vulcan
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,742
- 2,459
We don't care man... mchukue msichukue hiyo shida yenu kaka. Nenda uambie Magufuli hayoIla we ugulia maumivu tu kipindi TANZANIA inachukua miliki zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We don't care man... mchukue msichukue hiyo shida yenu kaka. Nenda uambie Magufuli hayoIla we ugulia maumivu tu kipindi TANZANIA inachukua miliki zake
We don't care, hata sisi tuna misimamo yetu.Kwani umeambiwa TANZANIA inashindana ? TZ haina kawaida ya kushindana na ndio maana unaona hata kuhusu korona imechukua msimamo wake hatuna haja ya kushindana kutokana na misimamo ya kipekee ndio maana unaona TANZANIA ndio Taifa pekee lenye Aman na sio katika ukanda huu tu bali Afrika nzima
Hahaa! 😀 Majirani wanamwaga povu sio mzaha, utadhani povu ndio litaboresha vyuo vyao. Alafu hata povu lenyewe ni la kipumba tu, haliendani na mada wala hoja ambazo ndio zinafaa ziwe zinajadiliwa kwenye uzi huu. Kama kawaida wengi wao hawajaichambua taarifa yenyewe. Sio jambo la kushangaza lakini, maanake asilimia kubwa ya hawa vinyangarika ni vibendera fuata upepo na hawana uwezo huo.Huu uzi ukifika kurasa kumi za povu za Watanzania naomba mnitag, nitatoa zawadi kwa kila mchangiaji, endeleenu kuuvuta.
Si ni kweli, hata hilo libongo lako lala linatambua.Unajua wakenya wamealibiwa Sana na mapambio ya viongozi wao . Kunalikenya nililikuta fb linajinasibu wao wako juu hata pesa yao ina Thamani kuliko TANZANIA
We panic tu bro ila ndo hivyo tena uwezi kubadili kaniki kua nyeupe itabid tu ukubaliane na hali.We don't care man, mchukue msichukue hiyo shida yenu kaka. Nenda uambie magufuli hayo
Hawa watakuja kufanikiwa Ile siku wataacha uchawi wivu na majungu.Wamependa kulalamika sana na kutoa excuses Mara Kenya ooh sijui mabeberu watu ovyo sana🤮Hatujisifii. Tunasifiwa na ulimwengu. Sio sisi tumeandika hio ripoti. Nenda kalilie chooni basi kama hupendi.
Just because Magufuli said there's no corona in Tanzania because of miracles? 😂 😂Akili kubwa inapimwa kwa uwezo wa kutatua matatizo yanayoikabili jamii.
COVID amewapiga chembe kidevu miezi mitano sasa hamfurukuti saa 1 jioni mko majumbani kama kuku then mnajishaua akili kubwa?😁.
Sasa mbona maengineers wenu wanaangusha maghorofa na madaraja wanayojenga.Hehehe mnavyotokwa udenda inadhihirisha kwanini hamsikiki kwenye chochote kinahusu elimu, tutaendelea kuwakalia sana tena kwa muda mrefu ujao.
My comment has nothing to do with Magufuli!Just because Magufuli said there's no corona in Tanzania because of miracles?? 😂 😂
Dah, hao engineers ni noma sanaTunakili kubwa...nyenyenye kwa field mambo ndio haya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1527750View attachment 1527751View attachment 1527752
Juu ya elimu yote bado hakuna food securityThe University of Nairobi has been ranked the top institution in East Africa and number 10 in Africa by the Webometrics ranking.
[emoji1][emoji1][emoji1] Yaani hadi walikuwa wamejipanga kwasababu ya watu wenye uelewa wa ajabu ajabu kama wako. Jisomee mwenyewe..."The Ranking Web is not a ranking ofRanking by web content unashangilia hivyo duh Ranking by publication au citation impact ndio Ina heshima sio web content.
Nani kaandika ni rank ya university websites? Soma vizuri comment yangu usikurupuke kuquote hovyo[emoji1][emoji1][emoji1] Yaani hadi walikuwa wamejipanga kwasababu ya watu wenye uelewa wa ajabu ajabu kama wako. Jisomee mwenyewe..."The Ranking Web is not a ranking of
the websites of Universities, it is a
Ranking of Universities. It uses both
webometric (all missions) and
bibliometric (research mission)
indicators."... Noma sana, hakuna pa kupenyeza jombaa. [emoji38]
Nani kaandika ni rank ya university websites? Soma vizuri comment yangu usikurupuke kuquote hovyo
Acha kuruka ruka bila formular, soma nilichonukuu kwa umakini ..."The Ranking Web is not a ranking ofRanking by web content unashangilia hivyo duh
Ranking by publication au citation impact ndio Ina heshima sio web content.
Inachekesha pale tunaambiwa kwamba Tanzania, a Third World country, haina corona wakati ambapo hata China where the virus started from, is still reporting cases despite of its advanced healthcare system. Mizombie ni mizombie tu!Ujamaa ni laana, watu wote wanashikiliwa akili, kiongozi akisema hakuna malaria wote wanaamini papo hapo.
Hata ukilia mpk uzimie, upige kelele mpk ujinyee, upaze sauti mpk ikauke but haitaondoa ukweli kwamba Tz hakuna covid-19 [emoji3][emoji3][emoji3]Inachekesha pale tunaambiwa kwamba Tanzania, a Third World country, haina corona wakati ambapo hata China where the virus started from, is still reporting cases despite of its advanced healthcare system. Mizombie ni mizombie tu!