Ajiua kwa kujinyonga siku chache kabla ya harusi yake

Asante mkuu....upo sahihi sana

Changamoto ni kwmba sina kazi wala biashara ya kuingiza 100.......

Hapa nafikiria nikaombe wapi kazi yoyote.
 
Unataka kusaidiwa wakati unapesa ulikua unawasaidia wenzako
 
Asante mkuu....upo sahihi sana

Changamoto ni kwmba sina kazi wala biashara ya kuingiza 100.......

Hapa nafikiria nikaombe wapi kazi yoyote.
Pole sana ndugu.
Tatizo ninaloliona kwako unachagua kazi. Fanya hata vibarua,mwanaume unakosaje hata Mia wakati hata ukiamua kuchota maji ya madumu na kuyauza unapata faida ya sh.100 kila dumu.
Umeshindwa hata kuwa dereva wa bodaboda au Bajaj au ukafanya day worker? You are not serious at all.
 
Wakumpa bodaboda au bajaji ni Nani?
Hujui Kama kupata boda boda au bajaji pia inahitaji connection ? Sasa Kama Hana connection hicho unachosema hakiwezekani kabisa.

Kuna kipindi nikiwa nimemaliza chuo Sina mbele Wala nyuma ,nikawa natamani hata saidia fundi kwa siku buku tano lakin nikawa nakosa ,unamfuata fundi ili muongozane anakwambia tayar nipo na watu wangu.
Unaenda viwandani nako unaishia getini wanachukuliwa wanaojulikana na masupervisors .
Hayo maji unayoyasema atachota baharini?
Vipi dumu za kuwekea hayo maji hujui yanapatikana kwa pesa ?
Na je hujawaza mkokoteni wa kubebea hayo maji ni mtaji unatakiwa hapo?

Ujue kuongea ni rahisi Sana hasa Kama hujawahi pitia hizi changamoto..
Watu wanapambana lakin inashindikana kabisa ,ndio hapo watu wanaamua kujiua maana anaona Kama dunia inamzomea na imemnyea.
Zaid hapa tutoe mbinu nyingi nyingi ili wenzetu waweze kujikwamua kwa kumwambia fanya iki na kile Ila sio kuwaona hawana mbinu au hawana akili mpaka wakakosa had kazi za kuwapatia hata 100.
 
Well said mkuu

Uishi Maisha marefu
 
Kila kitu kinapaswa kwenda kwa vipimo, mizani ikilemea upande mmoja ujue kuna tatizo mbele.
Ila mkuu tunaishi kwanza, kupendwa kunafuata, embu jiulize unaishi ili upende na kupendwa au unapenda au kupendwa ili uoshi?
 
Mkuu ndio walimwengu tulivyo....
 
Heb niambie dm kabila lako naelimu yako na upo mkoa gani naeza kusaidia mahali
 
Waafrika sisi au kuna waafrika kwenye bara lingine?.

"Mwanaume aongei sana asee.." hiyo ndiyo moja ya kauli inayotamkwa sana na binadamu wa kutoka Afrika na hata unapoongea kwa mmoja mmoja ili kupata hafueni basi ni kama umebeba kipaza sauti ukitangazia umma!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…