Mfumo wa elimu yetu upo hivyo. Usimlaumu mtihitimu Bali ilaumu serikali dharimu ya Ma CCM iliyojaa watu wenye roho mbaya na wanaojali maslahi Yao na familia zao. Serikali ya roho mbaya, unamkalisha mtu kitaa Kwa miaka kumi unakuja kumfanyia mtihani unaofanana na yule aliyemaliza mwaka mmoja uliopita. Maamuzi ya namna hii hufanywa na watu wenye roho mbaya tu na mashetani pekee na wala si binadamu wenye utu na mwenye kumuogopa Mungu. Shame on you Ma CCMPole, ndo shida ya kusomea mitihani badala ya uelewa.
Inaonekana wewe ni miongoni mwa wanufaika wa mfumo mbovu wa CCM.Key of differentiated jomba hujui kweli sisi walimu hatari tupu nimemaliza 2015 lakini siwezi shindwa hizo
Nani kakwambia anataka waajiriwe wote?? Maneno haya tunayasikia kutoka Kwa watu waliolifikisha taifa hili hapa tulipo na hawataki kuamini kama wao ndio wamechangia kutufikisha hapa tulipo. Kama wewe unategemea ajira ya kuteuliwa Kwa sababu Babu/bibi/baba/mama/mjomba au shangazi anajuana au alikuwa kada mtiifu wa CCM ambao ndio wametufikisha hapa, Kaa tu pembeni Hauna ulazima wowote wa Kuweka comment yako hapa.Hamuwezi kuajiriwa wote ndugu yangu, We kubali tu.
Ndo maana nimeanza na kumpa pole.Mfumo wa elimu yetu upo hivyo. Usimlaumu mtihitimu Bali ilaumu serikali dharimu ya Ma CCM iliyojaa watu wenye roho mbaya na wanaojali maslahi Yao na familia zao. Serikali ya roho mbaya, unamkalisha mtu kitaa Kwa miaka kumi unakuja kumfanyia mtihani unaofanana na yule aliyemaliza mwaka mmoja uliopita. Maamuzi ya namna hii hufanywa na watu wenye roho mbaya tu na mashetani pekee na wala si binadamu wenye utu na mwenye kumuogopa Mungu. Shame on you Ma CCM
Hapana, mikando ni lazima, hatutaki walimu vilaza mashuleniJaman Kwa Hali hii Bora serikali irudishe ajira za ualimu KULE TAMISEMI ki ukweli huku kwenye interview tunakomoana hebu fikiria maswali haya kwenye GEOGRAPHY IIIC
Miaka kumi imepita leo naulizwa cognitive dissonance, halo effect, erickson's stages of psychological development, the goal of concealing theory, primary goal of existentialist education, the key principle of differentiated instruction......nakumbuka wapi miaka kumi imepita
Mama yetu Samia tuonee HURUMA turudishen TAMISEMI
Ni wapi serikali ilikwambia ukimaliza chuo wanakuajiri?? Nenda shule za private zimejaa nchi nzima.Mfumo wa elimu yetu upo hivyo. Usimlaumu mtihitimu Bali ilaumu serikali dharimu ya Ma CCM iliyojaa watu wenye roho mbaya na wanaojali maslahi Yao na familia zao. Serikali ya roho mbaya, unamkalisha mtu kitaa Kwa miaka kumi unakuja kumfanyia mtihani unaofanana na yule aliyemaliza mwaka mmoja uliopita. Maamuzi ya namna hii hufanywa na watu wenye roho mbaya tu na mashetani pekee na wala si binadamu wenye utu na mwenye kumuogopa Mungu. Shame on you Ma CCM
Hii Geography ya wapi tena jamani...Kwamba ndio mambo yamebadilika ivi?Jaman Kwa Hali hii Bora serikali irudishe ajira za ualimu KULE TAMISEMI ki ukweli huku kwenye interview tunakomoana hebu fikiria maswali haya kwenye GEOGRAPHY IIIC
Miaka kumi imepita leo naulizwa cognitive dissonance, halo effect, erickson's stages of psychological development, the goal of concealing theory, primary goal of existentialist education, the key principle of differentiated instruction......nakumbuka wapi miaka kumi imepita
Mama yetu Samia tuonee HURUMA turudishen TAMISEMI
Nenda kapambane na usaili jombaa.Halafu nyie wanufaika wa mfumo mbovu wa CCM mnatia hasira Sana.
Kulialia hakutakusaidia.Mfumo wa elimu yetu upo hivyo. Usimlaumu mtihitimu Bali ilaumu serikali dharimu ya Ma CCM iliyojaa watu wenye roho mbaya na wanaojali maslahi Yao na familia zao. Serikali ya roho mbaya, unamkalisha mtu kitaa Kwa miaka kumi unakuja kumfanyia mtihani unaofanana na yule aliyemaliza mwaka mmoja uliopita. Maamuzi ya namna hii hufanywa na watu wenye roho mbaya tu na mashetani pekee na wala si binadamu wenye utu na mwenye kumuogopa Mungu. Shame on you Ma CCM
Walimu na afya walizoea kupewa kazi bila interviews, sasa kimewakuta na uzuri huwezi kukosa cha kujibu japo sio straight lakini kwa maneno mengine ya kuokoteza okoteza, vinginevyo mtu awe mweupe sana na hapo jopo ndo litakapoona huyu si wa kumpa dhamana ya wanafunziNenda kapambane na usaili jombaa.
Hakuna njia ya mkato ya kuapata kazi watu wamepambana sana na usaili zaidi ya miaka mitano ndio wanatoboa.
Walimu usaili mmoja mnaanza kulialia kazeni buti wasomi ni wengi hakuna ajira za burebure.
ππ Ww tena ππNchi ngumu hiii. Na watakwambia umefail mkuu si Kwa sababu ya kukaa muda mrefu kitaa Bali Kwa kutokujua Nini umeulizwa. Kusema ukweli serikali ya CCM Ina watu wenye roho mbaya Sana. Imagine mtu umekaa kitaa miaka 10 plus si Kwa utashi wako Bali Kwa weakness zao(kutokujua Nini mwananchi anatakiwa afanyiwe) halafu wanakuja kukuhalalisha kukaa mtaani Kwa maswali 25 yanayoulizwa kama vile wamekupa notice au format ya mtihani. Kwa ujumla tunaongozwa na watu wenye roho mbaya mno
Umefeli ww unaanza kuwasingizia ccm π kwan kwenye usaili walikuja wamevaa nguo za chama?Halafu nyie wanufaika wa mfumo mbovu wa CCM mnatia hasira Sana.
Ulitaka wakae na nn ili kutunga maswali?Interview zai za kipumbavu Sana sijapata kuona ... Ni mtu anakaa na kitabu anatunga maswali ...
Sasa shule ungeenda kufundisha nnJaman Kwa Hali hii Bora serikali irudishe ajira za ualimu KULE TAMISEMI ki ukweli huku kwenye interview tunakomoana hebu fikiria maswali haya kwenye GEOGRAPHY IIIC
Miaka kumi imepita leo naulizwa cognitive dissonance, halo effect, erickson's stages of psychological development, the goal of concealing theory, primary goal of existentialist education, the key principle of differentiated instruction......nakumbuka wapi miaka kumi imepita
Mama yetu Samia tuonee HURUMA turudishen TAMISEMI
Jiunge na chadema ili upate haki yako πMfumo wa elimu yetu upo hivyo. Usimlaumu mtihitimu Bali ilaumu serikali dharimu ya Ma CCM iliyojaa watu wenye roho mbaya na wanaojali maslahi Yao na familia zao. Serikali ya roho mbaya, unamkalisha mtu kitaa Kwa miaka kumi unakuja kumfanyia mtihani unaofanana na yule aliyemaliza mwaka mmoja uliopita. Maamuzi ya namna hii hufanywa na watu wenye roho mbaya tu na mashetani pekee na wala si binadamu wenye utu na mwenye kumuogopa Mungu. Shame on you Ma CCM