Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Vita inaashiria weakness, mwenye nguvu hasa hapigani. Anatumia hikma na busara ku sort issuesVITA inaashiria uwezo mdogo wa binadamu kufikiri .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vita inaashiria weakness, mwenye nguvu hasa hapigani. Anatumia hikma na busara ku sort issuesVITA inaashiria uwezo mdogo wa binadamu kufikiri .
Wewe na wazayuni mbona sio waarabuMAGAIDI ni waarabu.
Ndicho alichosema Kenny Rogers ktk wimbo wake wa coward of the countryVita inaashiria weakness, mwenye nguvu hasa hapigani. Anatumia hikma na busara ku sort issues
Ndo akili yako ilipofikia hapa?Kwahiyo tusihoji ya Kariakoo kwa kuwa kule Gaza maghorofa yanadondoshwa mkuu?
Imagine on daily basis, magorofa yanaangushwa tena intentionally at the same time hakuna maji hakuna umeme hakuna na chakula pia shida.
So much suffering in this world.
Ghaza kuna hali ngumu sanaaa ila Allah yupo pamoja nao
“Lile ni eneo la wayahudi, wamepewa na Mungu wapalestina wamevamia”
Kwahiyo mungu ameshindwa yeye kuwatoa hapo Wapelestina kaamua kuacha Waisrael aliowapa wateseke kunyang'anyana hiyo zawadi?.“Lile ni eneo la wayahudi, wamepewa na Mungu wapalestina wamevamia”
AmeenIn shaa Allah, Allah yuko pamoja nao
Watu tunapenda kujifanya wajuaji sana wa Mambo, ukiulizwa kwa nini unasema hakistahili kufanya hata mmoja jibu hauna.Hatari sana.lakini sisi ni uzembe wa serikali katika uokoaji.Kamati ya maafa Huwa inatafuna pesa tu Kila mwaka lakini uharaka wa kutekeleza majukumu katika uokoaji ni zero. Hii ajari ya kariakoo hakustahili hata mtu mmoja kufariki.
Wanaoshabikia ni wale wanaosumbuliwa na chukiNi mateso makubwa.na Kuna mijitu inashabikia vita.
Watu wamefariki Kwa sababu wamechelewa kuokolewa fullstop.yaani jengo halifiki hata ghorofa 20 mnaokoa siku Tano?India Kuna jengo liliporomoka la zaidi ya ghorofa 17 na wakaokolewa wote.Watu tunapenda kujifanya wajuaji sana wa Mambo, ukiulizwa kwa nini unasema hakistahili kufanya hata mmoja jibu hauna.
Kuna watu watafariki kwa hofu, hasa wenye pressure wale, kuna watu wataangukiwa na sehemu ya majengo na kufa hapo hapo.
Angekuwa nao wasinge uawa. Kwa ugaidi wao acha Israeli iwaadabishe.
Ninyi wenye akili nisaidieni kuelewa.Ndo akili yako ilipofikia hapa?
Wewe mwenye akili pia umeshindwa kuniongezea uwezo wa kufikiri mkuu.Ndio uwezo wako wa kufikiria kuwaza na kuhoji umeishia hapa kuna watu inatakiwa kwa comment tu mufutiwe I'd zenu na moderate mnashusha hadhi ya jf
Mkiwa kwenye keyboard mnaongea sana,jengo linapoanguka kuna impact ya kuangukiwa na jengo lenyewe hacha waliofukiwa na vifusi. Ajali kama hz hata nchi zilizoendelea zikitokea zinaenda na watu.Hatari sana.lakini sisi ni uzembe wa serikali katika uokoaji.Kamati ya maafa Huwa inatafuna pesa tu Kila mwaka lakini uharaka wa kutekeleza majukumu katika uokoaji ni zero. Hii ajari ya kariakoo hakustahili hata mtu mmoja kufariki.