Akili gani hii ya Kiafrika! Viwanja vya ndege vimefungwa na mashirika ya meli kubadili njia. Kenya na Malawi wanawaza kupeleka vibarua Israel

Akili gani hii ya Kiafrika! Viwanja vya ndege vimefungwa na mashirika ya meli kubadili njia. Kenya na Malawi wanawaza kupeleka vibarua Israel

Mim nishasema hao waizrael wakija bongo kusaka nguvu kazi mimi nitakuwa wa kwanza,niko radhi kuacha ualimu ili nikasotee kibarua cha 4M kwa mwezi,ualimu wangu ninao kwa zaidi ya miaka 10 hadi sasa nalipwa 780K kama basic,na take home ni 500K,jumlisha na madeni ya benki nabakiwa na 200K kwa mwezi,kwa mwaka mmoja ninaingiza 2M+,wakati nikienda huko kwa mwaka nitakuwa na 48M,nikipiga miaka miwili tu ninakuwa na 96M,wakati kwa ualimu wangu kwa miaka miwili nitakuwa na 4M+ .


Kifo kipo tu,hata leo tukifatilia ni watanzania wangapi wamekufa ni almost 200 nchi nzima,japo nchi yetu haiko vitani.

Mama aruhusu waizrael waje kuchukua nguvu kazi.
sir why don't you snap out

find real target then quit that job
 
Mgosi we waache wapeleke raia wao Ili warudishe maiti , maana waafrika siku zote wanapenda kujikomba kwa wazungu , kule amani haiko shwari muda wowote mabom yanarindima lkn afrika tunajidai hatuoni


Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Gaza mpakani na Isael.kuko salama

Hamas walishatimuliwa panakaliwa na Jeshi la Israel robo tatu ya eneo lote la Gaza liko mikononi mwa Israel .Hamasi hawana ubavu Tena wa kurusha hata jiwe kwenye eneo la Israel lliko salama vita ya Sasa inapiganwa ndani ya Gaza Tena maeneo ya ndani huko mipakani na nchi zingine sio Israel

Lengo la kwanza kivita la Israel ilikuwa kuwatoa Hamas mikoa yote mpakani na Israel na kuikalia kijeshi na wameweza wao ndio watawala wa Gaza Kwa Sasa hakuna serikali ya Hamas Wala mjumbe wa nyumba kumi wa Hamasi
Upande wa Israel Kiko salama maisha yanaendelea kama kawaida
 
Mim nishasema hao waizrael wakija bongo kusaka nguvu kazi mimi nitakuwa wa kwanza,niko radhi kuacha ualimu ili nikasotee kibarua cha 4M kwa mwezi,ualimu wangu ninao kwa zaidi ya miaka 10 hadi sasa nalipwa 780K kama basic,na take home ni 500K,jumlisha na madeni ya benki nabakiwa na 200K kwa mwezi,kwa mwaka mmoja ninaingiza 2M+,wakati nikienda huko kwa mwaka nitakuwa na 48M,nikipiga miaka miwili tu ninakuwa na 96M,wakati kwa ualimu wangu kwa miaka miwili nitakuwa na 4M+ .


Kifo kipo tu,hata leo tukifatilia ni watanzania wangapi wamekufa ni almost 200 nchi nzima,japo nchi yetu haiko vitani.

Mama aruhusu waizrael waje kuchukua nguvu kazi.
Basi basi basi inatosha mkuu.

Halafu kule watu hawatumii nguvu saaana, ni mashine tu.
 
Mim nishasema hao waizrael wakija bongo kusaka nguvu kazi mimi nitakuwa wa kwanza,niko radhi kuacha ualimu ili nikasotee kibarua cha 4M kwa mwezi,ualimu wangu ninao kwa zaidi ya miaka 10 hadi sasa nalipwa 780K kama basic,na take home ni 500K,jumlisha na madeni ya benki nabakiwa na 200K kwa mwezi,kwa mwaka mmoja ninaingiza 2M+,wakati nikienda huko kwa mwaka nitakuwa na 48M,nikipiga miaka miwili tu ninakuwa na 96M,wakati kwa ualimu wangu kwa miaka miwili nitakuwa na 4M+ .


Kifo kipo tu,hata leo tukifatilia ni watanzania wangapi wamekufa ni almost 200 nchi nzima,japo nchi yetu haiko vitani.

Mama aruhusu waizrael waje kuchukua nguvu kazi.
Mkienda kufa huko hatutaki malalamiko humu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Endelea kusubiri mpaka dada Yako amfurahishe shemeji Yako ndio upate hela ya bando ya kuja kuandika ujinga humu ndani huku watu wakiendelea na shughuli zao kama kawaida.
Nendeni tu ila mkienda kifirwa na kuuawa huko hatutaki malalamiko ya kuja kufungua nyuzi kila sekunde humu mkijiliza na kuwaita Hamas magaidi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ikiwa ni mwezi wa tatu wa vita kati ya wapalestina na Israel bado vita vikali vinapiganwa katika ya jiji la Gaza na makombora kurushwa na kudondoka Tel Avivi la karibuni likiwa lile la jana.

Hali hiyo imelazimisha viwanja vyote vya Israel kutokuwa salama kwa safari za anga kupelekea wafanyakazi zaidi ya 600 kupewa likizo za lazima bila malipo.

Upande wa kaskazini ya nchi hiyo nako vita vimewahamisha maelfu ya wayahudi kwenda kuishi kwenye mahoteli kama kambi za wakimbizi.Hiyo ni kutokana na Hizbollah kupiga maeneo hayo pamoja na mifumo ya ulinzi wa anga ya Iron dome.

Kwa kusini ya Israel wanajeshi wa Houth ndani ya Yemen wamekuwa wakizilenga meli zote zenye mafungamano na Israel au zinazoelekea nchini huko katika juhudi zao za kuwatetea wapalestina.Meli hata zisizokuwa na mafungamano na Israel na hazielekei huko lakini zimekosa imani na eneo hilo la bahari nyekundu.Mashirika karibu yote makubwa yanayotumia mfereji wa Sueza yameamua kutumia njia ndefu ya kuzunguka Afrika Kusini ili kujilinda na makombora na droni za Houth.

Katika hali hiyo ya vita nchi kama Malawi na Kenya zina mpango wa kupeleka vibarua nchini Israel kujaza mapengo ya vibarua kama hao kutoka Thailanda waliokimbia sehemu zao za kazi ambazo ziko karibu na Gaza.
Inashangaza malengo ya nchi hizi ni yapi kuhusiana na kupeleka raia wao maeneo hayo ya vita.

Jee nia ni kusaidia Israel ambayo uchumi wake umepata pigo, ni tamaa ya kipato kwa raia wake maskini au ni kupuuza malalamiko na nia za wapalestina kutetea maeneo yao hayo wanayokusudia kupeleka raia zao?.
pindi watakapopata madhara ya vita nani atalaumiwa ?
Unaacha kufikiria waafrika wanaojiunga na Al Shabaab, Al Qaeda, Bokoharam etc unakosoa watu walioenda Israel kwa ajili ya mafunzo! Ni aheri hata ungepinga waafrika wanaonyanyisika kwenye kazi majumbani huko Uarabuni.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mkienda kufa huko hatutaki malalamiko humu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Siogopi kifo,death ni something constant,kitu pekee binadamu anapaswa kuogopa ni kuzaliwa tu,ila ukishazaliwa jiadae kufa,korona imeuwa watanzania wengi about 1000+,wewe uliye hai uriathirika vipi na vifo vya hao watanzania!?
 
Mkuu
Ninaanza kuona hizi vita ni population control plan.

Waache waende
Ikiwa ni mwezi wa tatu wa vita kati ya wapalestina na Israel bado vita vikali vinapiganwa katika ya jiji la Gaza na makombora kurushwa na kudondoka Tel Avivi la karibuni likiwa lile la jana.

Hali hiyo imelazimisha viwanja vyote vya Israel kutokuwa salama kwa safari za anga kupelekea wafanyakazi zaidi ya 600 kupewa likizo za lazima bila malipo.

Upande wa kaskazini ya nchi hiyo nako vita vimewahamisha maelfu ya wayahudi kwenda kuishi kwenye mahoteli kama kambi za wakimbizi.Hiyo ni kutokana na Hizbollah kupiga maeneo hayo pamoja na mifumo ya ulinzi wa anga ya Iron dome.

Kwa kusini ya Israel wanajeshi wa Houth ndani ya Yemen wamekuwa wakizilenga meli zote zenye mafungamano na Israel au zinazoelekea nchini huko katika juhudi zao za kuwatetea wapalestina.Meli hata zisizokuwa na mafungamano na Israel na hazielekei huko lakini zimekosa imani na eneo hilo la bahari nyekundu.Mashirika karibu yote makubwa yanayotumia mfereji wa Sueza yameamua kutumia njia ndefu ya kuzunguka Afrika Kusini ili kujilinda na makombora na droni za Houth.

Katika hali hiyo ya vita nchi kama Malawi na Kenya zina mpango wa kupeleka vibarua nchini Israel kujaza mapengo ya vibarua kama hao kutoka Thailanda waliokimbia sehemu zao za kazi ambazo ziko karibu na Gaza.
Inashangaza malengo ya nchi hizi ni yapi kuhusiana na kupeleka raia wao maeneo hayo ya vita.

Jee nia ni kusaidia Israel ambayo uchumi wake umepata pigo, ni tamaa ya kipato kwa raia wake maskini au ni kupuuza malalamiko na nia za wapalestina kutetea maeneo yao hayo wanayokusudia kupeleka raia zao?.
pindi watakapopata madhara ya vita nani atalaumiwa ?
 
Unaacha kufikiria waafrika wanaojiunga na Al Shabaab, Al Qaeda, Bokoharam etc unakosoa watu walioenda Israel kwa ajili ya mafunzo! Ni aheri hata ungepinga waafrika wanaonyanyisika kwenye kazi majumbani huko Uarabuni.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Wako wanaokwenda kufanya kazi majumbani tena kwa hiyari zao na hakuna malalamiko ya maana wanayokuja nayo.Kama ni kweli yale yanayotajwa wangerudi.
Ama kuhusu wanaojiunga na akina bokoharam ni watu hewa kwa vile hayo makundi ni makundi hewa yanayojulikana zaidi na Marekani na wenzake
 
Ikiwa ni mwezi wa tatu wa vita kati ya wapalestina na Israel bado vita vikali vinapiganwa katika ya jiji la Gaza na makombora kurushwa na kudondoka Tel Avivi la karibuni likiwa lile la jana.

Hali hiyo imelazimisha viwanja vyote vya Israel kutokuwa salama kwa safari za anga kupelekea wafanyakazi zaidi ya 600 kupewa likizo za lazima bila malipo.

Upande wa kaskazini ya nchi hiyo nako vita vimewahamisha maelfu ya wayahudi kwenda kuishi kwenye mahoteli kama kambi za wakimbizi.Hiyo ni kutokana na Hizbollah kupiga maeneo hayo pamoja na mifumo ya ulinzi wa anga ya Iron dome.

Kwa kusini ya Israel wanajeshi wa Houth ndani ya Yemen wamekuwa wakizilenga meli zote zenye mafungamano na Israel au zinazoelekea nchini huko katika juhudi zao za kuwatetea wapalestina.Meli hata zisizokuwa na mafungamano na Israel na hazielekei huko lakini zimekosa imani na eneo hilo la bahari nyekundu.Mashirika karibu yote makubwa yanayotumia mfereji wa Sueza yameamua kutumia njia ndefu ya kuzunguka Afrika Kusini ili kujilinda na makombora na droni za Houth.

Katika hali hiyo ya vita nchi kama Malawi na Kenya zina mpango wa kupeleka vibarua nchini Israel kujaza mapengo ya vibarua kama hao kutoka Thailanda waliokimbia sehemu zao za kazi ambazo ziko karibu na Gaza.
Inashangaza malengo ya nchi hizi ni yapi kuhusiana na kupeleka raia wao maeneo hayo ya vita.

Jee nia ni kusaidia Israel ambayo uchumi wake umepata pigo, ni tamaa ya kipato kwa raia wake maskini au ni kupuuza malalamiko na nia za wapalestina kutetea maeneo yao hayo wanayokusudia kupeleka raia zao?.
pindi watakapopata madhara ya vita nani atalaumiwa ?
Hakuna cha vibarua wa mashambani wala manamba,hao wanaenda kupiga day work ndani ya IDF kulinda kupukutika kwa wanajeshi wao.
 
Siogopi kifo,death ni something constant,kitu pekee binadamu anapaswa kuogopa ni kuzaliwa tu,ila ukishazaliwa jiadae kufa,korona imeuwa watanzania wengi about 1000+,wewe uliye hai uriathirika vipi na vifo vya hao watanzania!?
Corona imeuwa watu 1000 nani kasema
 
Mgosi we waache wapeleke raia wao Ili warudishe maiti , maana waafrika siku zote wanapenda kujikomba kwa wazungu , kule amani haiko shwari muda wowote mabom yanarindima lkn afrika tunajidai hatuoni


Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Wanaojikomba kwao , wala hawana habari nao , eti nao wanataka kubarikiwa

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Mim nishasema hao waizrael wakija bongo kusaka nguvu kazi mimi nitakuwa wa kwanza,niko radhi kuacha ualimu ili nikasotee kibarua cha 4M kwa mwezi,ualimu wangu ninao kwa zaidi ya miaka 10 hadi sasa nalipwa 780K kama basic,na take home ni 500K,jumlisha na madeni ya benki nabakiwa na 200K kwa mwezi,kwa mwaka mmoja ninaingiza 2M+,wakati nikienda huko kwa mwaka nitakuwa na 48M,nikipiga miaka miwili tu ninakuwa na 96M,wakati kwa ualimu wangu kwa miaka miwili nitakuwa na 4M+ .


Kifo kipo tu,hata leo tukifatilia ni watanzania wangapi wamekufa ni almost 200 nchi nzima,japo nchi yetu haiko vitani.

Mama aruhusu waizrael waje kuchukua nguvu kazi.
Ndio utalipwa 4m utaacha shikingi ngapi hapo au unafikri utakuja nayo yote

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Mgosi we waache wapeleke raia wao Ili warudishe maiti , maana waafrika siku zote wanapenda kujikomba kwa wazungu , kule amani haiko shwari muda wowote mabom yanarindima lkn afrika tunajidai hatuoni


Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
hamas hawafi ? Wanashindwa kuwalenga wayaudi wanaua waafrika na ww unashabikia , mtu mweusi kalaaniwa
 
Back
Top Bottom