kajekudya
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 2,466
- 4,916
Hakuna hoja fikirishi hapa zaidi ya kutugeuza sisi wajinga, Huyu "Mpelesi" ni Mbunge, Kiongozi kila kitu anachofanya ni kwa Kodi yetu hata hii posti aliyotuma ametumia Kodi zetu, narudia Zitto ni Kiongozi Kama walivyo hao anaowataka wajiuzuru, ni ujinga kutuaminisha eti they are not part of this simply because they are from opposition, ukweli unabaki wote ni viongozi, Kama ni serikali imekwama yeye hawezi kujiondoa, unless otherwise aje hapa atueleze kwanini analipwa mshahara na Serikali!Hapa kuna hoja fikirishi na za kufanyiwa kazi, this is constructive criticism atakayekasirika atakuwa ana upungufu mkubwa sana wa akili