Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Mkuu maisha lazima ya endelee tukianza kuleta hizi Imani watu wamefiwa na watoto wao wapo kipindi gumu sana utafanya watu wahamini hii Imani yako
 
ndg mshana jr sema kituu..ila mioyo ya wengi imeshakubali jamani , Ya Mungu ni mengi .Hata ayubu wakati anajaribiwa alimuweka Mungu mbele lakini kumbe shetani ndo alikuwa kazini kumbe. Nieleweke
 
Watoto wengi hapo wamefariki na internal bleeding plus head injuries kwa maana ya intracranial bleeding na ruptured of spleen is more obvious kutokana na nature ya ajali.

Na kwasababu ya kutofunga mikanda na gari kutopinduka ila ile impact iliyotokea pale mbele ya gari inaonyesha tukio zima la ajali.
 
Watoto wengi hapo wamefariki na internal bleeding plus head injuries kwa maana ya intracranial bleeding na ruptured of spleen is more obvious kutokana na nature ya ajali.

Na kwasababu ya kutofunga mikanda na gari kutopinduka ila ile impact iliyotokea pale mbele ya gari inaonyesha tukio zima la ajali.
Very good clinical report.
 
Shida kila unachofungua ni habari hizi Kuna huyu baba Rebecaa kaaah
Jamani majeneza yalee, aisee mmeangaliaje wenzangu?
Mimi ni Baba lakini safari hiii mimachoz sijui inatoka wapi hadi leo
 
mimi pia nimejitahidi sana kutokuangalia hizi picha maana moyo unahamia mgongoni, ikija wasap yyt nikiona ina dalili ya kuwa na picha za wtt wetu wapendwa nazifuta haraka sana,,
 
mimi najifanya jasiri kwenye misiba lakini mama praise na baba rebeca wamenifanya nimelia kwa kweli....
yaani mama anasema mwanangu kwa nini usingekuja mount meru nikutundikie drip, mimi ni nurse naokoa maisha ya wengine nishindwe wewe mwanangu!!
ooh my God!! watie nguvu wazazi wale
 
59b935911a780e1f203281f4ef1edbc2.jpg


HIVI HAYA MAGARI YA KUBEBA WANAFUNZI HUWA HAYANA MIKANDA? Yaan naangalia hii picha naona watoto wamechomoka kwene siti hadi mbele. [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
59b935911a780e1f203281f4ef1edbc2.jpg


HIVI HAYA MAGARI YA KUBEBA WANAFUNZI HUWA HAYANA MIKANDA? Yaan naangalia hii picha naona watoto wamechomoka kwene siti hadi mbele. [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Mikanda imo ila tatizo abiria walikua wengi kupita idadi ya Mikanda idadi ya abiria wanao takiwa kubebwa na hilo gari ni 29 kushuka chini
 
Jinsi unavyo zidi kuiendeleza, ndivyo unavyo zidi kuamsha hisia na uchungu, itoshe sasa kusema ifike mwisho hii habari, ni kweli inasikitisha Sana, jamii na mataifa yameumia Kwa ujumla. Naomba tuiache hii maada, then mioyo yetu ikipata ahueni tutaanza upya kuchunguza na kujua nini kifanyike, ni wapi tumejikwa nk
 
Duh maana yake wengine walisimama sio? Hatuwez kuwahukumu kwa Mwenyezimungu alipanga.
 
mimi najifanya jasiri kwenye misiba lakini mama praise na baba rebeca wamenifanya nimelia kwa kweli....
yaani mama anasema mwanangu kwa nini usingekuja mount meru nikutundikie drip, mimi ni nurse naokoa maisha ya wengine nishindwe wewe mwanangu!!
ooh my God!! watie nguvu wazazi wale
Aiseee
 
Back
Top Bottom