Ajali ya Kimara Stop Over kumbe kaka yangu naye alikuwepo!

Ajali ya Kimara Stop Over kumbe kaka yangu naye alikuwepo!

Siku tatu hizi hajarudi anapoishi,wamemtafuta simu hapatikani,kazini kwake nao hawampati
Mwisho akakutwa mortuary hafai
Aliopolewa akiwa tayari kaenda

Unajua nlivopata taarifa ya Ile ajali mida ya asubuhi nlishinda siku yote najiskia hatia.mpaka najiuliza kwanini sipati jibu.najiskia vibaya tu na uzito ndani yangu

Tumekua wote,tumecheza wote,tumekula wote,moments nyingi tumeshea tukiwa karibu
Tabasamu lake,ni mtu asiejua kukasirika labda awe pissed off Kwa sana
Mizaha na utani wake.30 good years tupo wote.now mwendo kaumaliza

Mtu mnaongea mnacheka mda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndo kwaheri.
Hakujua Nini kitatokea usiku Ule,hakuna aliejua
Ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini.
Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia
Sitamuona tena
Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea

Ushauri:ishini Kwa upendo sana guys,kuwa chanzo Cha furaha na tabasamu Kwa wote unaokutana nao,
Usimdharau mtu yeyote
Alienacho asie nacho wote wape heshima.
Usijivune
Usipungukiwe upendo na usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma
Pole sana Sis
 
Siku tatu hizi hajarudi anapoishi,wamemtafuta simu hapatikani,kazini kwake nao hawampati
Mwisho akakutwa mortuary hafai
Aliopolewa akiwa tayari kaenda

Unajua nlivopata taarifa ya Ile ajali mida ya asubuhi nlishinda siku yote najiskia hatia.mpaka najiuliza kwanini sipati jibu.najiskia vibaya tu na uzito ndani yangu

Tumekua wote,tumecheza wote,tumekula wote,moments nyingi tumeshea tukiwa karibu
Tabasamu lake,ni mtu asiejua kukasirika labda awe pissed off Kwa sana
Mizaha na utani wake.30 good years tupo wote.now mwendo kaumaliza

Mtu mnaongea mnacheka mda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndo kwaheri.
Hakujua Nini kitatokea usiku Ule,hakuna aliejua
Ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini.
Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia
Sitamuona tena
Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea

Ushauri:ishini Kwa upendo sana guys,kuwa chanzo Cha furaha na tabasamu Kwa wote unaokutana nao,
Usimdharau mtu yeyote
Alienacho asie nacho wote wape heshima.
Usijivune
Usipungukiwe upendo na usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma
Pole sana Mkuu. Apumzike kwa amani.
 
Pole sana, ni sehemu ya maisha ya mwanadamu, ndiyo hivyo imeshatokea.
 
Siku tatu hizi hajarudi anapoishi,wamemtafuta simu hapatikani,kazini kwake nao hawampati
Mwisho akakutwa mortuary hafai
Aliopolewa akiwa tayari kaenda

Unajua nlivopata taarifa ya Ile ajali mida ya asubuhi nlishinda siku yote najiskia hatia.mpaka najiuliza kwanini sipati jibu.najiskia vibaya tu na uzito ndani yangu

Tumekua wote,tumecheza wote,tumekula wote,moments nyingi tumeshea tukiwa karibu
Tabasamu lake,ni mtu asiejua kukasirika labda awe pissed off Kwa sana
Mizaha na utani wake.30 good years tupo wote.now mwendo kaumaliza

Mtu mnaongea mnacheka mda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndo kwaheri.
Hakujua Nini kitatokea usiku Ule,hakuna aliejua
Ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini.
Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia
Sitamuona tena
Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea

Ushauri:ishini Kwa upendo sana guys,kuwa chanzo Cha furaha na tabasamu Kwa wote unaokutana nao,
Usimdharau mtu yeyote
Alienacho asie nacho wote wape heshima.
Usijivune
Usipungukiwe upendo na usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma
Ni wazi alikuwa mpita njia, pole.
 
Siku tatu hizi hajarudi anapoishi,wamemtafuta simu hapatikani,kazini kwake nao hawampati
Mwisho akakutwa mortuary hafai
Aliopolewa akiwa tayari kaenda

Unajua nlivopata taarifa ya Ile ajali mida ya asubuhi nlishinda siku yote najiskia hatia.mpaka najiuliza kwanini sipati jibu.najiskia vibaya tu na uzito ndani yangu

Tumekua wote,tumecheza wote,tumekula wote,moments nyingi tumeshea tukiwa karibu
Tabasamu lake,ni mtu asiejua kukasirika labda awe pissed off Kwa sana
Mizaha na utani wake.30 good years tupo wote.now mwendo kaumaliza

Mtu mnaongea mnacheka mda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndo kwaheri.
Hakujua Nini kitatokea usiku Ule,hakuna aliejua
Ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini.
Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia
Sitamuona tena
Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea

Ushauri:ishini Kwa upendo sana guys,kuwa chanzo Cha furaha na tabasamu Kwa wote unaokutana nao,
Usimdharau mtu yeyote
Alienacho asie nacho wote wape heshima.
Usijivune
Usipungukiwe upendo na usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma
Pole sana
 
Siku tatu hizi hajarudi anapoishi,wamemtafuta simu hapatikani,kazini kwake nao hawampati
Mwisho akakutwa mortuary hafai
Aliopolewa akiwa tayari kaenda

Unajua nlivopata taarifa ya Ile ajali mida ya asubuhi nlishinda siku yote najiskia hatia.mpaka najiuliza kwanini sipati jibu.najiskia vibaya tu na uzito ndani yangu

Tumekua wote,tumecheza wote,tumekula wote,moments nyingi tumeshea tukiwa karibu
Tabasamu lake,ni mtu asiejua kukasirika labda awe pissed off Kwa sana
Mizaha na utani wake.30 good years tupo wote.now mwendo kaumaliza

Mtu mnaongea mnacheka mda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndo kwaheri.
Hakujua Nini kitatokea usiku Ule,hakuna aliejua
Ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini.
Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia
Sitamuona tena
Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea

Ushauri:ishini Kwa upendo sana guys,kuwa chanzo Cha furaha na tabasamu Kwa wote unaokutana nao,
Usimdharau mtu yeyote
Alienacho asie nacho wote wape heshima.
Usijivune
Usipungukiwe upendo na usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma
Ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini.
Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia
Sitamuona tena
Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea😭😭😭😭
 
Back
Top Bottom