Akili inakataa kuwa Camara kauza gemu ile, Nakuomba sana Magori msifikie huko

Akili inakataa kuwa Camara kauza gemu ile, Nakuomba sana Magori msifikie huko

Huyo Magori ni mpuuzi ,
Bw Magori amepost kwenye page yake akionekana kumtuhumu Kipa wetu Camara kuwa hakuwa sababu ya kuurukia ule mpira akiamini Camara alifanya mchongo

Magori wewe ni mtu makini sana na watu wanakuamini mno, kwamba Camara kachonga ishu sikubaliani na ww hata kidogo

Kama lawama basi apewe Kijiri aliyejifunga na sio Camara

Tujipange, Sasa hv kufungwa na Yanga sio ishu tena
Mangungu na benchi la ufundi ndio shida
 
Maneno haya hayafai kuongea kiongozi mkubwa kama yy,kwanza italeta frustration kubwa sana kwa wachezaji kwenye timu,sometimes wanaweza wakapoteza hata michezo ijayo.Haya maneno ni ya kuongea mshabiki na si kiongozi.
 
Duuuh...! Mikia bwana kwa nini hamuwezi kukubali tu YANGA kwa sasa ni DUDE limewazidi. Yaani tayari mmeanza kutoana kwenye leli?. Mwambie huyo magori akakar yeye golini kama hawezi kuurukia ule mpira kwa minajiri ya kusave. Ukiwa kipa asingeweza kuona mpaka angle ya nyuma kuona ule mpira ungeweza kuleta madhara gani golini. Mipira kama ile huwa inakatika. Camara kosa lake ni lipi pale?
 
Maneno haya hayafai kuongea kiongozi mkubwa kama yy,kwanza italeta frustration kubwa sana kwa wachezaji kwenye timu,sometimes wanaweza wakapoteza hata michezo ijayo.Haya maneno ni ya kuongea mshabiki na si kiongozi.
Ndivyo walivyozoeshana na viongozi wao ili mradi tu isionekane walifungwa na Yanga kwa kuzidiwa bali kwa bahasha. Kumbuka mechi ya 1-5 ilivyoisha tu eti wakatangaza wachezaji kadhaa kusimamishwa kwasababu ya tuhuma za rushwa dhidi ya Yanga. Halafu cha ajabu mazoezini Bunju wanaonekana. Viongozi wa Simba wameshaona fasheni kuwachonganisha wachezaji na mashabiki ilimradi wao wawe salama juu ya matokeo dhidi ya Yanga
 
Tatizo Simba ni viongozi, tulifungwa goli 5 sababu ya viongozi kwa sababu watu walianza kulalamika timu haichezi vizuri majibu yao wao wanajali ushindi.
Wakawasukumizia lawama wachezaji wamehujumu wakati wao ni wazembe.
 
Ukimsoma Magori kwa harakaharaka unaweza kufikiri anamlaumu Camara,lakini ukirejea kauli "hata huko Conakry tutafika" na ukiangalia trend ya makosa ya Camara tangu mechi dhidi ya Coastal Union utaona kuwa ana maana nyingine zaidi ya hiyo
 
Bw Magori amepost kwenye page yake akionekana kumtuhumu Kipa wetu Camara kuwa hakuwa sababu ya kuurukia ule mpira akiamini Camara alifanya mchongo

Magori wewe ni mtu makini sana na watu wanakuamini mno, kwamba Camara kachonga ishu sikubaliani na ww hata kidogo

Kama lawama basi apewe Kijiri aliyejifunga na sio Camara

Tujipange, Sasa hv kufungwa na Yanga sio ishu tena
Mkuu wewe na Magori mnaingia kwenye kundi mmoja....... sasa pale utamlaumi vipi Kijili?

Ni ngumu sana kuokoa mpira unaopota kwenye chaki ya goli huku ukiwa umeupa mgongo uwanja

Binafsi naamini ni bahati tu leo ilikua upande wa Yanga
 
Muanzisha mada ni mbuzi na ustahili kua mbuzi siku zote..Yanga huwezi kuafunga kwa kikosi hicho cha simba yani Camara nae ni golikipa kweli?
 
Mkuu wewe na Magori mnaingia kwenye kundi mmoja....... sasa pale utamlaumi vipi Kijili?

Ni ngumu sana kuokoa mpira unaopota kwenye chaki ya goli huku ukiwa umeupa mgongo uwanja

Binafsi naamini ni bahati tu leo ilikua upande wa Yanga
HAkuna bahati ni uchaiwi tu
 
Back
Top Bottom