Ayzakh
Member
- Feb 13, 2016
- 79
- 42
Kwakweli mkuu Mungu ataleta khery zake.Iman ndugu yangu[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli mkuu Mungu ataleta khery zake.Iman ndugu yangu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba ni leoItatoka list kama utumishi wanavyofanya.
Jamani vp kuhusu mahali pa kufanya huo usaili kama kawaida watagawa kikanda au ndio mwendo wa kwenda kujazana pale duce watu wa kigoma au musoma huku sijui itakuwaje
ITA pale panaweza kutosha zoezi zima.TRA si wanachuo chao? ITA
Kwan deadline ni lini wadau? Mbona tangazo hilo limenipitaKaribuni tupeane Updates kuhusu nafasi za kazi zilizotangazwa TRA, tusaidiane jinsi ya kujaza form na kukamilisha maombi kwa pamoja.
Wasilisha hapa changamoto unayokutana nayo katika kufanya maombi yako, kisha wadau watakuja hapa kutoa msaada. karibuni sana
Tukutane nafasi zingine zikitokaKwan deadline ni lini wadau? Mbona tangazo hilo limenipita
ITA pale panaweza kutosha zoezi zima.
Jumla au Kila titleShiortlist haiwezi zidi watu 5,000.
Oh muda wake ulishapita tar 9.Kwan deadline ni lini wadau? Mbona tangazo hilo limenipita
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kesho.
Mwenye news TRA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daah umenichekesha . Mimi naamini this time watakua fair macho yote kwaoAu ndo watu wako training tayar