Usijifiche huko,wewe bodaboda fuata alama za barabarani vinginevyo utapitiwa tuu.Kilio Kiko mlangoni kwako na huzuni inapiga hodi maumivu makali yatakufunika kabla hujatubu na kuacha kibri ulichopewa na roho ya mauti
Pale Pugu Kona napo pana hatari. Ule mlima na malori ya mchanga yanayotokea na kwenda Chanika-HombozaWanasema wamezoea magari.Wanachoogopa Dar es salaam ni panyaroad na mvua tu.Magari wao Wala hawajali.Jana Pugu Kona Lori ilitaka kupitia na Boda Boda ikiwa na abiria nyuma Tena ni mwanamke.
Ahera❌Kama zebra iko mbali, ahera itakuwa karibu.
Those two words can be used interchangeably if you know what I mean.Ahera❌
Akhera✅
Madereva wa mwendokasi ni wehuMuda huu saa mbili ahsubuhi tarehe 11 June 2024, nimepita eneo la Urafiki jirani na Shekilango nikiwa ktk Mwendokasi kwenda Kimara, basi nililopanda lilipofika mataa ya Urafiki limechepuka kutoka njia yake na kupita barabara ya kawaida. Tumeenda mbele tunaona kuna umati ktk brbr ya mwendokasi usawa wa depo ya Kilimanjaro Express. Katikati umelala mwili wa binadamu mwenzetu. (RIP)
Tulipokuwa tunakatizi hapo, washuhuda wa ajali wanasema marehemu amegongwa na mwendokasi alipokuwa anavuka. Wanaenda mbali zaidi kumfokea dereva wetu kuwa wamezoea kuua watembea kwa miguu hivyo nao watajitwalia sheria mkononi.
Kwa kumsitiri marehemu, sikupiga picha ya ajali hiyo. Team Picha mtanisamehe
MY TAKE
Iwezekane njia ya mwendokasi iwekewe uzio watu wasivuke hadi kwenye zebra crossing. Nasema hayo kwa sababu madereva wa mwendokasi ni kama wana kinga dhidi ya makosa ya usalama barabarani.
Mwendokasi ya Mbagala itakapoanza tutakuwa na simanzi tele kwa ajali zitakazojiri
Ee Mungu tusaidie
Nimekuelewa! ila Akhera ndivyo inavyoandikwa ila ahera ndivyo inavyotamkwa.Those two words can be used interchangeably if you know what I mean.
Yangejengwa mahandaki ya kuvukia waenda kwa miguuMuda huu saa mbili ahsubuhi tarehe 11 June 2024, nimepita eneo la Urafiki jirani na Shekilango nikiwa ktk Mwendokasi kwenda Kimara, basi nililopanda lilipofika mataa ya Urafiki limechepuka kutoka njia yake na kupita barabara ya kawaida. Tumeenda mbele tunaona kuna umati ktk brbr ya mwendokasi usawa wa depo ya Kilimanjaro Express. Katikati umelala mwili wa binadamu mwenzetu. (RIP)
Tulipokuwa tunakatizi hapo, washuhuda wa ajali wanasema marehemu amegongwa na mwendokasi alipokuwa anavuka. Wanaenda mbali zaidi kumfokea dereva wetu kuwa wamezoea kuua watembea kwa miguu hivyo nao watajitwalia sheria mkononi.
Kwa kumsitiri marehemu, sikupiga picha ya ajali hiyo. Team Picha mtanisamehe
MY TAKE
Iwezekane njia ya mwendokasi iwekewe uzio watu wasivuke hadi kwenye zebra crossing. Nasema hayo kwa sababu madereva wa mwendokasi ni kama wana kinga dhidi ya makosa ya usalama barabarani.
Mwendokasi ya Mbagala itakapoanza tutakuwa na simanzi tele kwa ajali zitakazojiri
Ee Mungu tusaidie
Bado hujaelewa. Maneno yote ni sahihi.Nimekuelewa! ila Akhera ndivyo inavyoandikwa ila ahera ndivyo inavyotamkwa.
Wewe umeandika, hujatamka
Sio sahihi kuandika ahera badala ya akhera labda kama wewe ni MsukumaBado hujaelewa. Maneno yote ni sahihi.
Mimi ni Msukuma kweliSio sahihi kuandika ahera badala ya akhera labda kama wewe ni Msukuma
Nilienda kugoogle kama wewe nikaishia kujicheka😂Mimi ni Msukuma kweli
View attachment 3014449
Wenzako ndio kwanza tunaanza halaf wewe umazumgumzia mwisho??Mungu atupe mwisho mwema.
Mimi ndo kwanza naanza, wewe umeshakula chumvi nyingiiWenzako ndio kwanza tunaanza halaf wewe umazumgumzia mwisho??