitokea ajali mbaya Ngorongoro 400kms kutoka Arusha hizo taarifa mpaka Ngorongoro baada ya saa 12 ndiyo utoe taarifa za awali wakati unawaza kupata taarifa kutoka kwa OCD.
Ajali ni mbaya na inaonekana Driver ni mgeni na njia na hakuchukua tahadhali pale Rhotia eneo la tukio kuna mteremko mkali na korongo!!
MUNGU awape nguvu majeruhi wapone haraka na kuwapa moyo wa uvumilivu wazazi ktk kipindi hiki kigumu cha majonzi
R.I.P Watoto wote waliofariki
Ma RPC mbadilike ktk kutoa taarifa kwa umma hasa za awali then kuna taarifa za tukio zima baada ya kufika eneo la tukio.
Sasa ikitokea ajali mbaya Ngorongoro 400kms kutoka Arusha hizo taarifa mpaka Ngorongoro baada ya saa 12 ndiyo utoe taarifa za awali wakati unawaza kupata taarifa kutoka kwa OCD.
Ajali ni mbaya na inaonekana Driver ni mgeni na njia na hakuchukua tahadhali pale Rhotia eneo la tukio kuna mteremko mkali na korongo!!
MUNGU awape nguvu majeruhi wapone haraka na kuwapa moyo wa uvumilivu wazazi ktk kipindi hiki kigumu cha majonzi
R.I.P Watoto wote waliofariki