Akili gani hii mtu ananunua costa milion 100 kwa ajili ya kupewa laki 1 kwa siku

Bado ni uwekezaji mgumu. Itachukua miaka miwili kurudisha pesa. Mwaka wa 3 ndo faida itaanza.
 
kwa siku tshs 100,000
Kwa mwez tshs 3,000,000/-
Kwa miez 6 tshs 18,000,000/-
Kwa mwaka tshs 36,000,000/-
Kwa miaka 10 tshs 360,000,000/-

Biashar umefanya bila hasara ,nilikuw nawaz kununua costa then niache kazi,

Costa ni million 40/60
Hilo la million 100 sijui ni lpi na linaleta hesabu ndogo.

Any way nikikomaa mwenyew sitoboi
 
Naona watu bado wanahitaji Sana Financial and investment education,

Shida Sio unaingiza kiasi Gani cha pesa per day, shida Sio unawekeza kiasi Gani kama capital.
Kwanza tunaangalia risk ya kupoteza origin capital.
Ukichukua 100m unainvest kwenye duka ni rahisi Sana kupoteza mtaji wote kwasababu costumers ndio wanadetermine money flow kwenye biashara yako

Tofauti na biashara ya usafirishaji ambapo money floor inategemea na root zako kila siku.

Kingine watu wanahangaika kutafuta passive income( with little supervision)

Sasa MTU ameinvest 100m let's say kila day anapata 100k hapo ameshatoa gharama zote za uendeshaji wakati huo huo ana comprehensive insurance kuna shida Gani??

Hatuangalii Biashara inatoa shingapi tunaangalia tunabiashara ngapi ambazo zinatoa faida kidogo kidogo Ila tukijumlisha tunapata Hela nyingi na biashara hizo zinajiendesha na kuna kuwa na uhakika wa mtaji wetu kuwa safe
 
Na hizo ni hesabu za karatasi ingia ground
 
Million mia siyo costa moja, unapata hata tatu...


Cc: Mahondaw

Vipi ikipiga mzinga ikabaki skrepa
 
Una uelewa mdogo gari inakuwa BIMA means ikipata ajali wala sio tatizo

Kama Gari inaweza kurudisha faida within two years and half maana yake hela ipo

Kinachowasumbua black people ni usimamizi tu.

Biashara yoyote ukipata usimamizi mzuri unatoboa
 
Una uelewa mdogo gari inakuwa BIMA means ikipata ajali wala sio tatizo

Kama Gari inaweza kurudisha faida within two years and half maana yake hela ipo

Kinachowasumbua black people ni usimamizi tu.

Biashara yoyote ukipata usimamizi mzuri unatoboa
Unacosalta ngapi mkuu
 
Kwakweli nilishafanyaga ujinga huu ,ni upuuzi mtupu ,total wastage of money
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…