- Thread starter
- #21
Hata Jeremiah Mtobesya alikuwepo lkn hajatajwa.Hapa Naona Heche Hajatajwa mbona kama nilimuona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Jeremiah Mtobesya alikuwepo lkn hajatajwa.Hapa Naona Heche Hajatajwa mbona kama nilimuona?
Kumbe walienda na Lawyer? Wako makini sanaHata Jeremiah Mtobesya alikuwepo lkn hajatajwa.
Ajenda no. 4...Ccm ndio wenye polisi na mahakama.
..sasa walitakiwa wabebe vilio na hoja za mapolisi na mahakama dhidi ya Chadema.
..Ndivyo.maridhiano yanavyotaka. Cdm waeleze wamekosewa wapi. Ccm, mahakama, Polisi nao waeleze kilio chso na madukuduku yao dhidi ya Cdm.
Kumbe walienda na Lawyer? Wako makini sana
Ajenda no. 4.
This Tactic is supper. Thanks
Bila shaka na wao walitoa yao...Ccm , polisi, mahakama, walipata wasaa wa kueleza madukuduku yao na jinsi walivyokosewa na Cdm?
..Maridhiano ni kwa ajili ya pande zilizokoseana. It is a two way process.
Nadhani kuna mkanganyiko katika majadiliano haya ya CHADEMA na serikali? CCM?..Ccm ndio wenye polisi na mahakama.
..sasa walitakiwa wabebe vilio na hoja za mapolisi na mahakama dhidi ya Chadema.
..Ndivyo.maridhiano yanavyotaka. Cdm waeleze wamekosewa wapi. Ccm, mahakama, Polisi nao waeleze kilio chso na madukuduku yao dhidi ya Cdm.
Haya ni maridhiano kati ya Chadema na CCM, yapo mengine yanayoendelea kati ya TCD na vyombo vya dola labda tunachanganya...Ccm , polisi, mahakama, walipata wasaa wa kueleza madukuduku yao na jinsi walivyokosewa na Cdm?
..Maridhiano ni kwa ajili ya pande zilizokoseana. It is a two way process.
Ni hivi , Tumeingia kwenye mambo haya kwa lengo la kupigania ajenda zetu lakini lingine tunalolifanya ni kukusanya Ushahidi wa Uvumilivu wetu , ambao sasa umefika mwisho , vikao hivi visipotoka na Katiba mpya , Tume huru na uwanja sawa wa mikutano ya hadhara INAWEZA KUWA NDIO MWISHO WA NCHI HIIHadaa ya Samia ipo hapa.
Yeye hataki kuzungumzia chochote kuhusu vikao hivi kwa sababu maalum. Lakini wakati huo huo anafanya mambo yanayoonekana kuwa kinyume na yale yanayosemwa na CHADEMA.
Huu ndio "ujanja ujanja wanaopaswa kuweka umakini mkubwa CHADEMA, kwa sababu mwisho wa siku watatupiwa lawama kuwa wao ndio hawataki maridhiano..
Hiyo namba 51. Upatikanaji wa katiba mpya.
2. Tume huru ya uchaguzi,
3. Zuio la mikutano ya hadhara.
4. Makovu ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
5. Suala la wabunge 19 wa viti maalum.
6. Suala la ruzuku,
7. Usawa wa vyama vya siasa,
8. Watu waliochukuliwa hatua za kisheria kwa sababu za kisiasa.
9. Wakimbizi wa kisiasa waliokimbilia nje ya nchi.
Lengo kubwa la majadiliano hayo ni kuimarisha demokrasia na hali ya kisiasa nchini.
CHADEMA kiliwakilishwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa Mohammed, John Mnyika (Katibu Mkuu), na Katibu Mkuu wa BAWACHA, Catherine Ruge.
Ujumbe wa CCM ulimjumuisha Mwenyekiti wa CCM, Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka.
Kwani serikali ndiyo imepeleka hiyo kesi mahakamani?Serikali usithubutu kuondoa hii kesi mahakamani kama walivyofanya kwenye kesi ya Mbowe.
Ninakubaliana nawe, ila binafsi ningeondoa maneno sita ya mwisho mstari wa pili.Ni hivi , Tumeingia kwenye mambo haya kwa lengo la kupigania ajenda zetu lakini lingine tunalolifanya ni kukusanya Ushahidi wa Uvumilivu wetu , ambao sasa umefika mwisho , vikao hivi visipotoka na Katiba mpya , Tume huru na uwanja sawa wa mikutano ya hadhara INAWEZA KUWA NDIO MWISHO WA NCHI HII
Bwashee jaribu kutaka kuifikisha mwisho nchi hii tukuone. Kama unadhani watu wote ni nyumbu basi kitaeleweka. Mikwala mbuziINAWEZA KUWA NDIO MWISHO WA NCHI HII
Nafikiri anamaanisha ushawishi ilionao kwenye hii kesi.Kwani serikali ndiyo imepeleka hiyo kesi mahakamani?
JK kama hakuwepo Maza hawezi kunijibu CDM1. Upatikanaji wa katiba mpya.
2. Tume huru ya uchaguzi,
3. Zuio la mikutano ya hadhara.
4. Makovu ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
5. Suala la wabunge 19 wa viti maalum.
6. Suala la ruzuku,
7. Usawa wa vyama vya siasa,
8. Watu waliochukuliwa hatua za kisheria kwa sababu za kisiasa.
9. Wakimbizi wa kisiasa waliokimbilia nje ya nchi.
Lengo kubwa la majadiliano hayo ni kuimarisha demokrasia na hali ya kisiasa nchini.
CHADEMA kiliwakilishwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa Mohammed, John Mnyika (Katibu Mkuu), na Katibu Mkuu wa BAWACHA, Catherine Ruge.
Ujumbe wa CCM ulimjumuisha Mwenyekiti wa CCM, Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka.
Hakuna kuingilia mahakama, ila haki itendeke mahakamani. Samia asiweke mkono wake pale wa kuleta delaying tactics, only that!Kwenye suala la akina Halima, mnamuomba Rais avunje Sheria aingilie muhimili wa mahakama? Sasa zamu yenu kuomba maelekezo kutoka juu kwenye maamuzi ya mahakama zetu?
Si mpaka ccm wakubali vinginevyo mtakuwa mnenda kunywa juice na kurudi.1. Upatikanaji wa katiba mpya.
2. Tume huru ya uchaguzi,
3. Zuio la mikutano ya hadhara.
4. Makovu ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
5. Suala la wabunge 19 wa viti maalum.
6. Suala la ruzuku,
7. Usawa wa vyama vya siasa,
8. Watu waliochukuliwa hatua za kisheria kwa sababu za kisiasa.
9. Wakimbizi wa kisiasa waliokimbilia nje ya nchi.
Lengo kubwa la majadiliano hayo ni kuimarisha demokrasia na hali ya kisiasa nchini.
CHADEMA kiliwakilishwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa Mohammed, John Mnyika (Katibu Mkuu), na Katibu Mkuu wa BAWACHA, Catherine Ruge.
Ujumbe wa CCM ulimjumuisha Mwenyekiti wa CCM, Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka.
Mkuu umemsahau Heche, nilimuona pale.1. Upatikanaji wa katiba mpya.
2. Tume huru ya uchaguzi,
3. Zuio la mikutano ya hadhara.
4. Makovu ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
5. Suala la wabunge 19 wa viti maalum.
6. Suala la ruzuku,
7. Usawa wa vyama vya siasa,
8. Watu waliochukuliwa hatua za kisheria kwa sababu za kisiasa.
9. Wakimbizi wa kisiasa waliokimbilia nje ya nchi.
Lengo kubwa la majadiliano hayo ni kuimarisha demokrasia na hali ya kisiasa nchini.
CHADEMA kiliwakilishwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa Mohammed, John Mnyika (Katibu Mkuu), na Katibu Mkuu wa BAWACHA, Catherine Ruge.
Ujumbe wa CCM ulimjumuisha Mwenyekiti wa CCM, Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana, Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka.