MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Bado ni uwekezaji mgumu. Itachukua miaka miwili kurudisha pesa. Mwaka wa 3 ndo faida itaanza.fatilia vizuri hii biashara mkuu, usije na hesabu za juu juu.
wengi wanaofanya daladala ya kuingiza 100k kwa siku hawanunui hiyo bei. wengi wanakimbilia nissan civilian 55M hadi 60M. aliyejiongeza atatoa 70M apate ile old na hesabu kwa gari mpya 130 hadi 150k inategemea na route.
wanaonunua hizo za M100 wanafanya special hire ama tlb ya kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine na hesabu zake zinavuka 200k kutegemea na route.
ukija njoo na unachokifaham usije na maneno ya kuambiwa utakatisha watu tamaa wanaotaka kuwekeza kwenye hii biashara.
Bado ngoma aijapiga mzingaBado ni uwekezaji mgumu. Itachukua miaka miwili kurudisha pesa. Mwaka wa 3 ndo faida itaanza.
Kwel biashara hazihitaj mahesabu mengi maana utashindwa kufanyaBiashara nyingi hufanywa vema na watu wasiopigapiga mahesabu na kujidai wana shule vichwani mwao.Biashara haitaki cos,tan wala f(x).
Yes mtu mweusi ni mjingaLakini hizo Costa kila siku zinanunuliwa na zinajaa barabarani.
Unataka kutuamaminisha humu kuwa hao watu wote ni wajinga na hawajui wanachokifanya??
Na hizo ni hesabu za karatasi ingia groundkwa siku tshs 100,000
Kwa mwez tshs 3,000,000/-
Kwa miez 6 tshs 18,000,000/-
Kwa mwaka tshs 36,000,000/-
Kwa miaka 10 tshs 360,000,000/-
Biashar umefanya bila hasara ,nilikuw nawaz kununua costa then niache kazi,
Costa ni million 40/60
Hilo la million 100 sijui ni lpi na linaleta hesabu ndogo.
Any way nikikomaa mwenyew sitoboi
Watu wengi wenye vielimu huanza kupiga hesabu hadi ya hasara kabisa wakati hata biashara yenyewe hajaanza.Uthubutu na moyo mgumu hawana.Wao waajiriwe tu ndiyo kunawafaa.Kwel biashara hazihitaj mahesabu mengi maana utashindwa kufanya
Vipi ikipiga mzinga ikabaki skrepaNaona watu bado wanahitaji Sana Financial and investment education,
Shida Sio unaingiza kiasi Gani cha pesa per day, shida Sio unawekeza kiasi Gani kama capital.
Kwanza tunaangalia risk ya kupoteza origin capital.
Ukichukua 100m unainvest kwenye duka ni rahisi Sana kupoteza mtaji wote kwasababu costumers ndio wanadetermine money flow kwenye biashara yako
Tofauti na biashara ya usafirishaji ambapo money floor inategemea na root zako kila siku.
Kingine watu wanahangaika kutafuta passive income( with little supervision)
Sasa MTU ameinvest 100m let's say kila day anapata 100k hapo ameshatoa gharama zote za uendeshaji wakati huo huo ana comprehensive insurance kuna shida Gani??
Hatuangalii Biashara inatoa shingapi tunaangalia tunabiashara ngapi ambazo zinatoa faida kidogo kidogo Ila tukijumlisha tunapata Hela nyingi na biashara hizo zinajiendesha na kuna kuwa na uhakika wa mtaji wetu kuwa safe
Wewe jamaa naona ni mjinga sana. Kwani ikipiga mzinga si kuna bima? Umeng'ang'ania sana suala la mzinga.Bado ngoma aijapiga mzinga
Unaota wewe
Unajua maana ya comprehensive insurance??Vipi ikipiga mzinga ikabaki skrepa
Tulia ueleweshwe.Mjinga mama Yako pumbavu itakua shoga wewe unapaniki vitu vya kitoto ndio maana unajiita mama
We umefanya hiyo biashara tuanzie hapo naona unarahisisha tuUnajua maana ya comprehensive insurance??
Watu wanabima kubwa ambayo ikila mzinga ambao ni total loss wanaolipwa Gari Mpya na gharama zingine za majeruhi
Unacosta ngapi?Tulia ueleweshwe.
Unacosalta ngapi mkuuUna uelewa mdogo gari inakuwa BIMA means ikipata ajali wala sio tatizo
Kama Gari inaweza kurudisha faida within two years and half maana yake hela ipo
Kinachowasumbua black people ni usimamizi tu.
Biashara yoyote ukipata usimamizi mzuri unatoboa
Kwakweli nilishafanyaga ujinga huu ,ni upuuzi mtupu ,total wastage of moneyHii ni biashara nyingine kichaa yaani unawekeza milion 100 Kwa ajili ya laki 1 Kwa siku na hiyo pesa unalipata kkwa mbinde na siku nyingine utaletewa mpaka elfu 50 aisee huyu mtu anaakili timamu kweli yaani mwaka unaisha hata nusu ya Bei alionunulia kicosta chake haijarudi yaani hapo bado hata ajali haijapata ambapo inaweza kupata mzinga ukaambulia skrepa aisee mtu mweusi anasafari ndefu Sana ya utajiri duniani