Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio kilaza na nyangau haswa!Endelea kukariri kama zombie.
Wasomi wazawa wakenya hao na wao wamejenga vitu vyao walivyosomea kutoka ktk vyuo vyao bora kabisa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kweli Kenya nchi ya walevi huu upuuzi uwezi ukuta TANZANIA popoteTunakili kubwa...nyenyenye kwa field mambo ndio haya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushuzView attachment 1527750View attachment 1527751View attachment 1527752
Ukisikiliza data zao utazani wako mbali kumbe niushuzi mtupu....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wasomi wazawa wakenya hao na wamejenga vitu vyao walivyosomea kutoka ktk vyo vyao bora kabisa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kweli Kenya nchi ya walevi huu upuuzi uwezi ukuta TANZANIA popote
Wacha utani buda.
Unajua wakenya wamealibiwa Sana na mapambio ya viongozi wao. Kuna mkenya nilikuta fb linajinasibu wao wako juu hata pesa yao ina Thamani kuliko TANZANIAUkisikiliza data zao utazani wako mbali kumbe niushuzi mtupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wao hawadeal na wasiokua na akili wanasoma kwaajili ya kupambana na mataifa makubwa kama marekan, Uk China sio TANZANIA na ndio maana wanashindwa kwasababu hawajasomea mataifa dhaifu maana mbinu zao kubwa kubwa tu ndogo ndogo hawana ila huo mtaala ndio utawekwa awamu ijayo.
Hiyo Elimu imewasaidia vipi wakati
- mna madeni makubwa ya China
-SGR mmepigwa na wachina... inaleta hasara mwanzo mwisho
-Bandari ya Nairobi wachina ndio kila kitu pale
- Mmelazimishwa kupewa mkopo na mabeberu kwaajiri ya kupambana na coronavirus, ili hali nchi nyingine zimesamehewa
- 70% ya Maghorofa Nairobi yanamilikiwa na wageni... elimu yenu ni kutawaliwa
- Watu wanajimilikisha Ardhi kubwa sana, wakati wananchi wengine wanabanana Kibera hakina Ardhi
- Ardhi yenu kame sana, Mmeshindwa kufanya kilimo cha Umwagiliaji, hapo Elimu yenu Imewasaidia nini?
[emoji3][emoji3]
Kweli we huna akili unadhani Aman ilikuja Kwa bahati mbaya bila ya akili hata hiyo ardhi kuwa nayo Kwa kua tulikua tunayo akili toka zaman ndio maana tunayo ila ninyi hamna Kwa kua elimu yenu haina uwezo wa kuona mbaliSi nyinyi mtumia elimu yenu mjiondoe kwenye umaskini, Ardhi mko nayo, Madini, Amani , Maji ya kutosha...
Akili tu ndiyo mmekosa ...
Kweli we huna akili unadhani Aman ilikuja Kwa bahati mbaya bila ya akili hata hiyo ardhi kuwa nayo Kwa kua tulikua tunayo akili toka zaman ndio maana tunayo ila ninyi hamna Kwa kua elimu yenu haina uwezo wa kuona mbali.
Kwani umeambiwa TANZANIA inashindana? TZ haina kawaida ya kushindana na ndio maana unaona hata kuhusu korona imechukua msimamo wake hatuna haja ya kushindana kutokana na misimamo ya kipekee ndio maana unaona TANZANIA ndio Taifa pekee lenye Aman na sio katika ukanda huu tu bali Afrika nzima.Ha ha ha Kenya haishindani na Tanzania kaka, isi tunalenga juu yetu, Morocco, Egypt , South Africa etc. Kwa nini tujilinganishe nanyi?
hata Kenya ichomeke yote, Tanzania itakuwa ile ile, mtafurahia siku mbili tu halafu maisha yenu ya kawaida yaendelee.
This clout chasing by standing along-side Kenya and showing muscle is just a testament that we are ahead of you.
how comes you don't do the same shit with Rwanda, Burundi, Uganda?
Ila we ugulia maumivu tu kipindi TANZANIA inachukua miliki zakeHa ha ha Kenya haishindani na Tanzania kaka, isi tunalenga juu yetu, Morocco, Egypt , South Africa etc. Kwa nini tujilinganishe nanyi?
hata Kenya ichomeke yote, Tanzania itakuwa ile ile, mtafurahia siku mbili tu halafu maisha yenu ya kawaida yaendelee.
This clout chasing by standing along-side Kenya and showing muscle is just a testament that we are ahead of you.
how comes you don't do the same shit with Rwanda, Burundi, Uganda?