Ajira mpya za Utumishi zinachanganya. Matangazo yametoka mawili, lipi ni sahihi?

Ajira mpya za Utumishi zinachanganya. Matangazo yametoka mawili, lipi ni sahihi?

Clark boots

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
6,770
Reaction score
6,202
Wadau, tarehe 28 May Utumishi walitangaza nafasi za kazi kwa watanzania kada mbalimbali ILA Kuna kitu kimenichanganya hapa kama ifuatavyo:

Haya matangazo yanaonesha yako mawili na hata idadi ya Ajira zinatofautiana, Kuna tangazo moja lina posts 1904 total na tangazo la pili lina posts 2057.

So Binafsi nashindwa kuelewa hapa, Why matangazo wametoa mawili na nafasi ni tofauti japo Kumb No: ya matangazo yote ni sawa/moja.

Pia nimejaribu kufuatilia content za humu ndani kwa Kila tangazo kweli posts ziko tofautitofauti kulingana na vitengo husika..

Nimeweka na ushahidi wa picha hapa na pdf maana Uzi bila picha haunogi.

Utumishi nipeni maelezo hapa, hizi Ajira mpya mlizotoa idadi kamili zipo 1904 au 2057 au 3963 Jumla?

Na kama ziko 3963 kwanini msitoe kwenye Tangazo moja?

Screenshot_20220601-121813_2.jpg
Screenshot_20220601-121423_2.jpg
 

Attachments

Wadau, tarehe 28 May Utumishi walitangaza nafasi za kazi kwa watanzania kada mbalimbali ILA Kuna kitu kimenichanganya hapa kama ifuatavyo:

Haya matangazo yanaonesha yako mawili na hata idadi ya Ajira zinatofautiana, Kuna tangazo moja lina posts 1904 total na tangazo la pili lina posts 2057.

So Binafsi nashindwa kuelewa hapa, Why matangazo wametoa mawili na nafasi ni tofauti japo Kumb No: ya matangazo yote ni sawa/moja.

Pia nimejaribu kufuatilia content za humu ndani kwa Kila tangazo kweli posts ziko tofautitofauti kulingana na vitengo husika..
Nimeweka na ushahidi wa picha hapa na pdf maana Uzi bila picha haunogi.

Utumishi nipeni maelezo hapa, hizi Ajira mpya mlizotoa idadi kamili zipo 1904 au 2057 au 3963 Jumla?

Na kama ziko 3963 kwanini msitoe kwenye Tangazo moja?

View attachment 2246984View attachment 2246985
Mkuu ingia kwenye portal, omba nafasi inayokufaa. Hayo mengine wewe achana nayo.
 
Kweli mkuu but nikitaka kufahamu tu..
Mkuu ingia kwenye portal, omba nafasi inayokufaa. Hayo mengine wewe achana nayo.
Coz Kuna wadau wangu hapa wa Sheria... Hizo posts zimewachanganya term ya idadi Kila pdf Ina idadi yake. Idadi ya post ni muhimu sana ili mtu ajua kuwa anaingia kinyang'anyiro Cha nafasi ngapi..
 
Kabisa yani huyu dogo anatiririsha thread after second second hadi kero yani
Naomba unitiririshie nyuzi hapa hizo unazosema kuwa natiririsha hapa, tena zenye same contents.. kama huweki nyuzi zaidi ya 3 niruhusu Nije nikutoe MARINDA Sasa hv hapo getho kwako, maana hzo zitakuwa ni shobo, wivu,nongwa na Hila..

Hivi Kuna siku ulishawahi nipa hata Jero la kununua bando la kuingilia JF...?
Why unakerekwa sana na mtu usiyemjua na hata ye hakujui na Wala simaindi kukujua fala kama wewe coz huna msaada wowote in my life.
JamiiForum imeundwa ili watu to socialize kwa mtu anajisikia, kikubwa ni kutovunja sheria zilizowekwa na Niko open to dare anything nachoona ni best kwangu na hata kwa wengine pia, vp unipangie maisha humu kwanza wewe ni nani..? ... Fanya mambo zako ndugu sisi madogo tuache na Mishe zetu(si umeniita dogo), sijui wewe mkubwa tena zee Zima unafuata nini Huku kwenye jukwaa la Ajira Hali ya kuwa Ajira mwisho ni miaka 45.
ACHANA NA MIMI, MBWEA WEWE...
 
Naomba unitiririshie nyuzi hapa hizo unazosema kuwa natiririsha hapa, tena zenye same contents.. kama huweki nyuzi zaidi ya 3 niruhusu Nije nikutoe MARINDA Sasa hv hapo getho kwako, maana hzo zitakuwa ni shobo, wivu,nongwa na Hila..

Hivi Kuna siku ulishawahi nipa hata Jero la kununua bando la kuingilia JF...?
Why unakerekwa sana na mtu usiyemjua na hata ye hakujui na Wala simaindi kukujua fala kama wewe coz huna msaada wowote in my life.
JamiiForum imeundwa ili watu to socialize kwa mtu anajisikia, kikubwa ni kutovunja sheria zilizowekwa na Niko open to dare anything nachoona ni best kwangu bna kwa wengine pia, vp unipangie maisha humu kwsnza we nani..? ... Fanya mambo zako ndugu sisi madogo tuache na Mishe zetu(si umeniita dogo), sijui wewe mkubwa tena zee Zima unafuata nini Huku kwenye jukwaa la Ajira Hali ya kuwa Ajira ni mwisho miaka 45.
ACHANA NA MIMI, MBWEA WEWE...
Marinda hahaha, isijekua hana hayo marindaa
 
Naomba unitiririshie nyuzi hapa hizo unazosema kuwa natiririsha hapa, tena zenye same contents.. kama huweki nyuzi zaidi ya 3 niruhusu Nije nikutoe MARINDA Sasa hv hapo getho kwako, maana hzo zitakuwa ni shobo, wivu,nongwa na Hila..

Hivi Kuna siku ulishawahi nipa hata Jero la kununua bando la kuingilia JF...?
Why unakerekwa sana na mtu usiyemjua na hata ye hakujui na Wala simaindi kukujua fala kama wewe coz huna msaada wowote in my life.
JamiiForum imeundwa ili watu to socialize kwa mtu anajisikia, kikubwa ni kutovunja sheria zilizowekwa na Niko open to dare anything nachoona ni best kwangu bna kwa wengine pia, vp unipangie maisha humu kwsnza we nani..? ... Fanya mambo zako ndugu sisi madogo tuache na Mishe zetu(si umeniita dogo), sijui wewe mkubwa tena zee Zima unafuata nini Huku kwenye jukwaa la Ajira Hali ya kuwa Ajira ni mwisho miaka 45.
ACHANA NA MIMI, MBWEA WEWE...
VAYOLENSI
 
Naomba unitiririshie nyuzi hapa hizo unazosema kuwa natiririsha hapa, tena zenye same contents.. kama huweki nyuzi zaidi ya 3 niruhusu Nije nikutoe MARINDA Sasa hv hapo getho kwako, maana hzo zitakuwa ni shobo, wivu,nongwa na Hila..

Hivi Kuna siku ulishawahi nipa hata Jero la kununua bando la kuingilia JF...?
Why unakerekwa sana na mtu usiyemjua na hata ye hakujui na Wala simaindi kukujua fala kama wewe coz huna msaada wowote in my life.
JamiiForum imeundwa ili watu to socialize kwa mtu anajisikia, kikubwa ni kutovunja sheria zilizowekwa na Niko open to dare anything nachoona ni best kwangu bna kwa wengine pia, vp unipangie maisha humu kwsnza we nani..? ... Fanya mambo zako ndugu sisi madogo tuache na Mishe zetu(si umeniita dogo), sijui wewe mkubwa tena zee Zima unafuata nini Huku kwenye jukwaa la Ajira Hali ya kuwa Ajira ni mwisho miaka 45.
ACHANA NA MIMI, MBWEA WEWE...
Huyo jamaa ni wa kumpuuza ana ujinga mwingi mno ..
 
Naomba unitiririshie nyuzi hapa hizo unazosema kuwa natiririsha hapa, tena zenye same contents.. kama huweki nyuzi zaidi ya 3 niruhusu Nije nikutoe MARINDA Sasa hv hapo getho kwako, maana hzo zitakuwa ni shobo, wivu,nongwa na Hila..

Hivi Kuna siku ulishawahi nipa hata Jero la kununua bando la kuingilia JF...?
Why unakerekwa sana na mtu usiyemjua na hata ye hakujui na Wala simaindi kukujua fala kama wewe coz huna msaada wowote in my life.
JamiiForum imeundwa ili watu to socialize kwa mtu anajisikia, kikubwa ni kutovunja sheria zilizowekwa na Niko open to dare anything nachoona ni best kwangu bna kwa wengine pia, vp unipangie maisha humu kwsnza we nani..? ... Fanya mambo zako ndugu sisi madogo tuache na Mishe zetu(si umeniita dogo), sijui wewe mkubwa tena zee Zima unafuata nini Huku kwenye jukwaa la Ajira Hali ya kuwa Ajira ni mwisho miaka 45.
ACHANA NA MIMI, MBWEA WEWE...
Kwa lugha chafu kama hii isiyo na staha jibu langu kwako ni kukaa kimya
 
Kwa lugha chafu kama hii isiyo na staha jibu langu kwako ni kukaa kimya
Kama ungelikaa kimya toka muda huo Wala usingeliona hiyo lugha chafu.. Frankly Niko social sana humu na nasaidai na watu sana huko PM na hata real life in street.. Ila linapokuja Suala la mtu kuni-undermine kwa vitu visivyo vya msingi indeed sitojali we Mzee namna gani au uko namna gani. Actually nimeumbwa kutotishika na mtu, Sina ndumba hata ya urithi Ila simuogopi mchawi, mkorofi hata nani ukinizingua nitakuzingua Square. So be humble mkuu maisha ni mafupi sana haya usitake watu wakufukie mapema for petty issues like that.
 
Kwani umelazimishwa ujisumbue hapa, kama unaona ni usumbufu unapita kimyakimya.. we mbuzi nn

Hizi ID kwakweli zinawapa watu jeuri sana. Busara ni kumpuuzia unayemuona hana maana kwako kuliko kuingia katika majibishano yasiyo na staha.
 
Wadau, tarehe 28 May Utumishi walitangaza nafasi za kazi kwa watanzania kada mbalimbali ILA Kuna kitu kimenichanganya hapa kama ifuatavyo:

Haya matangazo yanaonesha yako mawili na hata idadi ya Ajira zinatofautiana, Kuna tangazo moja lina posts 1904 total na tangazo la pili lina posts 2057.

So Binafsi nashindwa kuelewa hapa, Why matangazo wametoa mawili na nafasi ni tofauti japo Kumb No: ya matangazo yote ni sawa/moja.

Pia nimejaribu kufuatilia content za humu ndani kwa Kila tangazo kweli posts ziko tofautitofauti kulingana na vitengo husika..
Nimeweka na ushahidi wa picha hapa na pdf maana Uzi bila picha haunogi.

Utumishi nipeni maelezo hapa, hizi Ajira mpya mlizotoa idadi kamili zipo 1904 au 2057 au 3963 Jumla?

Na kama ziko 3963 kwanini msitoe kwenye Tangazo moja?

View attachment 2246984View attachment 2246985
Na wewe umekosea kwenye jumla sio 3963 ni 3961 mmetoa droo tasa. Hongera
 
Back
Top Bottom