Ajali ya Kimara Stop Over kumbe kaka yangu naye alikuwepo!

Ajali ya Kimara Stop Over kumbe kaka yangu naye alikuwepo!

kumbe una uelewa finyu, umesikia mkuu! Hapo ulipo kwa sasaivi pia panaweza kuwa eneo la tukio lakuondoka na roho yako na ikatrend na watu wakijiuliza ilikuaje na ulifuata nini marehemu!!


Sehemu yoyote muda wowote mkuu panaweza tokea jambo likatrend dunia nzima.
📌📌
 
Kuna watu wengi wanadhaniwa "Wameenda Dar hawataki hata kurudi wala kusalimia", kumbe inawezakana walishazikwa siku nyingi. Poleni
 
Nimeipata hii taarifa, nabishana na watu juzi Serikali inasema wamekufa watatu tu, watu wananiambia wamekufa wengi, leo napata taarifa mtu wangu wa karibu kabisa amefariki.

Hafai ni wakumzika kesho mapema. Nimeumia sana. Nikasema ajali niliyoiona yakupita kumbe imepita na vijana wadogo kabisa wenye ndoto zao. Pole sana na Mungu watangulie vijana wote waliopoteza maisha.
Idadi halisi ikiwekwa hapa mtakamatwa...elewa hivyo...poleni mkuu.
 
Siku tatu hizi hajarudi anapoishi, wamemtafuta simu hapatikani, kazini kwake nao hawampati mwisho akakutwa mortuary hafai Aliopolewa akiwa tayari kaenda.

Unajua nilivyopata taarifa ya ile ajali mida ya asubuhi nilishinda siku yote najisikia hatia, mpaka nakajiuliza kwanini lakini sikupata jibu. Nikawa najisikia vibaya tu na uzito ndani yangu.

Tumekua wote, tumecheza wote, tumekula wote, moments nyingi tumeshea tukiwa karibu, tabasamu lake, ni mtu asiyejua kukasirika labda awe pissed off kwa sana, mizaha na utani wake. 30 good years tupo wote, now mwendo kaumaliza.

Mtu mnaongea mnacheka muda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndio kwaheri. Hakujua nini kitatokea usiku ule, hakuna aliyejua ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini. Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia. Sitamuona tena! Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea!

Ushauri: Ishini kwa upendo sana guys, kuwa chanzo cha furaha na tabasamu kwa wote unaokutana nao. Usimdharau mtu yeyote, alienacho asie nacho wote wape heshima.

Usijivune.
Usipungukiwe upendo.
Usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma.
Amin
 
Siku tatu hizi hajarudi anapoishi, wamemtafuta simu hapatikani, kazini kwake nao hawampati mwisho akakutwa mortuary hafai Aliopolewa akiwa tayari kaenda.

Unajua nilivyopata taarifa ya ile ajali mida ya asubuhi nilishinda siku yote najisikia hatia, mpaka nakajiuliza kwanini lakini sikupata jibu. Nikawa najisikia vibaya tu na uzito ndani yangu.

Tumekua wote, tumecheza wote, tumekula wote, moments nyingi tumeshea tukiwa karibu, tabasamu lake, ni mtu asiyejua kukasirika labda awe pissed off kwa sana, mizaha na utani wake. 30 good years tupo wote, now mwendo kaumaliza.

Mtu mnaongea mnacheka muda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndio kwaheri. Hakujua nini kitatokea usiku ule, hakuna aliyejua ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini. Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia. Sitamuona tena! Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea!

Ushauri: Ishini kwa upendo sana guys, kuwa chanzo cha furaha na tabasamu kwa wote unaokutana nao. Usimdharau mtu yeyote, alienacho asie nacho wote wape heshima.

Usijivune.
Usipungukiwe upendo.
Usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma.
Pole mpendwa kifo ni kigumu
Ipo siku haya yote yatakoma kama tukiamini.
 
Siku tatu hizi hajarudi anapoishi, wamemtafuta simu hapatikani, kazini kwake nao hawampati mwisho akakutwa mortuary hafai Aliopolewa akiwa tayari kaenda.

Unajua nilivyopata taarifa ya ile ajali mida ya asubuhi nilishinda siku yote najisikia hatia, mpaka nakajiuliza kwanini lakini sikupata jibu. Nikawa najisikia vibaya tu na uzito ndani yangu.

Tumekua wote, tumecheza wote, tumekula wote, moments nyingi tumeshea tukiwa karibu, tabasamu lake, ni mtu asiyejua kukasirika labda awe pissed off kwa sana, mizaha na utani wake. 30 good years tupo wote, now mwendo kaumaliza.

Mtu mnaongea mnacheka muda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndio kwaheri. Hakujua nini kitatokea usiku ule, hakuna aliyejua ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini. Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia. Sitamuona tena! Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea!

Ushauri: Ishini kwa upendo sana guys, kuwa chanzo cha furaha na tabasamu kwa wote unaokutana nao. Usimdharau mtu yeyote, alienacho asie nacho wote wape heshima.

Usijivune.
Usipungukiwe upendo.
Usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma.
Pole sana mwanangu Abby
 
Mkuu mimi nadhani alijisikia hali hiyo isiyo ya kawaida kwake, baada seconds tu baada ya kakake kukata roho. Hivyo kuikemea ni sawa kwa ndugu zake wengine walio hai. Rest easy Abi's Brother.
Ni sawa na nilimwelewa mkuu, nachomaanisha hapa ni kuwa kama jambo baya kabisa liko karibu kutokea taarifa itakuja kwako mapema zaidi kabla ya tukio.

Kwa mfano unaweza ukataka kusafiri lakini unajiskia vibaya, mkuu hiyo ni taarifa unapewa.

Akikaa vizuri akakumbuka atakumbuka eidha ni uzito, waswas, ama huzuni alikuwa nayo hata kabla ya kaka yake kupata ajali, ndicho nazungumzia.

Inamaana Mleta mada ana kitu cha tofauti katika ulimwengu wa kiroho.

Kwa hivyo anapaswa kujiweka karibu na Mungu zaidi ili kitu hicho kijidhihirishe zaidi, kwa sababu sio kila mtu yuko hivyo mkuu...
 
Back
Top Bottom