Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia wewe umedandia kobe....Kwenye suala la akina Halima, mnamuomba Rais avunje Sheria aingilie muhimili wa mahakama? Sasa zamu yenu kuomba maelekezo kutoka juu kwenye maamuzi ya mahakama zetu?
Full KOMBATI Mkuu...Kumbe walienda na Lawyer? Wako makini sana
Spika aliweka kiburi kutoifuta KATIBA...aliye juu mkatie JUU yake....Hakuna kuingilia mahakama, ila haki itendeke mahakamani. Samia asiweke mkono wake pale wa kuleta delaying tactics, only that!
Great!!!suala la covid si la mahakama, ni suala lililo wazi kabisa kwamba CCM hawataki kuwaachilia kwa hiyo wanatumia Mahakama kama kinga.
Hiki chama kila siku kina ni inspireFull KOMBATI Mkuu...
huna akili tuliza hilo papai juu ya mabega bwasheeChadema bure kabisa
Mnataka Rais aingilie Mahakama kuwakandamiza Covid 19?
😅huna akili tuliza hilo papai juu ya mabega bwashee
Kwenye suala la akina Halima, mnamuomba Rais avunje Sheria aingilie muhimili wa mahakama? Sasa zamu yenu kuomba maelekezo kutoka juu kwenye maamuzi ya mahakama zetu?