KDF-BabaYao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 221
- 317
Nasi mbona tusiwacheke mnapojisifia hapa kwamba nyinyi ndiyo mabingwa hapa East & Central Africa ??☻Mnakuja hapa mnajisifia, mna modern weapons, EA nzima nyie ni military mighty. Mmenunua new attack helicopters sijui mambo tele. Afu mwisho wa siku havina faida katika kumalizana nao hao jamaa kwanini tusiwacheke?
Kwanini tusiwacheke na sifa zenu mnazojisifia huku JESHI linaiba supermarket instead of defending its people? Shame kwa kweli
Kutosheka ama kutotosheka lakini inatambulikana vyema kuwa lengo la kuipiga Kenya ni kwa sababu na wao "wanalipiza kisasi" kwa uvamizi katika "ardhi yao". Na haya yametokea kama sikosei baada ya Kenya kupeleka majeshi yake huko. Huyo mkuu wao hapo Kenya anatumika kulipiza kisasi tu, ndio maana hawezi ata ku advance na kuanza ku claim territories maana inaonekana sio lengo la makao makuu.Unadhani akina Ahmed Iman Ali mkuu wa Wakenya huko alkebab anatosheka revenge attacks?
Lengo lao kuu ni kuteka nyara miji yote ya kiislam, kutoka Somalia hadi msumbiji
They even have a song about it..sijiui wateke hadi zanzibar,tafuta youtube
There is a strategy behind these attacks...one is to show the govt is incapable of protecting its people
Two is as a form of economic terrorism ...hayo mengine ujijazie
Tofauti yetu na nyie, sisi hatukuwa kusini kivita. Sasa ivi tupo kivita na wao. Tusubiri tuone itaendeleaje.... Au wewe unataka kuwapa Alshabbab ushindi na kwamba wameangusha serikali tayari?Nasi mbona tusiwacheke mnapojisifia hapa kwamba nyinyi ndiyo mabingwa hapa East & Central Africa ??☻
Ilhali wanajeshi wenu wanatoroka wanamgambo waliokuwa na rpg and ak47s only...nanyi mna silaha nzito nzito?
Mkuu wa wakenya hayuko nchini, amejificha huko Somalia. They cannot hold territory in Kenya !!Kutosheka ama kutotosheka lakini inatambulikana vyema kuwa lengo la kuipiga Kenya ni kwa sababu na wao "wanalipiza kisasi" kwa uvamizi katika "ardhi yao". Na haya yametokea kama sikosei baada ya Kenya kupeleka majeshi yake huko. Huyo mkuu wao hapo Kenya anatumika kulipiza kisasi tu, ndio maana hawezi ata ku advance na kuanza ku claim territories maana inaonekana sio lengo la makao makuu.
Nataka ujue tu, hawa jamaa, wakiweka nia ya kutaka kuangusha utawala, basi kijiji ama mji waliouteka, wanaweka kambi na kuanza kudefend na ku attack from that point na sio washapata ardhi afu wanaikimbia, refere ISIS in Syria, wakichukua mjia hawatoki wana defend hapo, hawa ndio wanataka kuangusha utawala. Hawa inaonekana hapo msumbiji wameboeka wakasema ngoja tukabeep TZ kama wanataka na wao, in short, huenda wakawa ni wahuni tu hawana exact goals kwenye campaign yao.
And by the way, mimi ni believer kuwa hivi vikundi, vimetengezwa sio kwa kutaka kueneza dini, ila kuchafua dini na kupitisha mipango yao mabeberu ya kibepari, lakini too bad, innocent people who think they are fighting for the right cause because they were brainwashed into believing it wana fall into the trap.
Hawa jamaa baada ya kufanya tukio, kwa vile wamo Watanzania basi wamewashauri waondoka eneo hilo maana JWTZ ikishajua hpatatosha
Hawa wanamgambo hawaezi angusha serikali yoyote, Kenya ama TZ...Tofauti yetu na nyie, sisi hatukuwa kusini kivita. Sasa ivi tupo kivita na wao. Tusubiri tuone itaendeleaje.... Au wewe unataka kuwapa Alshabbab ushindi na kwamba wameangusha serikali tayari?
Furaha yangu aisee[emoji120]
Deaths of JWTZ rises from 2 to 3🔥🔥masikini utazeeka na kufa hujaona hilo likitimia
Deaths of JWTZ rises from 2 to 3[emoji91][emoji91]
Tofauti yetu na nyie, sisi hatukuwa kusini kivita. Sasa ivi tupo kivita na wao. Tusubiri tuone itaendeleaje.... Au wewe unataka kuwapa Alshabbab ushindi na kwamba wameangusha serikali tayari?
Chenu kimotoni🦍una taarifa kdf walikwenda 50???
Chenu kimotoni[emoji1664]
Baby steps...hata hamjaingia zone ya ied[emoji851]
Mimi ni mkenya mpenda amani, ila vifo vya wans JWTZ sikitishwi kabsahuyu ni mmoja wao,msome kwa utulivu utagundua.
Natamani kuona vifaa vya JWTZ vikilepuliwa🤣🤣zone ya wapi wewe!!!!
kuna kitu unatamani kukiona ila haiwezekani.
Mimi ni mkenya mpenda amani, ila vifo vya wans JWTZ sikitishwi kabsa
Wengine wenu mlikuwa mnatucheka tulipopigwa[emoji1787].
Wacha nami nijipe raha, endeleeni kugongana mandugu zetu
Tusiongopeane, kundi kama la Al shabbab wanao uwezo wa kuhold territory popote na kuanza mashumbulizi from that point tena from there itategemea na Jshi la nchi husika how they can regain that territory back au ni question of WHEN? tu.Sema Hawana hio agenda, Agenda yao hapo kwenu ni kuwatandika kwa kuwakera ardhini mwao.Mkuu wa wakenya hayuko nchini, amejificha huko Somalia. They cannot hold territory in Kenya !!
Naona unajaribu kuilinganisha na ISIS sana...pale alot of covert ops zilikuwa zinafanyika hadi ikafikia ISIS kuget power.
Walianza as a movement who were invited by rebels but in the end wakatakeover...
In iraq nayo ilikuwa issue ya wasunni na Shia...ISIS walikuwa katika miji ya masunni sana sana.
Why do you think America cannot win this war, its assymetrical...battlefield is fluid na wanaweza tokea popote at anytime at their own choosing
Vita yetu na alkebab ilianza be4 the official one aka covertly na hao kuanza kutax kenyans on the border na cross border attacks kama za Mtwara
Wakitusabahi, nanyi mnapewa chenu cha usikukuwacheka wakenya hatutaacha.unajua sababu???
kasome heading ya huu uzi,ndio utajua ujinga wenu ndio huwafanya tuwacheke,anyway endelea kuchekelea hapa kabla alshabaab hawajawasabahi tena 2020.
Natamani kuona vifaa vya JWTZ vikilepuliwa[emoji1787][emoji1787]
Niskie mnavyoskia wanajeshi wetu wakipigwa vita somalia[emoji19]
Wakitusabahi, nanyi mnapewa chenu cha usiku
Waendelee kuwatoboa[emoji108][emoji108][emoji120][emoji120][emoji120]
Naona wewe ni conspiracy theorists..no need for further discussion with you on this topic.Tusiongopeane, kundi kama la Al shabbab wanao uwezo wa kuhold territory popote na kuanza mashumbulizi from that point tena from there itategemea na Jshi la nchi husika how they can regain that territory back au ni question of WHEN? tu.Sema Hawana hio agenda, Agenda yao hapo kwenu ni kuwatandika kwa kuwakera ardhini mwao.
Nawalinganisha na ISIS kwa sababu case ya TZ inamfanano kidogo. Maana kuna watanzania wanashirikiana nao na pia wameclaim kuwa ndio lengo lao. Kumbuka sisi hatujawafuata huko msumbiji wala huko Somali, sio tumekaa na siasa zetu za ndani tu. Kwaio hawawezi kusema kuwa ati wanatupiga kwa sababu na sisi tuliwapiga ama tumewaharibia mipango yao huko walipo.
Afu mzee, Ishu ya Iraq, kweli kuna vita vya usunni na ushia, ila ISIS ni next level, hawa jamaa wana attack wote, Sunni na shia hawabakishi kama huna itikadi sawa na ya kwao.
Kumuingiza USA kwenye hii ishu ni kosa naona. You cant trust the guy who aided dictators in Africa who were killing their own people and they knew about it. Same guy aided Al qaeda in war against Soviet. USA anatizama maslahi yake tu, na naamini hivi vikundi, yeye ni supplier wa silaha ila hapo utakuta unatumika mgongo wa private contractor ili asijulikane kama yupo directly involved. Hii vita inakuwa ngumu kwa sababu ya kukosekana mashirikiano baina ya raia na serikali, na hii huenda ikawa kwa sababu Serikali imekuwa ikiwanyanyasa raia wake kiasi kwamba they dont bother to give out information and they just want the government gone. Hapa bothe raia na serikali naona wanamakosa. Kwa sababu in this situation, although raia wana differences na serikali yao, lakini walitakiwa kuungana kumaliza external enemy. Lakini unakuta bado Syria government ina bomb civilians!!! Russia alivoanza kupeleka vikosi vyake, tumeshuhudia ISIS ikiumizwa sana, wa Kurds walivoanza kupata Silaha, wamewamaliza kwenye maeneo yao. Kweli USA hawezi kuwamaliza hawa jamaa ama ana maslahi yake? Vita mashariki ya kati inahitaji jicho pana, the region should never experience Peace mpaka pale they recognize Israel. The situation in Middle East is more of Politics rather than army capabilities.
Hajui kwanini watu huwa wanawacheka. Kutwa kukaa na kujigamba na kudharau wenzao, sasa yakimkuta kwanini asichekwe?huyu ni mmoja wao,msome kwa utulivu utagundua.