Ajali ya Happy Nation yaua Hakimu na mume wake Bukoba

Kwa hiyo dereva wa bus amesababishaje vifo hapo?
 
Aisee hapo kama anakukomoa eti,



Ni muda gani sasa?
Miezi miwili sasa

Kuna muda huwa nakosa muda kuna boda wa huko huko alipo huyo mgonjwa huwa namtumia kumpeleka hospitali
Huyo dogo kuna siku alinipigia simu nakuniambia kuwa hawa watu wamepanga kukukomoa kwanini usiwazimie simu au kukataa kupokea simu zao na ukawapotezea mazima
 
Aisee hapo kama anakukomoa eti,



Ni muda gani sasa?
Miezi miwili sasa

Kuna muda huwa nakosa muda kuna boda wa huko huko alipo huyo mgonjwa huwa namtumia kumpeleka hospitali
Huyo dogo kuna siku alinipigia simu nakuniambia kuwa hawa watu wamepanga kukukomoa kwanini usiwazimie simu au kukataa kupokea simu zao na ukawapotezea mazima
 
Maisha mengine haya main road na pikipiki? Kuna vitu mimi siwezi kujaribu. Hawa wababeba mkaa na bodaboda wanatakiwa kufukuzwa kbs. Morogoro road wamejaa na trafiki wanaangalia tu.
 
mahakama ya mwanzo huhusika na makosa madogo madogo mtaani
wala hahusiki na kuhuku kifo wala mamiaka meeengi
Tusiwahukumu jamani hii ni ajali...tuwaombee kwa Mungu awasamehe makosa yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…