Akili inakataa kuwa Camara kauza gemu ile, Nakuomba sana Magori msifikie huko

Akili inakataa kuwa Camara kauza gemu ile, Nakuomba sana Magori msifikie huko

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Bw Magori amepost kwenye page yake akionekana kumtuhumu Kipa wetu Camara kuwa hakuwa sababu ya kuurukia ule mpira akiamini Camara alifanya mchongo

Magori wewe ni mtu makini sana na watu wanakuamini mno, kwamba Camara kachonga ishu sikubaliani na ww hata kidogo

Kama lawama basi apewe Kijiri aliyejifunga na sio Camara

Tujipange, Sasa hv kufungwa na Yanga sio ishu tena
 
Bw Magori amepost kwenye page yake akionekana kumtuhumu Kipa wetu Camara kuwa hakuwa sababu ya kuurukia ule mpira akiamini Camara alifanya mchongo

Magori wewe ni mtu makini sana na watu wanakuamini mno, kwamba Camara kachonga ishu sikubaliani na ww hata kidogo

Kama lawama basi apewe Kijiri aliyejifunga na sio Camara

Tujipange, Sasa hv kufungwa na Yanga sio ishu tena
Atakuwa na tatizo la afya ya akili
 
Bw Magori amepost kwenye page yake akionekana kumtuhumu Kipa wetu Camara kuwa hakuwa sababu ya kuurukia ule mpira akiamini Camara alifanya mchongo

Magori wewe ni mtu makini sana na watu wanakuamini mno, kwamba Camara kachonga ishu sikubaliani na ww hata kidogo

Kama lawama basi apewe Kijiri aliyejifunga na sio Camara

Tujipange, Sasa hv kufungwa na Yanga sio ishu tena
Kama Magori amesema hivyo basi hana akili timamu.
Hii Simba tulitakiwa kunyamaza tu kwani tulishapoteza derbi tatu mfululizo kabla ya hii lakini ajabu tuliruhusu midomo midomo tena ya wachezaji kutamba ujinga mtupu.
Msemaji wetu mimi nilishampuuza sana kwani huwaandaa maadui wajilinde na anakuwa motivation mkubwa kwa timu pinzani na kuwajengea kujiamini kupita kiasi timu yake matokeo ndio haya

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Washaanza kupanic
Siku sio nyingi kamara anaachwa
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-19-20-02-49-072_com.gbinsta.android-edit.jpg
    Screenshot_2024-10-19-20-02-49-072_com.gbinsta.android-edit.jpg
    562.4 KB · Views: 7
Kumbe huyu Mzee Magori ni Mtu wa Ovyo kiasi hiki? Sasa Utamlaumu vipi Camara na Wakati Gori kajifunga kelvin kijiri? Kama Lawama Apewe Refa Ambaye Mpira Umetoka Lakini Yeye Akaruhusu Uchezwe By the way Tumefungwa , Pale Akuna Mchezaji yoyote wa kumlaumu, Game of chance
 
Golikipa Camara ni kipa wetu nasi Simba Sport Club tunampenda. Hayo mengine yako.
 
Ila Camara kazingua. Nadhani ule mpira alikuwa anawazia zaidi kuwa man of the match badala ya kufanya jambo lililo bora na sahihi zaidi.
 
Kama Magori amesema hivyo basi hana akili timamu.
Hii Simba tulitakiwa kunyamaza tu kwani tulishapoteza derbi tatu mfululizo kabla ya hii lakini ajabu tuliruhusu midomo midomo tena ya wachezaji kutamba ujinga mtupu.
Msemaji wetu mimi nilishampuuza sana kwani huwaandaa maadui wajilinde na anakuwa motivation mkubwa kwa timu pinzani na kuwajengea kujiamini kupita kiasi timu yake matokeo ndio haya

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wewe umeiona hiyo komenti ya Magori au na wewe ni mpumbavu kama mleta post?
 
Simba tunaganga yajayo, tunajua tuna kikosi kipya na ni kizuri ni suala la muda tu
 
Back
Top Bottom