📌📌kumbe una uelewa finyu, umesikia mkuu! Hapo ulipo kwa sasaivi pia panaweza kuwa eneo la tukio lakuondoka na roho yako na ikatrend na watu wakijiuliza ilikuaje na ulifuata nini marehemu!!
Sehemu yoyote muda wowote mkuu panaweza tokea jambo likatrend dunia nzima.
Ni utapeli sawa na tuma kwenye namna hii.🤨🙄Ile sehemu pale ni ngumu kuamini eti wamekufa watu watatu tu.
Kwa hio tufanye miezi sita?Aiseee msiba ambao unatokea close to you husahau mwezi. thats thing stay with you forever
Punguza utani na misiba, huna adabu kabisa unaleta masiharaKwa hio tufanye miezi sita?
Idadi halisi ikiwekwa hapa mtakamatwa...elewa hivyo...poleni mkuu.Nimeipata hii taarifa, nabishana na watu juzi Serikali inasema wamekufa watatu tu, watu wananiambia wamekufa wengi, leo napata taarifa mtu wangu wa karibu kabisa amefariki.
Hafai ni wakumzika kesho mapema. Nimeumia sana. Nikasema ajali niliyoiona yakupita kumbe imepita na vijana wadogo kabisa wenye ndoto zao. Pole sana na Mungu watangulie vijana wote waliopoteza maisha.
AminSiku tatu hizi hajarudi anapoishi, wamemtafuta simu hapatikani, kazini kwake nao hawampati mwisho akakutwa mortuary hafai Aliopolewa akiwa tayari kaenda.
Unajua nilivyopata taarifa ya ile ajali mida ya asubuhi nilishinda siku yote najisikia hatia, mpaka nakajiuliza kwanini lakini sikupata jibu. Nikawa najisikia vibaya tu na uzito ndani yangu.
Tumekua wote, tumecheza wote, tumekula wote, moments nyingi tumeshea tukiwa karibu, tabasamu lake, ni mtu asiyejua kukasirika labda awe pissed off kwa sana, mizaha na utani wake. 30 good years tupo wote, now mwendo kaumaliza.
Mtu mnaongea mnacheka muda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndio kwaheri. Hakujua nini kitatokea usiku ule, hakuna aliyejua ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini. Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia. Sitamuona tena! Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea!
Ushauri: Ishini kwa upendo sana guys, kuwa chanzo cha furaha na tabasamu kwa wote unaokutana nao. Usimdharau mtu yeyote, alienacho asie nacho wote wape heshima.
Usijivune.
Usipungukiwe upendo.
Usimsahau Mwenyezi Mungu.
Moyo wangu unauma.
Pole mpendwa kifo ni kigumuSiku tatu hizi hajarudi anapoishi, wamemtafuta simu hapatikani, kazini kwake nao hawampati mwisho akakutwa mortuary hafai Aliopolewa akiwa tayari kaenda.
Unajua nilivyopata taarifa ya ile ajali mida ya asubuhi nilishinda siku yote najisikia hatia, mpaka nakajiuliza kwanini lakini sikupata jibu. Nikawa najisikia vibaya tu na uzito ndani yangu.
Tumekua wote, tumecheza wote, tumekula wote, moments nyingi tumeshea tukiwa karibu, tabasamu lake, ni mtu asiyejua kukasirika labda awe pissed off kwa sana, mizaha na utani wake. 30 good years tupo wote, now mwendo kaumaliza.
Mtu mnaongea mnacheka muda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndio kwaheri. Hakujua nini kitatokea usiku ule, hakuna aliyejua ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini. Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia. Sitamuona tena! Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea!
Ushauri: Ishini kwa upendo sana guys, kuwa chanzo cha furaha na tabasamu kwa wote unaokutana nao. Usimdharau mtu yeyote, alienacho asie nacho wote wape heshima.
Usijivune.
Usipungukiwe upendo.
Usimsahau Mwenyezi Mungu.
Moyo wangu unauma.
Pole sana mwanangu AbbySiku tatu hizi hajarudi anapoishi, wamemtafuta simu hapatikani, kazini kwake nao hawampati mwisho akakutwa mortuary hafai Aliopolewa akiwa tayari kaenda.
Unajua nilivyopata taarifa ya ile ajali mida ya asubuhi nilishinda siku yote najisikia hatia, mpaka nakajiuliza kwanini lakini sikupata jibu. Nikawa najisikia vibaya tu na uzito ndani yangu.
Tumekua wote, tumecheza wote, tumekula wote, moments nyingi tumeshea tukiwa karibu, tabasamu lake, ni mtu asiyejua kukasirika labda awe pissed off kwa sana, mizaha na utani wake. 30 good years tupo wote, now mwendo kaumaliza.
Mtu mnaongea mnacheka muda wote, anakwambia baadae basi kumbe ndio kwaheri. Hakujua nini kitatokea usiku ule, hakuna aliyejua ile barabara na kituo ndio njia ya uelekeo kazini. Akajikuta mmoja wa wahanga bila kutarajia. Sitamuona tena! Waliosema hakuna ajuae kesho yake hawakukosea!
Ushauri: Ishini kwa upendo sana guys, kuwa chanzo cha furaha na tabasamu kwa wote unaokutana nao. Usimdharau mtu yeyote, alienacho asie nacho wote wape heshima.
Usijivune.
Usipungukiwe upendo.
Usimsahau Mwenyezi Mungu.
Moyo wangu unauma.
Ni sawa na nilimwelewa mkuu, nachomaanisha hapa ni kuwa kama jambo baya kabisa liko karibu kutokea taarifa itakuja kwako mapema zaidi kabla ya tukio.Mkuu mimi nadhani alijisikia hali hiyo isiyo ya kawaida kwake, baada seconds tu baada ya kakake kukata roho. Hivyo kuikemea ni sawa kwa ndugu zake wengine walio hai. Rest easy Abi's Brother.
Barikiwa sana... pole cuteUsijivune.
Usipungukiwe upendo.
Usimsahau Mwenyezi Mungu.