Akili inakataa kuwa Camara kauza gemu ile, Nakuomba sana Magori msifikie huko

Akili inakataa kuwa Camara kauza gemu ile, Nakuomba sana Magori msifikie huko

Bw Magori amepost kwenye page yake akionekana kumtuhumu Kipa wetu Camara kuwa hakuwa sababu ya kuurukia ule mpira akiamini Camara alifanya mchongo

Magori wewe ni mtu makini sana na watu wanakuamini mno, kwamba Camara kachonga ishu sikubaliani na ww hata kidogo

Kama lawama basi apewe Kijiri aliyejifunga na sio Camara

Tujipange, Sasa hv kufungwa na Yanga sio ishu tena
Magori akili imeisha kabisa, kwa vile yeye alitumika kununua mechi basi anadhani kila mtu anafanya hivyo, hivi kwanini alirejeshwa Simba na alirejeshwa na nani?
 
Kipa hakuuza mechi lakini lile goli ni uchawi mtupu, sijawahi kuona kipa akiurejesha mpira ndani ili afungwe, ule ni uchawi 100%
 
Shida ya simba inaanzia kwenye management kule juu lakini hawashtuki engineer hersi anawazunguka.
Na atawazunguka sana kama ameshaiweka management yenu mfukoni amebakiza kuwaweka wanachama wenu mfukoni🤣🤣🤣
 
Kipa hakuuza mechi lakini lile goli ni uchawi mtupu, sijawahi kuona kipa akiurejesha mpira ndani ili afungwe, ule ni uchawi 100%
KIZAZI KINACHOAMINI UCHAWI NA USHIRIKINA . SOMESHENI WATOTO WENU ILI WASIWE WAJINGA KAMA NYIE.
 
Back
Top Bottom