Akili kubwa - Kama kawaida chuo cha Nairobi chaongoza EAC na Afrika ya Kati

Akili kubwa - Kama kawaida chuo cha Nairobi chaongoza EAC na Afrika ya Kati

Hata Kikikuyu poa tu, kimsingi uandike vizuri ukiwa na nia ya kufahamisha, sio unaandika uharo halafu hautaki kurekebishwa.
kurekebisha ni mpaka uwe unajua, vinginevyo utafanya vituko zaidi.
 
Unapaswa utumie lugha unayoifahamu vizuri humu, maana kusudi lako ni tukuelewe, sasa uking'ang'ania kingereza (ilhali kinawapiga chenga) na kuandika pumba, unaishia kutuchanganya.

Sustainable development is for the united and intergrated nation. We are predicted of a good future economic prosperity.

English doesnt create any of that? only hardworking, good plans and good management systems.

And One day, we will provide aids to your people as good friends and we will be good teachers to your generation
 
Mimi Mtanzania ila kwa kweli kwa kila kitu tupo nyuma labda kwa Corona tu ndio tumewashinda kenya nayo pia hatujajua maana huenda tumeficha makaa ya moto kwenye mifuko ya suruali.
Chunga sana usinyang'anywe uraia wako wa kitanzania na watanzania wenzako na kuitwa mkenya. Mwishowe utatupiwa mitusi
 
Akili kubwa wapi bana

FB_IMG_1596047787038.jpg
 
Sustainable development is for the united and intergrated nation. We are predicted of a good future economic prosperity.

English doesnt create any of that? only hardworking, good plans and good management systems.

And One day, we will provide aids to your people as good friends and we will be good teachers to your generation

Uuuuiiii.... sisemi kitu tena.... eti "we will provide aids to your people".... kwaheri ndugu maana hatari sasa.
 
Mimi Mtanzania ila kwa kweli kwa kila kitu tupo nyuma labda kwa Corona tu ndio tumewashinda kenya nayo pia hatujajua maana huenda tumeficha makaa ya moto kwenye mifuko ya suruali.
We kichaa kweli
Kenya hii itushinde?

Hii kuzimu? Mtanzania gani anaishi maisha ya jehanamu namna hii?

Hiyo elimu imewakomboaje kama 60% ya wakenya wanaishi hivi?

 
Should we have a friendly exam between UoN & UDSM so as to proove your research?
Wachana na friend exam wanafunzi wa vyuo vikuu vya Kenya kwenye student exchange program wakija UDSM mbona huwa wanalia.waulize Nani Yuko tayari Kama watajitokeza.
 
We kichaa kweli
Kenya hii itushinde?

Hii kuzimu? Mtanzania gani anaishi maisha ya jehanamu namna hii?

Hiyo elimu imewakomboaje kama 60% ya wakenya wanaishi hivi?

Unaweka hii picture ukafikiri ndio umeishinda kenya hata tz wako azidi ya hapo enda vijijini humo ndani ndani tabu kuliko hio picture hapo usijidanganye. Kwani ukisema hunà matatizo na unàyo ndio umetatua?
 
Elimu ambayo imeshindwa kuzaa maarifa itakusaidia nini wewe? Hao maprofessor wa UoN wamefanya tafiti gani mahsusi kuwasaidia peasants wa Kenya waachane na kilimo cha hasara hasa upande ule wa Kaskazini mwa Kenya ambako ni jangwa tupu.

Tuchukulie mfano nchi ya Israeli ambayo nayo ina sehemu kubwa ya jangwa kama Kenya. Wao wamekuja na technology ya greenhouse farming ambayo inawasaidia watu wao kufanya kilimo cha umwagiliaji kwa maji kidogo sana.... Kwahiyo, elimu yao imezaa maarifa ya kuwasaidia watu wao na dunia kwa ujumla. Hawa wakiringa ni sawa, sio nyie Kenya!
 
Unaweka hii picture ukafikiri ndio umeishinda kenya hata tz wako azidi ya hapo enda vijijini humo ndani ndani tabu kuliko hio picture hapo usijidanganye. Kwani ukisema hunà matatizo na unàyo ndio umetatua?
leta video ng'ombe wewe. hivi mkiona tunapiga kelele juu ya ufala wenu mnadhani tunapenda au tunafurahi!!!

tunataka mchukue hatua, wabunge wako busy kujiongezea posho wakati upande mwingine wa wakenya [emoji631] USAID wanawafanyia ubinaadam tu msife.
 
Unaweka hii picture ukafikiri ndio umeishinda kenya hata tz wako azidi ya hapo enda vijijini humo ndani ndani tabu kuliko hio picture hapo usijidanganye. Kwani ukisema hunà matatizo na unàyo ndio umetatua?
We mjalana sio mtanzania kima we !! Mtanzania gani anaongea Kiswahili cha [emoji205][emoji205][emoji205] eti mi mtanzania , unazan TANZANIA kama hiyo nchi yenu iliopoteza muelekeo chakula tu mpaka mutegemee upande wa pili
 
We mjalana sio mtanzania kima we !! Mtanzania gani anaongea Kiswahili cha [emoji205][emoji205][emoji205] eti mi mtanzania , unazan TANZANIA kama hiyo nchi yenu iliopoteza muelekeo chakula tu mpaka mutegemee upande wa pili
Kalishe ndugu zako kijijini waache kula mafi jinga
 
University of Dar es Salaam, used to lead the regional till they separated with MUHAS. They will be on top after another 10-20 yrs when their Mbeya Medical Campus is in full swing.
 
udsm zamani kidogoo ilikuwa vizuri....sasa hivi vijana pale wanaendeleza ngono zembe tuu!! zero kabisa..
 
Inachekesha pale tunaambiwa kwamba Tanzania, a Third World country, haina corona wakati ambapo hata China where the virus started from, is still reporting cases despite of its advanced healthcare system. Mizombie ni mizombie tu!
Sio inachekesha, be real, roho inawauma, ni wivu mnasikia, u wish u had our guts.
Wewe kuna mtu unamfaham amekufa kwa corona huko kwenu
 
Unaweka hii picture ukafikiri ndio umeishinda kenya hata tz wako azidi ya hapo enda vijijini humo ndani ndani tabu kuliko hio picture hapo usijidanganye. Kwani ukisema hunà matatizo na unàyo ndio umetatua?
Punguza pumba
Leta ushahidi kama wapo watanzania wanaoishi hivyo
 
Hiyo Elimu imewasaidia vipi wakati
- mna madeni makubwa ya China

-SGR mmepigwa na wachina... inaleta hasara mwanzo mwisho

-Bandari ya Nairobi wachina ndio kila kitu pale

- Mmelazimishwa kupewa mkopo na mabeberu kwaajiri ya kupambana na coronavirus... ilihali nchi nyingine zimesamehewa

- 70% ya Maghorofa Nairobi yanamilikiwa na wageni... elimu yenu ni kutawaliwa

- Watu wanajimilikisha Ardhi kubwa sana, wakati wananchi wengine wanabanana Kibera hakina Ardhi

- Ardhi yenu kame sana, Mmeshindwa kufanya kilimo cha Umwagiliaji, ... hapo Elimu yenu Imewasaidia nini????

[emoji3][emoji3]
Umemaliza kila kitu mkuu...
 
Back
Top Bottom