Ajali ya Kimara Stop Over kumbe kaka yangu naye alikuwepo!

Ajali ya Kimara Stop Over kumbe kaka yangu naye alikuwepo!

Siku tatu hizi hajarudi anapoishi,wamemtafuta simu hapatikani,kazini kwake nao hawampati
Mwisho akakutwa mortuary hafai
Aliopolewa akiwa tayari kaenda

Unajua nlivopata taarifa ya Ile ajali mida ya asubuhi nlishinda siku yote najiskia hatia.mpaka najiuliza kwanini sipati jibu.najiskia vibaya tu na uzito ndani yangu

Tumekua wote,tumecheza wote,tumekula wote,moments nyingi tumeshea tukiwa karibu
Tabasamu lake,ni mtu asiejua kukasirika labda awe pissed off Kwa sana
Mizaha na utani wake.30 good years tupo wote.now mwendo kaumaliza

Mtu mnaongea mnacheka mda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndo kwaheri.
Hakujua Nini kitatokea usiku Ule,hakuna aliejua
Ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini.
Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia
Sitamuona tena
Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea

Ushauri:ishini Kwa upendo sana guys,kuwa chanzo Cha furaha na tabasamu Kwa wote unaokutana nao,
Usimdharau mtu yeyote
Alienacho asie nacho wote wape heshima.
Usijivune
Usipungukiwe upendo na usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma
Pole Sana
Mungu akupe ujasiri
 
Duh, hili swali mkuu, mtu hafati ajali, ajali inamfata.
Ngoja nikusaidie. Ukiuliza how come alikuwa eneo la tukio.
Kuna majibu matatu hapo

alikuwa bodaboda /eneo lake la kazi

Alikuwa mpita njia au

alikuwa abilia kwenye moja ya boda boda

Don't lose sight next time
 
Nimeipata hii taarifa, nabishana na watu juzi serikali inasema wamekufa watatu tu, watu wananiambia wamekufa wengi, leo napata taarifa mtu wangu wa karibu kabisa amefariki,Hafai niwakumzika kesho mapema. Nimeumia sana. Nikasema ajali niliyoiona yakupita kumbe imepita na vijana wadogo kabisa wenye ndoto zao. Pole sana na Mungu watangulie vijana wote waliopoteza maisha.
Ile sehemu pale ni ngumu kuamini eti wamekufa watu watatu tu.
 
Siku tatu hizi hajarudi anapoishi, wamemtafuta simu hapatikani,kazini kwake nao hawampati
Mwisho akakutwa mortuary hafai
Aliopolewa akiwa tayari kaenda

Unajua nilivyopata taarifa ya Ile ajali mida ya asubuhi nilishinda siku yote najiskia hatia. Mpaka najiuliza kwanini sipati jibu. Najiskia vibaya tu na uzito ndani yangu.

Tumekua wote, tumecheza wote, tumekula wote, moments nyingi tumeshea tukiwa karibu
Tabasamu lake, ni mtu asiejua kukasirika labda awe pissed off Kwa sana. Mizaha na utani wake. 30 good years tupo wote. Now mwendo kaumaliza.

Mtu mnaongea mnacheka muda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndo kwaheri. Hakujua Nini kitatokea usiku Ule, hakuna aliejua ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini.
Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia. Sitamuona tena
Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea.

Ushauri: Ishini Kwa upendo sana guys, kuwa chanzo Cha furaha na tabasamu Kwa wote unaokutana nao,
Usimdharau mtu yeyote
Alienacho asie nacho wote wape heshima.

Usijivune, Usipungukiwe upendo na usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma
Pole sana
 
Pole sana kwa msiba.

Next time ukijiskia hali hiyo ya uzito kupitiliza ni muhimu uombe kuvunja hiyo hali, hiyo ingeweza kusaidia Kaka yako.
 
Ngoja nikusaidie. Ukiuliza how come alikuwa eneo la tukio.
Kuna majibu matatu hapo

alikuwa bodaboda eneo lake la kazi

Alikuwa mpita njia au

alikuwa abilia kwenye moja ya boda boda

Don't lose sight next time
Swali alikuwa anafanya nini eneo la tukio ndo lina haya majibu.

Swali la how come alikuwa eneo la tukio ni umeuliza ilikuwaje akawa eneo la tukio na ni swali linalomlenga mhusika ambaye alipaswa kuwa eneo jingine na si hapo.

Anyway, kama ndivyo ulichokuwa unamaanisha sawa nimekuelewa.
 
Siku tatu hizi hajarudi anapoishi, wamemtafuta simu hapatikani, kazini kwake nao hawampati mwisho akakutwa mortuary hafai Aliopolewa akiwa tayari kaenda.

Unajua nilivyopata taarifa ya ile ajali mida ya asubuhi nilishinda siku yote najisikia hatia, mpaka nakajiuliza kwanini lakini sikupata jibu. Nikawa najisikia vibaya tu na uzito ndani yangu.

Tumekua wote, tumecheza wote, tumekula wote, moments nyingi tumeshea tukiwa karibu, tabasamu lake, ni mtu asiyejua kukasirika labda awe pissed off kwa sana, mizaha na utani wake. 30 good years tupo wote, now mwendo kaumaliza.

Mtu mnaongea mnacheka muda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndio kwaheri. Hakujua nini kitatokea usiku ule, hakuna aliyejua ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini. Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia. Sitamuona tena! Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea!

Ushauri: Ishini kwa upendo sana guys, kuwa chanzo cha furaha na tabasamu kwa wote unaokutana nao. Usimdharau mtu yeyote, alienacho asie nacho wote wape heshima.

Usijivune.
Usipungukiwe upendo.
Usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma.
Pole sana
 
Swali alikuwa anafanya nini eneo la tukio ndo lina haya majibu.

Swali la how come alikuwa eneo la tukio ni umeuliza ilikuwaje akawa eneo la tukio na ni swali linalomlenga mhusika ambaye alipaswa kuwa eneo jingine na si hapo.

Anyway, kama ndivyo ulichokuwa unamaanisha sawa nimekuelewa.
Nimefafanua msingi wa swali langu. Nadhani nimeeleweka
 
Such is life...nilipita hapo hiyo siku, muda mchache kabla ya hiyo ajali. Gari ilikuwa mwendo Kasi Nini? au kama si mwendo Kasi basi dereva alijichanganya mwenyewe.
 
Siku tatu hizi hajarudi anapoishi, wamemtafuta simu hapatikani, kazini kwake nao hawampati mwisho akakutwa mortuary hafai Aliopolewa akiwa tayari kaenda.

Unajua nilivyopata taarifa ya ile ajali mida ya asubuhi nilishinda siku yote najisikia hatia, mpaka nakajiuliza kwanini lakini sikupata jibu. Nikawa najisikia vibaya tu na uzito ndani yangu.

Tumekua wote, tumecheza wote, tumekula wote, moments nyingi tumeshea tukiwa karibu, tabasamu lake, ni mtu asiyejua kukasirika labda awe pissed off kwa sana, mizaha na utani wake. 30 good years tupo wote, now mwendo kaumaliza.

Mtu mnaongea mnacheka muda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndio kwaheri. Hakujua nini kitatokea usiku ule, hakuna aliyejua ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini. Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia. Sitamuona tena! Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea!

Ushauri: Ishini kwa upendo sana guys, kuwa chanzo cha furaha na tabasamu kwa wote unaokutana nao. Usimdharau mtu yeyote, alienacho asie nacho wote wape heshima.

Usijivune.
Usipungukiwe upendo.
Usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma.
Pole sana!Pia ahsante kwa ujumbe mzuri.
 
Ushauri: Ishini kwa upendo sana guys, kuwa chanzo cha furaha na tabasamu kwa wote unaokutana nao. Usimdharau mtu yeyote, alienacho asie nacho wote wape heshima.

Usijivune.
Usipungukiwe upendo.
Usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma.
Pole sana Ndugu,
Huu ushauri wako umenigusa sana
 
Pole sana.....

Nakumbuka kuna kipindi usafiri wa "panton" ulikuwa unasumbua sana....watu wakawa wanavuka kutimia mtumbwi kwenda ng'ambo......

Kila nilipotaka kupanda ule mtumbwi moyo wangu unakuwa mzito sana....nikaghairi....

Ilivyoondoka na kati kati mtumbwi ukapinduka na kuuwa watu kadhaa nikishuhudia.......

Kifo hakibishi hodi......

MWANADAMU HATAKIWI KUKIOGOPA KIFO BALI KUJIANDAA NA MAISHA BAADA YA KIFO(KWA WENYE IMANI)
 
Siku tatu hizi hajarudi anapoishi, wamemtafuta simu hapatikani, kazini kwake nao hawampati mwisho akakutwa mortuary hafai Aliopolewa akiwa tayari kaenda.

Unajua nilivyopata taarifa ya ile ajali mida ya asubuhi nilishinda siku yote najisikia hatia, mpaka nakajiuliza kwanini lakini sikupata jibu. Nikawa najisikia vibaya tu na uzito ndani yangu.

Tumekua wote, tumecheza wote, tumekula wote, moments nyingi tumeshea tukiwa karibu, tabasamu lake, ni mtu asiyejua kukasirika labda awe pissed off kwa sana, mizaha na utani wake. 30 good years tupo wote, now mwendo kaumaliza.

Mtu mnaongea mnacheka muda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndio kwaheri. Hakujua nini kitatokea usiku ule, hakuna aliyejua ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini. Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia. Sitamuona tena! Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea!

Ushauri: Ishini kwa upendo sana guys, kuwa chanzo cha furaha na tabasamu kwa wote unaokutana nao. Usimdharau mtu yeyote, alienacho asie nacho wote wape heshima.

Usijivune.
Usipungukiwe upendo.
Usimsahau Mwenyezi Mungu.

Moyo wangu unauma.
Ndiyo hivyo tena utasikia wanasiasa wakishangilia vifo vya wengine.
 
Pole sana kwa msiba.

Next time ukijiskia hali hiyo ya uzito kupitiliza ni muhimu uombe kuvunja hiyo hali, hiyo ingeweza kusaidia Kaka yako.
Mkuu mimi nadhani alijisikia hali hiyo isiyo ya kawaida kwake, baada seconds tu baada ya kakake kukata roho. Hivyo kuikemea ni sawa kwa ndugu zake wengine walio hai. Rest easy Abi's Brother.
 
Back
Top Bottom