Ajifungua Akiwa Safarini Kwenye Basi Kampuni ya Katarama

Ajifungua Akiwa Safarini Kwenye Basi Kampuni ya Katarama

Ni kos kisheria kupakia au kumpakia mama mwenye ujauzito wa miezi Tisa...fikiria kama asingepata usaidizi nn kingetokea
 
Nice. Ukute alilazimishwa akajifungue ukweni dakika za mwisho mwisho bila kujali hali yake hairuhusu kusafiri masafa marefu
 
Huo ni uzembe na hatari sana.huyo mama alitakiwa asisafiri akiwa anajua amekaribia kujifingua.yaani unajua kabisa umekaribia halafu unasafiri safari kutoka dar Hadi bukoba ya siku mbili?Ingekuwa ndege sawa lakini siyo hii mikweche ya kurusharusha mwili.
 
Inaweza kuwa safari yenye huzuni na kukushtua endapo kunatokea taarifa za kuogofya za ajali hama hama tukio lenye kuhuzunisha.

Hapo hapo safari inaweza kuwa na furaha endapo safarini kuna vicheko kwa wasafiri.

Tukio lililotokea majira ya saa 19:34 maeneo ya dumila karibu na mzani ni mshangao.

View attachment 3132869
Censored image ☝🏾

Ni abiria aliyekuwa anatokea Dar Es Salaam aliyefahamika kwa jina moja la Aneth kuelekea Bukoba amejifungua mtoto wa kike akiwa safarini.

Hatimaye Mama na mtoto wamebaki kituo cha Afya hapo Dumila kwa uangalizi wa wataalam wa Afya.

Hongera kwa wamama wote waliotoa msaada na hatimaye mzazi kujifungua salama, asante kwa kampuni ya Katarama kwa ushirikiano mliotoa.

USHAURI; Wenye makampuni ya mabasi naona haja ya kuwapa elimu zaidi wafanyakazi wenu hata hii ya ukunga, maana si mara ya kwanza kwa tukio kama hili.
Ndege Huwa zinatoa life time ticket Kwa Kichanga,na wao wampe
 
Upo nyuma sana kwenye kufuatilia habari kijana wangu!.

Usitegemee JF pekee, mara moja moja uwe unaingia hata X.
Ulitakiwa kujibu swali badala ya kuleta utito wa kujifanya ni mfiatiliaji.
Mimi nifuatilie habari ya hilo basi iliishaje inanihusu nini? Habari kama hizo inatakiwa kukutana nazo either mutandaoni au ukiwa msafiri, siyo kushinda mitandaoni kuzifuatilia.

Yaani kwa akili zako umeweka kabisa notification ya kufuatilia habari za basi la Kantaramba? Halafu unajitutumua kujiina una ka umri
 
Kuna shida

Mama hakujua amefikia muda wa kujifungua?
Shida ipo kubwa sana. Ni vile amejifungua salama.
Hilo ni kosa kubwa mama amelifanya.
Makadirio ya siku zake za kujifungua hakuyajua?

Wakina mama wengi wanapuuzia elimu ya kliniki kuhusu kujifungua.
 
Back
Top Bottom