Ajali ya mwendokasi tarehe 22/02/2023 tujiulize maswali haya...

Ajali ya mwendokasi tarehe 22/02/2023 tujiulize maswali haya...

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Majuzi imetokea ajali ya kutisha ya basi la Mwendokasi liliyokuwa inatokea Kivukoni.

Miaka 3 iliyopita ilitokea ajali maeneo ya Utumishi jirani na kivukoni ambapo mtembea kwa miguu alikuwa anavuka kwenye zebra aligongwa na basi la mwendokasi na kufariki hapo hapo. Aliyefariki ni jirani yangu ameacha mjane na watoto.

Mwezi Desemba 2022 nilishuhudia ajali ya basi la Mwendokasi likimgonga mtembea kwa miguu mbele ya Mahakama ya Rufaa Kivukoni. Dereva akakimbia.

Ninaamini wengi wetu humu tumeshihudia ajali kadhaa za mabasi haya ya Mwendokasi ambapo madhara ya binadamu yamekuwa yakiripotiwa.

Katika kauli ya Kamanda wa Kanda Maalum Dar akielezea tukio la ajali ya juzi hapa. Alisema basi la Mwendokasi likiwa kwenye njia yake, gari binafsi ikaingilia na kusababisha ajali ile.

Tuangalie matokeo, yaani impact iliyotokana na ajali hii. Basi limeharibika sana na hata upande uliogongwa kumetokea uharibifu mkubwa. Kwa vyovyote vile basi lilikuwa katika speed kali.

Tujiulize hapa;
Mabasi ya Mwendokasi yanaruhusiwa kutembea mijini kwa speedlimit ya KPH ngapi? Pale Kisutu, dereva wa chombo anapita makutano ya Jamhuri na Morogoro kwa speed kubwa na akashindwa kufunga breki na kuparamia maduka.

Afande Muliro, anajihakikishiaje usahihi wa kasi ya basi kushindwa kushika breki hadi linaenda kuparamia watembea wa miguu.

Swali lingine ni hili, mgonjwa unknown, yaani asiyetambulika pale MOI wanatudanganya ili iweje?

Mkiangalia picha za basi baada ya ajali (nitaziweka baadaye) kuna virago vya kulalia vya ombaomba wasio na makazi. Hao nao taarifa zao zipoje? Kwa sababu ni mtu mmoja pekee aliyeonekana anakimbia. Naye alikuwa amekaa kwente kiti.

Tanzania ni yetu sote, tunahitaji kupata majibu ya mikakati ya kupunguza ajali za Mwendokasi.
 
Msanii yangu ni haya
. Yanaitwa ma bus ya mwendokasi yaani rapid transport hivyo yana mwendokasi kisheria kabisa
.Yana njia yake hivyo kuikatiza inahitaji hadhari kubwa
. Kuna udhaifu wa mamlaka hasa kwenye maeneo uliyoyaainisha.. Hatua za usalama hazijazingatiwa kule ambapo njia ya mwendokasi inaingiliana na njia ya magari mengine na waenda kwa miguu
. Eneo la ajali ya juzi lina ajali za kila wiki lakini ya juzi ndio ilikuwa kubwa. Panahitaji traffic lights kwa haraka sana na alama za barabarani
. Kuhusu walala kwenye viambaza wale ni watu wa kudamka alfajiri.. Yaani kukipambazuka tu kibaridi cha dayb wameshaamka maana pale chini hapana starehe kama kitandani ndio maana wengi walisaliika
. Kuhusu uzembe dereva wa gari dogo ndio wa kulaumiwa
 
Kivukoni.

Miaka 3 iliyopita ilitokea ajali maeneo ya Utumishi jirani na kivukoni ambapo mtembea kwa miguu alikuwa anavuka kwenye zebra aligongwa na basi la mwendokasi na kufariki hapo hapo. Aliyefariki ni jirani yangu ameacha mjane na watoto.


Mwezi Desemba 2022 nilishuhudia ajali ya basi la Mwendokasi likimgonga mtembea kwa miguu mbele ya Mahakama ya Rufaa Kivukoni. Dereva akakimbia.

Ninaamini wengi wetu humu tumeshihudia ajali kadhaa za mabasi haya ya Mwendokasi ambapo madhara ya binadamu yamekuwa yakiripotiwa.
Uzoefu wangu ni kwamba yale magari injini ziko nyuma tena mbali kabisa kiasi kwamba mtu akiwa barabarani ni vigumu kulisikia akachukua tahadhari, kuna siku napo mtu alinusurika kikumbo pale Msimbazi hakusikia bus likija

Hao madereva wa mabasi wawe na utamaduni wa kupiga honi kama treni wanapokuwa kwenye mazinhira ya vivuko na mitaa kama ya kisutu ili kuwa alert wanaotaka kuvuka na ikibidi hiyo barabara ijengewe vigingi vizito kuwatenga/kuwakinga waenda kwa miguu na mabasi

Kwenye ile clip, yule aliye kimbia alisikia kishibdo cha rav4 kupigwa ndipo akazinduka
 
Uzoefu wangu ni kwamba yale magari injini ziko nyuma tena mbali kabisa kiasi kwamba mtu akiwa barabarani ni vigumu kulisikia akachukua tahadhari, kuna siku napo mtu alinusurika kikumbo pale Msimbazi hakusikia bus likija

Hao madereva wa mabasi wawe na utamaduni wa kupiga honi kama treni wanapokuwa kwenye mazinhira ya vivuko na mitaa kama ya kisutu ili kuwa alert wanaotaka kuvuka na ikibidi hiyo barabara ijengewe vigingi vizito kuwatenga/kuwakinga waenda kwa miguu na mabasi

Kwenye ile clip, yule aliye kimbia alisikia kishibdo cha rav4 kupigwa ndipo akazinduka
Naunga mkono hoja
Pia kuhusu speedd limit ya magari yale ijulikane.

kwa sababu barabara yao ni uninterrupted wawekewe kasi ya kutembelea ili kumuwezesha dereva kukabili dharura za barabarani
 
Msanii yangu ni haya
. Yanaitwa ma bus ya mwendokasi yaani rapid transport hivyo yana mwendokasi kisheria kabisa
.Yana njia yake hivyo kuikatiza inahitaji hadhari kubwa
. Kuna udhaifu wa mamlaka hasa kwenye maeneo uliyoyaainisha.. Hatua za usalama hazijazingatiwa kule ambapo njia ya mwendokasi inaingiliana na njia ya magari mengine na waenda kwa miguu
. Eneo la ajali ya juzi lina ajali za kila wiki lakini ya juzi ndio ilikuwa kubwa. Panahitaji traffic lights kwa haraka sana na alama za barabarani
. Kuhusu walala kwenye viambaza wale ni watu wa kudamka alfajiri.. Yaani kukipambazuka tu kibaridi cha dayb wameshaamka maana pale chini hapana starehe kama kitandani ndio maana wengi walisaliika
. Kuhusu uzembe dereva wa gari dogo ndio wa kulaumiwa
Umenena vyema Mshana Jr
Nimekuwa nikipitia majibu na maelezo ya wengi kuhusiana na matukio yanayotokea, napata wasiwasi mkubwa na IQ ya wananchi hadi nalihurumia Taifa.

Hili jambo umelitolea maelezo safi kabisa.

IQ za waTZ wengi (sio wote) zinaporomoka kwa kasi ya ajabu. Kama Taifa tunauelekeo mbaya kisiasa na kiuchumi. Ova
 
Majuzi imetokea ajali ya kutisha ya basi la Mwendokasi liliyokuwa inatokea Kivukoni.

Miaka 3 iliyopita ilitokea ajali maeneo ya Utumishi jirani na kivukoni ambapo mtembea kwa miguu alikuwa anavuka kwenye zebra aligongwa na basi la mwendokasi na kufariki hapo hapo. Aliyefariki ni jirani yangu ameacha mjane na watoto.


Mwezi Desemba 2022 nilishuhudia ajali ya basi la Mwendokasi likimgonga mtembea kwa miguu mbele ya Mahakama ya Rufaa Kivukoni. Dereva akakimbia.

Ninaamini wengi wetu humu tumeshihudia ajali kadhaa za mabasi haya ya Mwendokasi ambapo madhara ya binadamu yamekuwa yakiripotiwa.

Katika kauli ya Kamanda wa Kanda Maalum Dar akielezea tukio la ajali ya juzi hapa. Alisema basi la Mwendokasi likiwa kwenye njia yake, gari binafsi ikaingilia na kusababisha ajali ile.

Tuangalie matokeo, yaani impact iliyotokana na ajali hii. Basi limeharibika sana na hata upande uliogongwa kumetokea uharibifu mkubwa. Kwa vyovyote vile basi lilikuwa katika speed kali.

Tujiulize hapa;
Mabasi ya Mwendokasi yanaruhusiwa kutembea mijini kwa speedlimit ya KPH ngapi? Pale Kisutu, dereva wa chombo anapita makutano ya Jamhuri na Morogoro kwa speed kubwa na akashindwa kufunga breki na kuparamia maduka.

Afande Muliro, anajihakikishiaje usahihi wa kasi ya basi kushindwa kushika breki hadi linaenda kuparamia watembea wa miguu.

Swali lingine ni hili, mgonjwa unknown, yaani asiyetambulika pale MOI wanatudanganya ili iweje?

Mkiangalia picha za basi baada ya ajali (nitaziweka baadaye) kuna virago vya kulalia vya ombaomba wasio na makazi. Hao nao taarifa zao zipoje? Kwa sababu ni mtu mmoja pekee aliyeonekana anakimbia. Naye alikuwa amekaa kwente kiti.

Tanzania ni yetu sote, tunahitaji kupata majibu ya mikakati ya kupunguza ajali za Mwendokasi.
Hayo ni Mabasi ya MWENDOKASI! Tusiohusika na njia zake tuchukue tahadhari. Mengine vyombo viendelee
 
Msanii yangu ni haya
. Yanaitwa ma bus ya mwendokasi yaani rapid transport hivyo yana mwendokasi kisheria kabisa
.Yana njia yake hivyo kuikatiza inahitaji hadhari kubwa
. Kuna udhaifu wa mamlaka hasa kwenye maeneo uliyoyaainisha.. Hatua za usalama hazijazingatiwa kule ambapo njia ya mwendokasi inaingiliana na njia ya magari mengine na waenda kwa miguu
. Eneo la ajali ya juzi lina ajali za kila wiki lakini ya juzi ndio ilikuwa kubwa. Panahitaji traffic lights kwa haraka sana na alama za barabarani
. Kuhusu walala kwenye viambaza wale ni watu wa kudamka alfajiri.. Yaani kukipambazuka tu kibaridi cha dayb wameshaamka maana pale chini hapana starehe kama kitandani ndio maana wengi walisaliika
. Kuhusu uzembe dereva wa gari dogo ndio wa kulaumiwa
Point ya kwanza inabidi UDART watoe elimu kuainisha gari zao zinatembea kwa speed gani kulingana na maeneo ya jiji.

Kuitwa mwendokasi haimaanishi speed inayotembea basi bali ni ile hali ya kutokuwa interrupted kwenye njia yake. Unakuta basi la UDART linawahi kufika kwa sababu njia yake haina msongamano. Kuyaruhusu yaende mwendo wanaoutaka inaweza kusababisha dharura hata ajali.

Hawaheshimu vivuko vya zebra zilizokatiza kwenye njia yao.

Mabasi ya express ndo yanaongoza kwa ajali kutokana na madereva wake kubehave kama wala mirungi.



Kuhhsu kulala viambazani. Nakuapia kuwa wapo wanaochelewa kuamka. Naingia mjini mara nyingi wapo wanaolala hadi saa mbili... baada ya kupita eneo la ajali nilifanikiwa kupiga picha hiyo hapo chini (ilkkuwa tayari saa mbili kasoro)
20230222_073042(0).jpg
 
Umenena vyema Mshana Jr
Nimekuwa nikipitia majibu na maelezo ya wengi kuhusiana na matukio yanayotokea, napata wasiwasi mkubwa na IQ ya wananchi hadi nalihurumia Taifa.

Hili jambo umelitolea maelezo safi kabisa.

IQ za waTZ wengi (sio wote) zinaporomoka kwa kasi ya ajabu. Kama Taifa tunauelekeo mbaya kisiasa na kiuchumi. Ova
Hhwezi kulaumu IQ za wananchi wenzako hasa ukizingatia hawana msingi mzuri wa elimu. Pia kuna eneo la wajibu.

Mwananchi unamwambia kivuko cha zebra ni salama zaidi kuvuka lakini haumwambii kuwa ukifika zebra ya mwendokasi hakikisba wewe ndo unasimama kupisha basi lipite. Hasa ukichukulia yanakimbia kama treni. Na wakati mwingine basi moja linasimama kupisha waenda kwa miguu lakini lingine linaovertake hapo.


Jambo la msingi ni kuhakikisha UDART wanatoa elimu ya kutosha kwa jamii na madereva ili kupunguza ajali.

Kushabikia madhara wanayoyapata watu hasa kupoteza maisha au kupata ulemavu kutokana na ajali za mwendokasi ni kipimo kingine cha IQ za Watanzania
 
Msanii yangu ni haya
. Yanaitwa ma bus ya mwendokasi yaani rapid transport hivyo yana mwendokasi kisheria kabisa
.Yana njia yake hivyo kuikatiza inahitaji hadhari kubwa
. Kuna udhaifu wa mamlaka hasa kwenye maeneo uliyoyaainisha.. Hatua za usalama hazijazingatiwa kule ambapo njia ya mwendokasi inaingiliana na njia ya magari mengine na waenda kwa miguu
. Eneo la ajali ya juzi lina ajali za kila wiki lakini ya juzi ndio ilikuwa kubwa. Panahitaji traffic lights kwa haraka sana na alama za barabarani
. Kuhusu walala kwenye viambaza wale ni watu wa kudamka alfajiri.. Yaani kukipambazuka tu kibaridi cha dayb wameshaamka maana pale chini hapana starehe kama kitandani ndio maana wengi walisaliika
. Kuhusu uzembe dereva wa gari dogo ndio wa kulaumiwa
Nashukuru umemjibu! Inaonesha Msanii ana mihemko si bure
 
hawa jamaa inabidi wakitoka kwenye zile njia zao pana ( makutano ya Bibi Titi na Morogoro Rd na kule Kimara Mwisho ) kuja njia nyembamba, inabidi wanyate chini ya 30kph
 
Nashukuru umemjibu! Inaonesha Msanii ana mihemko si bure
Unalazimisha kudivert mada kwa mtazamo wako finyu.

Hapa tunajadiliana hakuna mashtaka wala mihemko

Halafu wewe unaashiria ni mwajiriwa wa polisi tena kikosikazi mliojipa leseni ya kudhuru maisha ya watu ndo maana hauna remorse ya maisha ya watu wengine
 
Unalazimisha kudivert mada kwa mtazamo wako finyu.

Hapa tunajadiliana hakuna mashtaka wala mihemko
Kubali kukosolewa, hii mada ni ya kimihemko na umejibiwa sawia! Acha utoto basi
 
Kubali kukosolewa, hii mada ni ya kimihemko na umejibiwa sawia! Acha utoto basi
Haya nimekubali kukosolewa.

Soma vyema nilochoandika hapo juu.

Upunguze kudandia majibu, tumia tafakuri yako

Hiyo mihemko nenda kamjibu baba yako hivyo
 
Haya nimekubali kukosolewa.

Soma vyema nilochoandika hapo juu.

Upunguze kudandia majibu, tumia tafakuri yako

Hiyo mihemko nenda kamjibu baba yako hivyo
Lengo lako ulitaka watu wakusapoti mwendokasi wana makosa lakini imekuwa tofauti pole sana.
 
Kuhusu uzembe dereva wa gari dogo ndio wa kulaumiwa
alaumiwe kivipi mzee na yale makutano hakuna taa za barabarani

na kama ile njia ni ya mwendokasi pekee ilibidi waweke guard rails kuzuia gari zingine zisi cross,

waweke guard rails mitaa yote inayo cross Morogoro Rd huko Posta, Rav 4 alipaswa kuwa makini, dereva wa Mwendokasi alipaswa kuwa makini vilevile
 
Uzoefu wangu ni kwamba yale magari injini ziko nyuma tena mbali kabisa kiasi kwamba mtu akiwa barabarani ni vigumu kulisikia akachukua tahadhari, kuna siku napo mtu alinusurika kikumbo pale Msimbazi hakusikia bus likija

Hao madereva wa mabasi wawe na utamaduni wa kupiga honi kama treni wanapokuwa kwenye mazinhira ya vivuko na mitaa kama ya kisutu ili kuwa alert wanaotaka kuvuka na ikibidi hiyo barabara ijengewe vigingi vizito kuwatenga/kuwakinga waenda kwa miguu na mabasi

Kwenye ile clip, yule aliye kimbia alisikia kishibdo cha rav4 kupigwa ndipo akazinduka
Kwani watembea kwa miguu wanatumia barabara za magari ndiyo uwe unajihadhari kwa kusikilizia mngurumo wa gari? Kama unapita sehemu ya waenda kwa miguu na unavukia sehemu sahihi, na madereva nao wanaendesha kwa mwendo sahihi na kutumia tahadhari zote, gari kutokuwa na mngurumo siyo tatizo. Ulaya sasa hivi kuna magari mengi ya kabisa ya umeme, na hayana muungurumo kabisa lakini hayajasababisha kuongezeka kwa ajali.
 
alaumiwe kivipi mzee na yale makutano hakuna taa za barabarani

na kama ile njia ni ya mwendoksai pekee ilibidi waweke guard rails kuzuia gari zingine zisi cross,

waweke guard rails mitaa yote inayo cross Morogoro Rd huko Posta, Rav 4 alipaswa kuwa makini, dereva wa Mwendokasi alipaswa kuwa makini vilevile
Wewe ni dereva na una mafunzo ya kuendesha gari? Kwani kwenye makutano ya barabara ni lazima kuwe na taa? Hujui asilimia kubwa ya makutano ya barabara yanatumia alama? i.e. kunakuwa na barabara kuu ambayo madereva wanao-cross au kuingia wanapaswa kusimama kuhakikisha barabara kuu haina gari?
 
Mwaka Jana pia Kuna mtu alibutuliwa na mwendokasi maeneo ya Magomeni mataa, na walivyokuwa hawana utu yule jamaa hawakumuwahisha hospitali, matokeo yake ikawa anatizamwa tuu jinsi anavyozivuta pumzi kwa shida, dk za mwisho eti wakaazima Bajaji wampeleke Muhimbili impact yake yule jamaa alifia njiani. Na madoctor walisema light wangemuwahisha angepona.
 
Back
Top Bottom