Weee Nyamwiza atakuwa je mkurya? Kama nao wanalo hilo jina wamelikopa toka kwa Babu na Bibi zao wa West Lake.Nyamwiza mkurya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee Nyamwiza atakuwa je mkurya? Kama nao wanalo hilo jina wamelikopa toka kwa Babu na Bibi zao wa West Lake.Nyamwiza mkurya?
Una mimba ya karibia kujifungua unaanza safari ya basi dar bukoba😬😬😬😬😬😬😬. Tuna vichaa wengi sana mtaani.Inaweza kuwa safari yenye huzuni na kukushtua endapo kunatokea taarifa za kuogofya za ajali hama hama tukio lenye kuhuzunisha.
Hapo hapo safari inaweza kuwa na furaha endapo safarini kuna vicheko kwa wasafiri.
Tukio lililotokea majira ya saa 19:34 maeneo ya dumila karibu na mzani ni mshangao.
View attachment 3132869
Censored image ☝🏾
Ni abiria aliyekuwa anatokea Dar Es Salaam aliyefahamika kwa jina moja la Aneth kuelekea Bukoba amejifungua mtoto wa kike akiwa safarini.
Hatimaye Mama na mtoto wamebaki kituo cha Afya hapo Dumila kwa uangalizi wa wataalam wa Afya.
Hongera kwa wamama wote waliotoa msaada na hatimaye mzazi kujifungua salama, asante kwa kampuni ya Katarama kwa ushirikiano mliotoa.
USHAURI; Wenye makampuni ya mabasi naona haja ya kuwapa elimu zaidi wafanyakazi wenu hata hii ya ukunga, maana si mara ya kwanza kwa tukio kama hili.
Kwa hio na wewe ni CAR_therinaTupo wachache Sana tuliozaliwa kwenye magari
Hakika hili pia ni jambo la kujiulizaKuna shida
Mama hakujua amefikia muda wa kujifungua?
Hakutakiwa kusafiri huyo asirudie tena kusafiri iwe kwa ndege au gari kama anakaribia kujifunguaInaweza kuwa safari yenye huzuni na kukushtua endapo kunatokea taarifa za kuogofya za ajali hama hama tukio lenye kuhuzunisha.
Hapo hapo safari inaweza kuwa na furaha endapo safarini kuna vicheko kwa wasafiri.
Tukio lililotokea majira ya saa 19:34 maeneo ya dumila karibu na mzani ni mshangao.
View attachment 3132869
Censored image ☝🏾
Ni abiria aliyekuwa anatokea Dar Es Salaam aliyefahamika kwa jina moja la Aneth kuelekea Bukoba amejifungua mtoto wa kike akiwa safarini.
Hatimaye Mama na mtoto wamebaki kituo cha Afya hapo Dumila kwa uangalizi wa wataalam wa Afya.
Hongera kwa wamama wote waliotoa msaada na hatimaye mzazi kujifungua salama, asante kwa kampuni ya Katarama kwa ushirikiano mliotoa.
USHAURI; Wenye makampuni ya mabasi naona haja ya kuwapa elimu zaidi wafanyakazi wenu hata hii ya ukunga, maana si mara ya kwanza kwa tukio kama hili.
Mambo ya kijinga ya ohh nenda kajifungulie kwenu.Angeenda mapema au asingesafiriKuna shida
Mama hakujua amefikia muda wa kujifungua?
Hawatamshtaki lakini no hatari kwa afya ya mama na ya mtotoMambo ya kijinga ya ohh nenda kajifungulie kwenu.Angeenda mapema au asingesafiri
Basi wamshtaki kwa kujifungulia kwenye basi
Probability ya kutokea hivyo ni ndogo sanaSawa umeeleweka
Hizo zitakuwa sifa maana watajitokeza weng kwlkwl
Kufuatilia kwa macho vipi? Yani anaenda uelekeo wa image inapoenda?Sure, ila nimeshangaa mtoto baada ya 3mins kaanza kufuatilia kwa macho, how?.
Wakinga hata kukiwa na mradi wa kupitisha umeme,unashangaa mtoto anaitwa Tanesco, Kuna mzee anaitwa mzee Nailon sijui ilikuaje alivyozaliwaWe jamaa wakinga tumekukosea nini lakini😆😆
Watu Bado wanaishi kizamani kwa kujisemea "mimba yangu ya kwanza ilikuwa hivi" au "mama alikuwa hivi" hivyo nikiondoka naweza kufika. Alafu hofu tu zilizopitwa na wakati mtu anaenda kujifungulia nyumbani maana unakuta na mwanaume wake ameunga mkono hoja ya mkewe kwenda home. Wakati siku hizi mtu akionyesha dalili tu unakimbiza hospital unasikilizia tu atajifungua lini.Huwa sielewi kwann mtu anasafiri akiwa na mimba ya miezi tisa, mwaka 2015 dada yangu alisafiri na ndege toka mkoani akiwa na mimba ya miezi tisa alivyoulizwa airport akasema Ina miezi sita Sasa na mwili wake unajua ni kweli, basi Ile anatua tu pale airport uchungu balaa, akakimbizwa haraka hospitali Ile kufika hata daktari hajamuona akajifungua, alijifungulia pale rugambwa hospital Iko sijui ukonga pale, mjini asingeweza kufika..!
We juha kwel kwelKila jambo huwa na makusudi ya Mungu Yesu pia alizaliwa katika hali ya kufanana na hiyo
ShotocanUna mimba ya karibia kujifungua unaanza safari ya basi dar bukoba😬😬😬😬😬😬😬. Tuna vichaa wengi sana mtaani.
Bwashe hutakaa uwe tajiri Kwa moyo huoHongera yake ningekua boss wa Katarama mtoto ningempa free access ya kusafiri