Ajali ya MV Nyerere: Kangi, Jenista na Kamwelwe bado Mawaziri?

MBONA MNATISHA WATU WAKIONGEA FACTS? NANI ANAOGOPOA KIFO...KAMA WATU 200 WAMEKUFA WITHIN 2 DAYS IJE KUWA ZITTO AU MIMI AU FLANI? HASIKII UOGO WALA UKWELI.
 
Na wewe bado ni mbunge wakati Halmashauri yako mwaka huu ilipata hati chafu??
 
kwa hiyo mm kama ni mwalimu na ww ni daktari wote tumeajiriwa na serikali. tuseme mm sikufundisha vizur, wanafunz wakifeli mtihani tutalaumiwa wote mimi na wewe kwa kuwa tunatumia kodi za wananchi?
 
Wametuziba midomo kwa nguvu ya pyupyupyu kwenye majukwaa ya kuikosoa serikali, sasa acha watu wapumulie kero zao kwenye mitandao ya kijamii kama hivi
 
Kinachonishangaza wakati wa maadhimisho ya sikukuu za kitaifa askari wetu huwa wanakuwa na maonyesho ya "Show of Force" kiasi sisi wanyonge huwa tunakuwa na imani kuwa janga lolote likitokea "we are safe"!
 
Super mafia Ninja kangi wa uloga hawezi jiuzuru kirahisi rahisi hivi
 
Zito umekwenda shule Na ni mjuzi wa kuchambua mambo kwa mapana na marefu lkn kwenye Jambo serious la nchi kunaleta siasa.
 
ACT wazalendo mmefanya nini kwenye zoezi la uokoaji?
 
Kujifanya mnauwezo wa kufikiri Lakini sijaona mkiogelea ziwani kuokoa ndiyo tuseme nyie ni zero ? Kama huwezi kitu usilaumu mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…