Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twin Towers 911Nilifikiri utauliza nini chanzo na tutazuiaje ajali.
Lakini unaelekea kwenye conspiracy theories na mambo ya kafara.
Ndiyo maana hatuendelei.
Jamaniiii [emoji58] [emoji58] [emoji58]Labda anatafutwa kiongozi mpya wa wajenzi huru c unajua babu alifariki, hali inatisha kwa kweli
Very good clinical report.Watoto wengi hapo wamefariki na internal bleeding plus head injuries kwa maana ya intracranial bleeding na ruptured of spleen is more obvious kutokana na nature ya ajali.
Na kwasababu ya kutofunga mikanda na gari kutopinduka ila ile impact iliyotokea pale mbele ya gari inaonyesha tukio zima la ajali.
Mikanda imo ila tatizo abiria walikua wengi kupita idadi ya Mikanda idadi ya abiria wanao takiwa kubebwa na hilo gari ni 29 kushuka chini![]()
HIVI HAYA MAGARI YA KUBEBA WANAFUNZI HUWA HAYANA MIKANDA? Yaan naangalia hii picha naona watoto wamechomoka kwene siti hadi mbele. [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Aiseeemimi najifanya jasiri kwenye misiba lakini mama praise na baba rebeca wamenifanya nimelia kwa kweli....
yaani mama anasema mwanangu kwa nini usingekuja mount meru nikutundikie drip, mimi ni nurse naokoa maisha ya wengine nishindwe wewe mwanangu!!
ooh my God!! watie nguvu wazazi wale