Ajali yaua watu wanne wa familia moja Morogoro

Ajali yaua watu wanne wa familia moja Morogoro

Sio kwamba gari ikijaza abiria full (kama hao watu sita ndani ya Spacio) inakua nzito... Stable?
Hakuna kitu kama hicho mkuu hiyo gari ni nyepesi sana nimeshuhudia ajali za hivyo kadhaa unakuta mtu upo slow anakupita kwa kasi akiamini ana uzito wa kutosha kumbe hakuna kitu na kumbuka zile gari nzito kama Navara na ndugu zake hatuziwezi kodi...hivi vipasso vitatatuua sana
 
Nadhani tutapoteza familia sio ukinunua gari tuu na udereva unaweza kisa Leseni umeletewa pana haja kuwa makini ukishindwa kodi dereva awapeleke kijijini kuliko kujaza familia kwa Leseni ya Duka...gari ndogo inapepea inakua nyepesi pale inapopishana na gari kubwa nimeona madereva wengi hawapunguzi mwendo wanapopishana yeye akiamini yupo site yake kumbe katikati ya Tela na horse pale panakua na upepo unaoweza kutoa gari ndogo nje ya bara bara kama utaipita au kupishana na Truck kwa kasi sana...
Sidhani kama shida ni leseni za vichochoroni, shida ni uwezo mdogo wa kufikiri wa mtu mweusi,
 
Sidhani kama shida ni leseni za vichochoroni, shida ni uwezo mdogo wa kufikiri wa mtu mweusi,
Leseni ndio kila kitu watu wengi hawafati taratibu za kupata leseni za kwenda shule na wengi wanaamini wanaotakiwa kwenda shule ni wale wanaotaka C kuendesha bus mimi nipo Road muda mrefu naona makosa ya kizembe mpaka nasikitika na unakuta wamejaza watu ndani...
 
Hivi Spacio ni 7 seater? Aaaah itakua mtoto alikua amepakatwa.

Kumbe eneo la Dumila limetokana na jina la Mt. Joseph Dumila. Anaonekana alikua mtakatifu sana.

Mimi nikiwa dereva, nikiona gari inakuja mbele yangu, naikwepa. Haitonigonga.

Hivi gari za siku hizi zinaundwa kwa materials gani, mbona zikipataga ajali zinapondeka sana?
Mkuu ilo swali apo chini mimi pia niko kujiuliza apa, na sio gari Moja yaani magari Mengi sikuhizi yakipata Ajari yanapondeka pondeka sana, na yanaleta impact kubwa sana kwa waliomo ndani yake.
 
Back
Top Bottom