King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Pole sana Chams kwa msiba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah,wamekufa kifo cha maumivu makali sana, Mungu awarehemu wote inshaallahSiku tatu hizi hajarudi anapoishi,wamemtafuta simu hapatikani,kazini kwake nao hawampati
Mwisho akakutwa mortuary hafai
Aliopolewa akiwa tayari kaenda
Unajua nlivopata taarifa ya Ile ajali mida ya asubuhi nlishinda siku yote najiskia hatia.mpaka najiuliza kwanini sipati jibu.najiskia vibaya tu na uzito ndani yangu
Tumekua wote,tumecheza wote,tumekula wote,moments nyingi tumeshea tukiwa karibu
Tabasamu lake,ni mtu asiejua kukasirika labda awe pissed off Kwa sana
Mizaha na utani wake.30 good years tupo wote.now mwendo kaumaliza
Mtu mnaongea mnacheka mda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndo kwaheri.
Hakujua Nini kitatokea usiku Ule,hakuna aliejua
Ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini.
Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia
Sitamuona tena
Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea
Ushauri:ishini Kwa upendo sana guys,kuwa chanzo Cha furaha na tabasamu Kwa wote unaokutana nao,
Usimdharau mtu yeyote
Alienacho asie nacho wote wape heshima.
Usijivune
Usipungukiwe upendo na usimsahau Mwenyezi Mungu.
Moyo wangu unauma
Pole sana ndugu yangu, Mwenyezi Mungu amjlie pumziko la amani, poleni sana familia na wote.Siku tatu hizi hajarudi anapoishi,wamemtafuta simu hapatikani,kazini kwake nao hawampati
Mwisho akakutwa mortuary hafai
Aliopolewa akiwa tayari kaenda
Unajua nlivopata taarifa ya Ile ajali mida ya asubuhi nlishinda siku yote najiskia hatia.mpaka najiuliza kwanini sipati jibu.najiskia vibaya tu na uzito ndani yangu
Tumekua wote,tumecheza wote,tumekula wote,moments nyingi tumeshea tukiwa karibu
Tabasamu lake,ni mtu asiejua kukasirika labda awe pissed off Kwa sana
Mizaha na utani wake.30 good years tupo wote.now mwendo kaumaliza
Mtu mnaongea mnacheka mda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndo kwaheri.
Hakujua Nini kitatokea usiku Ule,hakuna aliejua
Ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini.
Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia
Sitamuona tena
Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea
Ushauri:ishini Kwa upendo sana guys,kuwa chanzo Cha furaha na tabasamu Kwa wote unaokutana nao,
Usimdharau mtu yeyote
Alienacho asie nacho wote wape heshima.
Usijivune
Usipungukiwe upendo na usimsahau Mwenyezi Mungu.
Moyo wangu unauma
Alikuwa mpita njia.anasubiri avuke.kama angewahi dakika Moja mbele now angekuwa mzima naaminiPole sana. How came alikuwa eneo la tukio!
Alikua night shift.ndio mda wa kuingiaSorry swali Kwa mtoa mada, sawa ni njia ya kwenda kazini, Kwa muda ule atakuwa alikuwa anarudi home? Because ilikuwa saa sita usiku. I don't get it.
Hivi hii serikali kwanini inapenda kuficha ficha kila kitu!? Sio bure tumelaaniwa labdaNimeipata hii taarifa, nabishana na watu juzi serikali inasema wamekufa watatu tu, watu wananiambia wamekufa wengi, leo napata taarifa mtu wangu wa karibu kabisa amefariki,Hafai niwakumzika kesho mapema. Nimeumia sana. Nikasema ajali niliyoiona yakupita kumbe imepita na vijana wadogo kabisa wenye ndoto zao. Pole sana na Mungu watangulie vijana wote waliopoteza maisha.
kumbe una uelewa finyu, umesikia mkuu! Hapo ulipo kwa sasaivi pia panaweza kuwa eneo la tukio lakuondoka na roho yako na ikatrend na watu wakijiuliza ilikuaje na ulifuata nini marehemu!!Pole sana. How came alikuwa eneo la tukio!
Rudi thread namba 50 kuna mtu amejibu kwa heshima kabisa bila matusi wala kejeli. Na nimemuelewa vemakumbe una uelewa finyu, umesikia mkuu! Hapo ulipo kwa sasaivi pia panaweza kuwa eneo la tukio lakuondoka na roho yako na ikatrend na watu wakijiuliza ilikuaje na ulifuata nini marehemu!!
Sehemu yoyote muda wowote mkuu panaweza tokea jambo likatrend dunia nzima.
mbona sijakutukana! Sorry kama nimekukwaza mkuu.Rudi thread namba 50 kuna mtu amejibu kwa heshima kabisa bila matusi wala kejeli. Na nimemuelewa vema
Duh, hili swali mkuu, mtu hafati ajali, ajali inamfata.Pole sana. How came alikuwa eneo la tukio!