Ajira mpya za TRA
Haya mtupe na magrup sasa tujiungege huko mtupe madesa custom
 
nimetumia crome ipo poa na nimemaliza link yao yenyewe ukiicliki inalazimisha kufungukia crom kama ipo kwenye pc
Inategemea version ya chrome kama ni updated itazingua ku-upload
 
Wakuu msaada kuna mtu nilikuwa namfanyia applocation tra. Kila kitu chake nimejaza vizuri vipengele vyote ila Bahati mbaya sana kwenye upande wa position nimeweka position isiyo sahihi na attachment ya vyeti vyote nimeattach sio vya kwake.
 
Wakuu msaada kuna mtu nilikuwa namfanyia applocation tra. Kila kitu chake nimejaza vizuri vipengele vyote ila Bahati mbaya sana kwenye upande wa position nimeweka position isiyo sahihi na attachment ya vyeti vyote nimeattach sio vya kwake.
Pole, nadhani ukishatuma hakuna kurudi nyuma.. labda ujaribu kutuma tena uwe na double application
 
jaman apa GPA naweka wapi
IMG_0577.jpg
 
Doh sisi wengine tumejaza ila tumesahau ku attach passport size kwa hy ndo nishakuwa disqualified ama.... au nini naweza fanya maan post ukishaomba haionekani tena
 
Back
Top Bottom