mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Vitochi vinaruhusiwa na FIFA?Haina madhara ile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitochi vinaruhusiwa na FIFA?Haina madhara ile
Hio tochi imetoka wapi maana alikuwa pekeake pale. Nani alipiga hicho kitochi?.Vitochi vinaruhusiwa na FIFA?
Magori akili imeisha kabisa, kwa vile yeye alitumika kununua mechi basi anadhani kila mtu anafanya hivyo, hivi kwanini alirejeshwa Simba na alirejeshwa na nani?Bw Magori amepost kwenye page yake akionekana kumtuhumu Kipa wetu Camara kuwa hakuwa sababu ya kuurukia ule mpira akiamini Camara alifanya mchongo
Magori wewe ni mtu makini sana na watu wanakuamini mno, kwamba Camara kachonga ishu sikubaliani na ww hata kidogo
Kama lawama basi apewe Kijiri aliyejifunga na sio Camara
Tujipange, Sasa hv kufungwa na Yanga sio ishu tena
Na atawazunguka sana kama ameshaiweka management yenu mfukoni amebakiza kuwaweka wanachama wenu mfukoni🤣🤣🤣Shida ya simba inaanzia kwenye management kule juu lakini hawashtuki engineer hersi anawazunguka.
KIZAZI KINACHOAMINI UCHAWI NA USHIRIKINA . SOMESHENI WATOTO WENU ILI WASIWE WAJINGA KAMA NYIE.Kipa hakuuza mechi lakini lile goli ni uchawi mtupu, sijawahi kuona kipa akiurejesha mpira ndani ili afungwe, ule ni uchawi 100%