Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Hizo zitakuwa sifa maana watajitokeza weng kwlkwlHongera yake ningekua boss wa Katarama mtoto ningempa free access ya kusafiri
Sijui kama Katarama wapo hapa JF, ila kana mdau yeyote anahusika nayo basi yapasa wapewe huu ujumbe.Ndege Huwa zinatoa life time ticket Kwa Kichanga,na wao wampe
HakikaKuna shida
Mama hakujua amefikia muda wa kujifungua?
Basi kama 'Basi' au 'Katarama'?😂😂🤣🤣😂🤣🤣Scania
Hapo sasa kwa sifa za wahaya mtoto ataitwa "transport rutaswema" ao ontheway rweyemamu, utasikia we "njiani"rwegoshoraInaweza kuwa safari yenye huzuni na kukushtua endapo kunatokea taarifa za kuogofya za ajali hama hama tukio lenye kuhuzunisha.
Hapo hapo safari inaweza kuwa na furaha endapo safarini kuna vicheko kwa wasafiri.
Tukio lililotokea majira ya saa 19:34 maeneo ya dumila karibu na mzani ni mshangao.
View attachment 3132869
Censored image ☝🏾
Ni abiria aliyekuwa anatokea Dar Es Salaam aliyefahamika kwa jina moja la Aneth kuelekea Bukoba amejifungua mtoto wa kike akiwa safarini.
Hatimaye Mama na mtoto wamebaki kituo cha Afya hapo Dumila kwa uangalizi wa wataalam wa Afya.
Hongera kwa wamama wote waliotoa msaada na hatimaye mzazi kujifungua salama, asante kwa kampuni ya Katarama kwa ushirikiano mliotoa.
USHAURI; Wenye makampuni ya mabasi naona haja ya kuwapa elimu zaidi wafanyakazi wenu hata hii ya ukunga, maana si mara ya kwanza kwa tukio kama hili.
Kampuni ya Katarama si imefungiwa? Au inasafirisha abiria kisirisiri?
Mtoto tushamwita "Katalama" tayariHapo sasa kwa sifa za wahaya mtoto ataitwa "transport rutaswema" ao ontheway rweyemamu, utasikia we "njiani"rwegoshora
Mapema mnoMtoto tushamwita "Katalama" tayari
Wewe bus ndo lilikuwa linataka kuvuka Rusumo wakati mama yako anatoka semina Rwanda ukazaliwa ikabidi tukupe jina la RusumoTupo wachache Sana tuliozaliwa kwenye magari
We jamaa wakinga tumekukosea nini lakini😆😆Angekuwa Mkinga mtoto angepewa jina la basi.
Huyo msafiri hakujua siku zake au amejifungua njiti
Bado hujakabidhiwa bijra zako 72?Inshallah anitunzie huyo mwali nitamuoa
Tuseme inshallah