Ajali ya Happy Nation yaua Hakimu na mume wake Bukoba

Wapumzike kwa amani. Ila Polisi bwana kwa maelezo yao hapo dereva wa Happy Nation hana kosa. Ndio umuhimu wa kuwa na camera za barabarani huyo mshenzi aliyewasukuma angedakwa kirahisi tu.

Lengo la kumuweka mtu rumande ni pamoja na kulinda maisha na uhai wake ili asidhuriwe na wale walioumizwa na tukio la ajali
 
Wenda hakimu alikuwa anaenda kumuhukumu mtu kifo au kumpeleka gerezani kwa kumbambikiza kesi

Bas mtuhumiwa akamuwai
Hakimu kufa huwa kirahis hvyo mchezo umechezwaa


Au hakima amekuwa akihiahirsha kesi za watu na huku ushaidi umekamilika sas wamemfanyiaa

All in all poleni wafiwa wote
 
Mbona pikipiki ina namba za gari?

Mungu awapumzishe kwa amani

Kwa umri huo kama wana watoto bado watakuwa tegemezi.... Nawaonea huruma sana....
Namba za zamani, ninayo pikipik yenye namba T...ATT
 
Wazazi kuondoka kwa wakati mmoja ni pigo kubwa sana kwa watoto. Na huenda maisha yao ndo yameanza rasmi kwenda mrama...
Bahati nzuri mwenye mamlaka ya kutoa roho ya Mtu ni Mungu pekee na kila jambo hufanyika kwa wakati kwa makusudi ya mbingu pekee, ndiyomaana kifo ni fumbo.

MATHAYO 10:28.
Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanum.

MUHUBIRI 3:1-15.
 
Pole mkuu[emoji28]
 
Polisi acheni uonezi Dereva wa basi kosa lake ni nini hadi mnamshikilia?
 
Nchi yetu ina watu majinga sana.
Ndio maana nikiwaza wakati mwingine naona sawa tu walamba asali wanavyotukomesha...maana kuna mijinga mingi sana nchi hii.
Pole sana mkuu
 
Ina Lilah Waina Allah Rajiun
Body la pikipiki ni mwili wako 🥴
 
Mikoa ya Geita na Kagera hakunaga Serikali barabarani. Mwisho wa kunukuu
 
Me kila siku huwa nasema, nikisababishiwa ajali ya kugonga, nikawa salama bila kupinduka na chombo kinatembea, kamwe sisimami na siripoti popote.

Walioajiriwa kwa kazi ya kupeleleza watafanya kazi yao kunipeleleza kwa kunitafuta ili tupambane kisheria mahakamani.

Unapofanya kosa kisha "ukajipeleka", ni upumbafu wako huo, unakuwa unawafanyia kazi watu na hakuna bonasi unayoipata kwa kujisalimisha.

Kuna ushenzi sana barabarani nishashuhudia na kufanyiwa mie!

Mtu mwingine akikamata chombo cha moto kuendesha utadhani kakatwa kichwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…