Akili inakataa kuwa Camara kauza gemu ile, Nakuomba sana Magori msifikie huko

Akili inakataa kuwa Camara kauza gemu ile, Nakuomba sana Magori msifikie huko

Bw Magori amepost kwenye page yake akionekana kumtuhumu Kipa wetu Camara kuwa hakuwa sababu ya kuurukia ule mpira akiamini Camara alifanya mchongo

Magori wewe ni mtu makini sana na watu wanakuamini mno, kwamba Camara kachonga ishu sikubaliani na ww hata kidogo

Kama lawama basi apewe Kijiri aliyejifunga na sio Camara

Tujipange, Sasa hv kufungwa na Yanga sio ishu tena
Ni kweli kauza mechi, kila timu inayofungwa na Yanga mnasemaga hivyo. Sasa mtuambie mmepewa bei gani.
 
Kesho Simba Kuna mgogoro. Kocha ameanza kuweka vitu vyake sawa maana wakati wowote kuanzia Sasa, kuanzia pale Simba walipojifunga....desh desh desh......
 
Kuna aliyeona camara alipigwa tochi usoni kabla chama hajapiga mpira?

Angalia vizuri marudio ya ile faulo halafu angalia camara wakati anapanga mabeki wake pale chini,

Utaona kitochi rangi kijani usoni mwake.
 
Shida ya simba inaanzia kwenye management kule juu lakini hawashtuki engineer hersi anawazunguka.
 
Kumbe huyu Mzee Magori ni Mtu wa Ovyo kiasi hiki? Sasa Utamlaumu vipi Camara na Wakati Gori kajifunga kelvin kijiri? Kama Lawama Apewe Refa Ambaye Mpira Umetoka Lakini Yeye Akaruhusu Uchezwe By the way Tumefungwa , Pale Akuna Mchezaji yoyote wa kumlaumu, Game of chance
Upo sahihi, poleni watani.
 
Ikifika mechi ya Yanga kikosi kinakua kipya
Ni kweli, Kikosi ni kipya na huwezi kukipima kwa kushinda mechi za kawaida za ligi, Binafsi nitaanza kuilaumu Simba baada ya dirisha la January maana hapa kocha amekaa na timu na amejua mchezaji yupi hafai kuichezea Simba.
 
Wakati wa usajili inaonekana MO alimpa kazi mshauri wake wa karibu katika soka ndugu Magori akiamini kua ni mafya na Simba ita tamba.

Magori ndiye aliyehusika katika usajili wa Simba kwa wachezaji wengi waliopo na walio ondoka.
Magori ndiye aliye sababisha makosa mengi ya usajiri kwa sajili za Lawi, Awesu, Kagoma na Valentino akiamini yeye ni mafya katika kazi hizo.

Bahati mbaya Sajili nyingi alizo husika hazijafanya vizuri, Sasa kama ka post icho alicho post ni kama anataka kujitoa katika shinikizo kutoka kwa tajili aliye mwamini (MO) na kumtupia uyo kipa.

Kuwatumia watu wa old model kama Magoli katika mpira wa kisasa ndio ulio leta shida Simba msimu huu.

Quality ya wachezaji wengi wa Simba walio ingia msimu huu ni ndogo na ata wakikaa mwaka mzima haita saidia kwakua wanacho toa ndio ubora walio nao.

Kinacho wabeba ni ulozi hasa kimataifa lakini Quality Bado.
 
Ni kweli, Kikosi ni kipya na huwezi kukipima kwa kushinda mechi za kawaida za ligi, Binafsi nitaanza kuilaumu Simba baada ya dirisha la January maana hapa kocha amekaa na timu na amejua mchezaji yupi hafai kuichezea Simba.
Kwenye ngao ya hisani mlisema bado hamjaungana tutakutana kwenye ligi leo tena kikosi kipya wengine Kayoko mara Camara teueni kisingizio kimoja
 
Kuna aliyeona camara alipigwa tochi usoni kabla chama hajapiga mpira?

Angalia vizuri marudio ya ile faulo halafu angalia camara wakati anapanga mabeki wake pale chini,

Utaona kitochi rangi kijani usoni mwake.
Haina madhara ile
 
Back
Top Bottom