MUBENDE
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 1,111
- 1,879
Lazima atapanda basi la kampuni hiyo hiyo atakapo kuwa ameshakuwa sawa. Nikawaida ktk usafirishaji wa abiriaHongera yake ningekua boss wa Katarama mtoto ningempa free access ya kusafiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima atapanda basi la kampuni hiyo hiyo atakapo kuwa ameshakuwa sawa. Nikawaida ktk usafirishaji wa abiriaHongera yake ningekua boss wa Katarama mtoto ningempa free access ya kusafiri
Unamaanisha nini?Hongera yake ningekua boss wa Katarama mtoto ningempa free access ya kusafiri
Kama Mnyakyusa ataitwa MWAKATARAMAWatanzania tulivyo,we subiri tu
Huyo mwanangu watamwita Katarama.
🤣🤣🤣🤣 KabisakabisaKama Mnyakyusa ataitwa MWAKATARAMA
Wewe ulimwona hali aliyokuwa nayo wakati anaanza safari? Je, amejifungua ujauzito wa miezi mingapi?Alitakiwa kuzuiwa kusafiri kwa afya yake, ameatarisha afya yake na mtoto. Na gharama zisizo na msingi wowote
Ila Mungu ni mwema...
Kwa kawaida unajifungua kiumbe chenye umri gani?Wewe ulimwona hali aliyokuwa nayo wakati anaanza safari? Je, amejifungua ujauzito wa miezi mingapi?
Lazima huwe na taarifa ya daktari kukuruhusu kusafiriMsilaumu wenye bus,kuna wanawake mimba miezi 8 ila tumbo kama kitambi cha kawaida tu.
Huyu tayari ni msafiri kama ni boyHongera Sana Na Mtoto Apewe Jina Zuri Sana Tanzania Tumeongezeka
Elimu Bure
Hii naona kwa safari za ndege wanazingatia sana. Basi zetu hizi mmh!Lazima huwe na taarifa ya daktari kukuruhusu kusafiri
Mimi sijifungui!Kwa kawaida unajifungua kiumbe chenye umri gani?
Mwanamke hawezi kuitwa Katarama kwani hio ni jina la kiume. Napendekeza aitwe Nyamwiza, Huyu alikuwa mamake mzee Katarama mwenyewe.Angekuwa Mkinga mtoto angepewa jina la basi.
Hongera yakeInaweza kuwa safari yenye huzuni na kukushtua endapo kunatokea taarifa za kuogofya za ajali hama hama tukio lenye kuhuzunisha.
Hapo hapo safari inaweza kuwa na furaha emdapo safarini kuna vicheko kwa wasafiri.
Tukio lililotokea majira ya saa 19:34 maeneo ya dumila karibu na mzani ni mshangao.
View attachment 3132869
Censored image ☝🏾
Ni abilia aliyekuwa anatokea Dar Es Salaam aliyefahamika kwa jina moja la Aneth kuelekea Bukoba amejifungua mtoto wa kike akiwa safarini.
Hatimaye Mama na mtoto wamebaki kituo cha Afya hapo Dumila kwa uangalizi wa wataalam wa Afya.
Hongera kwa wamama wote waliotoa msaada na hatimaye mzazi kujifungua salama, asante kwa kampuni ya Katarama kwa ushirikiano mliotoa.
USHAURI; Wenye makampuni ya mabasi naona haja ya kuwapa elimu zaidi wafanyakazi wenu hata hii ya ukunga, maana si mara ya kwanza kwa tukio kama hili.
TwajibiInshallah anitunzie huyo mwali nitamuoa
Tuseme inshallah
Nyamwiza mkurya?Mwanamke hawezi kuitwa Katarama kwani hio ni jina la kiume. Napendekeza aitwe Nyamwiza, Huyu alikuwa mamake mzee Katarama mwenyewe.
Yeye Yesu ilikuwa kwenye basi gani?Kila jambo huwa na makusudi ya Mungu Yesu pia alizaliwa katika hali ya kufanana na hiyo