Ndondombi Mulin
JF-Expert Member
- Mar 13, 2016
- 413
- 1,868
Mshana Jr kama umepita pale karibuni hupaswi kumlaumu Dereva wa gari Ndogo.Kuhusu uzembe dereva wa gari dogo ndio wa kulaumiwa
Wewe ni dereva na una mafunzo ya kuendesha gari? Kwani kwenye makutano ya barabara ni lazima kuwe na taa? Hujui asilimia kubwa ya makutano ya barabara yanatumia alama? i.e. kunakuwa na barabara kuu ambayo madereva wanao-cross au kuingia wanapaswa kusimama kuhakikisha barabara kuu haina gari?
Huyo kaletewa Leseni na Mjomba wake akiwa nyumbani halafu anajiona Dereva.mara ngapi hao jamaa wanagonga watu kwenye barabara za kushare kisa tu wanaendesha basi la Mwendokasi ?
Kumbuka kuna feeder road na main road bebi niambie gari dogo lilikuwa barabara gani? Na ninani kati ya magari yale mawili alipaswa kuchukua tahadhari anayekatiza barabara ama aliyeko barabara kuu?alaumiwe kivipi mzee na yale makutano hakuna taa za barabarani
na kama ile njia ni ya mwendokasi pekee ilibidi waweke guard rails kuzuia gari zingine zisi cross,
waweke guard rails mitaa yote inayo cross Morogoro Rd huko Posta, Rav 4 alipaswa kuwa makini, dereva wa Mwendokasi alipaswa kuwa makini vilevile
Kuvuka ile Junction ni kama tu KUBET. inahitaji Umakini wa hali ya Juu sana[emoji818]Mshana Jr kama umepita pale karibuni hupaswi kumlaumu Dereva wa gari Ndogo.
Pale Junction mwanzo badala ya Mataa kulikuwa na VIOO mfano wa Side Mirror za gari. Ndio tulikuwa tunatumia unapovuka. Kuona gari za mwendokasi kama zinakuja.
Ila karibuni vile vioo ni havipo tena, hivyo inakuwa ni ngumu kuona Gari ya Mwendokasi kama inakuja.
Kuvuka ile Junction ni kama tu KUBET. inahitaji Umakini wa hali ya Juu sana.
Mwendokasi alipaswa(anapaswa) kuchukua tahadhari kwa kupunguza spidi pindi awapo kwenye barabara za mitaani, punguzeni kutetea ujingaKumbuka kuna feeder road na main road bebi niambie gari dogo lilikuwa barabara gani? Na ninani kati ya magari yale mawili alipaswa kuchukua tahadhari anayekatiza barabara ama aliyeko barabara kuu?
Rejea pia ripoti rasmi ya polisi
Kuanzia junction ya DIT hadi Kivukoni speed limit iwepoNaunga mkono hoja
Pia kuhusu speedd limit ya magari yale ijulikane.
kwa sababu barabara yao ni uninterrupted wawekewe kasi ya kutembelea ili kumuwezesha dereva kukabili dharura za barabarani
Pale nimejadili lile tukio specifically, and not about mwendokasi drivers! Na wala sijawatetea ila nime-react kwa ulichoandika! Wewe umesema huwezi kumlaumu yule dereva kwa sababu hakuna taa za kuongozea magari! Mimi nikakumbia kuwa asilimia kubwa ya makutano ya barabara yanategemea alama na siyo taa! Wapi nilipowatetea madereva wa mwendokasi? Unadhani mimi sijui walivyo wazembe na kujifanya wababe? Jifunze kusoma kwa ufahamu!empty set kabisa, unapalilia tatizo kwa kuwatetea hao wapumbavu ?
mara ngapi hao jamaa wanagonga watu kwenye barabara za kushare kisa tu wanaendesha basi la Mwendokasi ?
huwezi kwepa tatizo kwa kulikimbia, hao jamaa wapunguze spidi pindi wawapo barabara za kushare
la sivyo kila ajali, na ujinga wenu mtazidi kutetea hao wajinga wenzenu kisa yeye ni Mwendokasi
Naona tumefanana mawazo ndio palepale DIThawa jamaa inabidi wakitoka kwenye zile njia zao pana ( makutano ya Bibi Titi na Morogoro Rd na kule Kimara Mwisho ) kuja njia nyembamba, inabidi wanyate chini ya 30kph
Kwakuwa umeanza kuhemka siwezi kuendeleza mjadala nawe ila nakushauri ukasome tena sheria za barabarani. BTW kama sisi tunatetea ujinga vipi kuhusu ripoti ya polisi?Mwendokasi alipaswa(anapaswa) kuchukua tahadhari kwa kupunguza spidi pindi awapo kwenye barabara za mitaani, punguzeni kutetea ujinga
kabisa mzee, wapumbavu wachache wanaruka ruka, oooh angalia kulia kushoto kisha vuka, huku wakisahau mzizi wa tatizo ni niniNaona tumefanana mawazo ndio palepale DIT
vilaza wanaoajiriwa wakiwa na FFFFFFFF au ?kuhusu ripoti ya polisi?
Vipi kuhusu matumizi ya feeder road kati ya aliye main road? Na anayekatiza barabara? Umeona pale Mbezi njia ya kwenda Goba walichofanya? Hili ndio la kujadilivilaza wanaoajiriwa wakiwa na FFFFFFFF au ?
la kujadili ni hao wehu kupunguza spidi wakitoka kwenye njia zao, la mtaendelea kutwanga maji kwenye kinuVipi kuhusu matumizi ya feeder road kati ya aliye main road? Na anayekatiza barabara? Umeona pale Mbezi njia ya kwenda Goba walichofanya? Hili ndio la kujadili
Kuna sheria za barabarani inabidi uzielewe
Ripoti ya polisi ina majibu yotela kujadili ni hao wehu kupunguza spidi wakitoka kwenye njia zao, la mtaendelea kutwanga maji kwenye kinu
Hata maelezo ya polisi kwa watuhumiwa ndio huwa inatumika mahakamani, na kuna malalamiko mengi tu juu yanavyoratibiwa na kuchukuliwa.Ripoti ya polisi ina majibu yote
Ndio itatumika mahakamani na ndio itatumika bima na popote itakapohitajika kumbuka ripoti ya polisi huambatana mpaka na michoro
Nakumbuka hii maana mimi nilipanda mwendokasi ya upande mwingine nilikuwa naelekea kariakoo, sasa nilipofika pale Magomeni ndio nikaona hiyo ajari na lile basi la mwendokasi halikusimama pale likaendelea na safari zakeMwaka Jana pia Kuna mtu alibutuliwa na mwendokasi maeneo ya Magomeni mataa, na walivyokuwa hawana utu yule jamaa hawakumuwahisha hospitali, matokeo yake ikawa anatizamwa tuu jinsi anavyozivuta pumzi kwa shida, dk za mwisho eti wakaazima Bajaji wampeleke Muhimbili impact yake yule jamaa alifia njiani. Na madoctor walisema light wangemuwahisha angepona.
Naam, nimewahi vipna vile viooMshana Jr kama umepita pale karibuni hupaswi kumlaumu Dereva wa gari Ndogo.
Pale Junction mwanzo badala ya Mataa kulikuwa na VIOO mfano wa Side Mirror za gari. Ndio tulikuwa tunatumia unapovuka. Kuona gari za mwendokasi kama zinakuja.
Ila karibuni vile vioo ni havipo tena, hivyo inakuwa ni ngumu kuona Gari ya Mwendokasi kama inakuja.
Kuvuka ile Junction ni kama tu KUBET. inahitaji Umakini wa hali ya Juu sana.