Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwa upande wa passport sio lazima kuattach maana hakuna mahala ambapo imewekwa kuattach iyo passport ila kama unaweza weka kwenye cv yako kwa juu pale.Mfumo uko hovyo sana , kwa kuweka passport hamna Yani shida tupu ,
Poawa mkuu ,asanteMkuu kwa upande wa passport sio lazima kuattach maana hakuna mahala ambapo imewekwa kuattach iyo passport ila kama unaweza weka kwenye cv yako kwa juu pale.
wanasimamia wenyewe andaa calculater pia pepa linakua na muda wa kutosha sio zile za dk 45 na inawezekana ikawa aptitude testHivi interview ya Tra watasimamia wenyewe kwenye mchakato wa kuajiri? Na je paper inaweza ikawaaje? Maana mie nilizoea paper za utumishi ila za wao kama wao zitakuwaje?
Aptitude test zinakera sanawanasimamia wenyewe andaa calculater pia pepa linakua na muda wa kutosha sio zile za dk 45 na inawezekana ikawa aptitude test
Majina yanaweza Toka lini?wanasimamia wenyewe andaa calculater pia pepa linakua na muda wa kutosha sio zile za dk 45 na inawezekana ikawa aptitude test
Kesho.
Duuh
Hua wanatuma kwa email??Kesho.
Hua wanatuma kwa email??
wanasimamia wenyewe andaa calculater pia pepa linakua na muda wa kutosha sio zile za dk 45 na inawezekana ikawa aptitude test
Mkuu umeongea kama ndio HR mwenyewe vile..🤣Kesho.
Mkuu umeongea kama ndio HR mwenyewe vile..[emoji1787]
Iman ndugu yangu[emoji23][emoji23][emoji23]
Eti Jamani ni kweli kama umeomba post zaidi ya moja unakuwa disqualified
chai.Itatoka list kama utumishi wanavyofanya.
Kuna uwezekano hizo Post ulizo omba interview zitafanyika siku Moja , SS sijui utajigawaje mkuu, tupunguze papara, tuombe Mungu hichi kikombe kipite vizuriEti Jamani ni kweli kama umeomba post zaidi ya moja unakuwa disqualified
Kuna uwezekano hizo Post ulizo omba interview zitafanyika siku Moja , SS sijui utajigawaje mkuu, tupunguze papara, tuombe Mungu hichi kikombe kipite vizuri