Ajiua kwa kujinyonga siku chache kabla ya harusi yake

Ww ni graduate unashindwa hata kuandika kitu kinachoeleweka??
Mimi na wewe nan ambaye ni smart ? Hujaelewa nn au shobo tu!!

Angalia hata jina lako umeanza na herufi ndogo kati Kuna herufi kubwa ,uliskip madarasa na utakuwa mbara tu kiswahili hujui.
 
Si Bora wewe Kaka yako

Mimi kuna shemeji yangu tuko age Sawa nilimshirikisha kitu cha kiume anipe ushauri nikashangaa dada yangu ananipigia simu.


Tangu siku hiyo sijawahi kumwambia huyu jamaa Jambo langu

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Pole sana ndugu.
 
Msomi gani wewe unaandika kiswahili cha kihuni kwenye issue serious ????
 
Dah hatari sana ,Kuna jambo nyuma ya pazia
Haya mambo yapo huku kwetu bado tunaamini kuna jambo nyuma ya pazia ukweli sio lazima tumeona huko ulaya watu wana kila kitu anaamua kutoa maisha yake hana deni wala hana shida ana kila kitu. Tumesikia wachezaji mpira wana fanya kampeni kuwa ongea na mtu ukihisi una mzongo wa mawazo. Hii ni mental health issue unakuwa unawaza kupita kiasi huna wa kuongea naye akakusikiliza na mbaya zaidi ukiwa na shida halafu wale watu uliokuwa unadhani ni wa karibu sana na wewe unaona wanakuacha unabaki peke yako haijalishi una nini lakini ukipata mtu wa kukusikiliza unapata relief. Ni bahati mbaya lakini sisi bado hatujaona kama mental health ni issue, mimi kuna kijana namjuwa hakuwa close friend lakini tunajuana vizuri sana kijana kasoma ana kazi nzuri sana alikuwa muongeji kiasi ila kuna wakati tabia zikaanza kubadilika haongei sana wala kuingiliana na watu kuna siku nikaongea naye kuuliza una nini unaumwa au kuna mtu mmegombana akasema hapana nikamwambia kama una jambo ukitaka ongea na mimi au rafiki yako yoyote akasema hakuna kitu, nikaongea na rafiki zake wa karibu sana na wote waliona ile hali lakini hatukuweza kumsaidia kuna siku alipotea akaja kukutwa amefariki baada ya siku mbili kaenda sehemu mbali ka pack gari yake na mwili wake umekutwa chini amefariki was very sad hakuna foul yoyote hatujui kilitokea nini mwili wake ukazikwa baada ya kupewa ruhusa kuwa hakuna jeraha lolote ilikuwa sad hatukuweza kumsaidia mpaka leo hatujui alikuwa na nini mawazo yake maana alikuwa na kazi nzuri na good family.
 
Wanawake hawajiui kirahisi kwa sababu wanaongea sana. Katika kuongea kwao wanaweza kupuuzwa au kusaidika, lakini la muhimu wameongea. Kuongea kunapunguza mzigo, kunakupa nafasi ya kufikiria tena, kunakuwezesha kupata mawazo mapya, kunasaidia kujipanga upya. Kujiua ni ubinafsi. Ni kuacha mzigo mkubwa kwa wale waliokua wanakutegemea. Ni kuacha alama ya maumivu yasiyokoma kwa wanao, mke na ndugu zako. Kujiua sio suluhisho. Wanaume tuongee, tuongee, tuongee.![emoji818][emoji817][emoji1545]
 
 
Usikate tamaa endelea kupambana,usichague kaz.
 
Mambo ni mengi sana kwa Wanaume.
Ila kuwa na marafiki wa aina tofauti tofauti pia kuna saidia.
 
Njia ya kukufanya ubaki Salama ni kukaa mbali na Uzinzi na Ulevi

na tusilazimishe Mambo wakati wa Mungu ndo wakati sahihi kujiua kisa Mwanamke ni Upumbavu mkubwa Sana pia lazima uende Motoni hiyo haina mjadala.
 
Kwa upande mwingine aliyejinyonga ana lawama upande mwingine tusimlaumu maana hatujui.
1.Kuna wengine wanajinyonga sababu ya matatizo ya akili na ndio maana wanaojaribu kujiua wakinusurika wanapelekwa kwanza kupimwa afya ya akili.Kuna magonjwa mengine yanamfanya mtu kuwaza kujiua tu mfano ugonjwa wa sonona na Schizophrenia.
2.Kwa upande wa lawama kama ana akili timamu kujiua ni kitendo cha ubinafsi na usiri.

Wanawake hawajiui kama wanaume kwa sababu wao ni waongeaji mno.Kwa kawaida wanawake huwa wakifiwa wanalia sana.Kile kitendo cha kulia kinapunguza sumu mwilini ya kifikra wanaume wao kule kunyamaza sumu inabakia mwilini.

Kwa mdada ambaye ilikuwa aolewe amshukuru mungu sana maana amemuonyeshe angeolewa na mwanaume ambaye hakuwa sahihi kabisa huyu angeweza hata kumu ua.
Kwa upande mwingine aliyejinyonga ana lawama upande mwingine tusimlaumu maana hatujui.
1.Kuna wengine wanajinyonga sababu ya matatizo ya akili na ndio maana wanaojaribu kujiua wakinusurika wanapelekwa kwanza kupimwa afya ya akili.Kuna magonjwa mengine yanamfanya mtu kuwaza kujiua tu mfano ugonjwa wa sonona na Schizophrenia.
2.Kwa upande wa lawama kama ana akili timamu kujiua ni kitendo cha ubinafsi na usiri.

Ushauri kwenye familia au ukoo wenu akitokea mtu amejiua jambo la kufanya haraka sana ni kufanya maombo kama ni wakristo na kama ni waislam ni kufanya dua na maulidi kufuta hiyo laana maana shetani yuko kazini jambo hiyo litajirudia siku ingine kwa kizazi kinachofuatia ao hicho hicho hiyo ni kazi ya shetani ili kukata huo mnyororo lazima kitu kifanyike.

Hapa nchini kuna kabila ambalo lina sifa ya watu kujiua.Hii inaitwa majigambo kwa lugha fasaha hilo kabila silitaji mwenye kujua atalijua mtemi wao alijinyonga kwa kutokutaka kukamatwa na Wajerumani.Sasa kitendo alichokifanya hadi leo kinatembelea watu wa kabila hilo.
Nisameheni kama nimemkwaza mtu huo ndio ukweli
 
Labda nikutie moyo tu, nioneshe tajiri mmoja tu Africa mwenye umri kama wako ambaye utajiri wake sio wa kurithi.

Waliosema life start after 40 hawakuwa wajinga.

Sasa hapo mwanamke atakayekubali kuwa na mahusiano na wewe huyo ndio Mke wa kweli wa kuja kumuowa achana na wajinga wanaokwambia tafuta pesa.
 
Nachokupendea mara nyingi wit. comments zako zinakuwa za ukweli.
Ila nasubiri siku ambayo utageukia mbele kwenye hiyo avatar yako (Kama Ni wewe huyo); hapo utakuwa umedhihirisha ukweli ako.[emoji144][emoji2960]
Apia kabisa [emoji14][emoji14]
 
Laiti angeambiwa kuwa, hakuna dhambi kubwa kama ya kukata tamaa. Tujaribu kushirikisha magumu yetu na watu wengine wanaoaminika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…