Akili kubwa - Kama kawaida chuo cha Nairobi chaongoza EAC na Afrika ya Kati

Akili kubwa - Kama kawaida chuo cha Nairobi chaongoza EAC na Afrika ya Kati

Kushindana na Kenya ni kujidhalilisha tu!

Hivi hapo Kenya kuna elimu gani tofauti na hako kakizungu kao koko cha kubabaisha!?

Tulidanganywa sana kwamba ati Kiingereza ndio elimu bora, kiasi kwamba hata waokota makopo wa Kibera wakapata jeuri ya kujilinganisha na daktari wa kupasua ubongo wa muhimbili kisa tu ati anaongea Kiingereza. Hahahah

Hii kasumba haipo tena na tunapoelekea tutakifuta kabisa Kiingereza tutumie Kiswahili kwenye mitaala yote na wahitimu wetu wajiamini na wajivunie Kiswahili.

Elimu ya kwenye takwimu hiyo haina msaada wowote. Mnahitaji elimu ya kupambana na njaa, ukame na umasikini, sio kuja na vitakwimu vya kuokoteza facebook huku mijitu inakufa kwa unyafuzi na Kipindupindu.

Unakaa kaa hapo hovyo hovyo unababaika na vizungu vya kijaluo badala ya kushughulika na MATATIZIO HALISI uko bize unaokota okota vitakwimu visivyo na ithibati!

Ati elimu bora! Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii bhaghosha!!
 
Punguza pumba
Leta ushahidi kama wapo watanzania wanaoishi hivyo
Wewe mwenyewe unaishi hivyo kwa majibu yako hayo tu ni kudhihirisha kiakili uko hivyo unakuwaje na jazba na mtu hujawahi kumwona kama sio kupungukiwa akili
 
We mjalana sio mtanzania kima we !! Mtanzania gani anaongea Kiswahili cha [emoji205][emoji205][emoji205] eti mi mtanzania , unazan TANZANIA kama hiyo nchi yenu iliopoteza muelekeo chakula tu mpaka mutegemee upande wa pili
Mimi mjalana ila umenizidi kidogo pia wewe na mamako mmenizidi kidogo ukima maana kama unaweza mwelewesha kima mwenzako kuwa sio mtanzania huoni umenizidi ukima?
 
leta video ng'ombe wewe. hivi mkiona tunapiga kelele juu ya ufala wenu mnadhani tunapenda au tunafurahi!!!

tunataka mchukue hatua, wabunge wako busy kujiongezea posho wakati upande mwingine wa wakenya [emoji631] USAID wanawafanyia ubinaadam tu msife.
Wewe Ngombe ulienizidi na fala aliyezidi hio video iangalie vizuri ni ya tanzania imehaririwa tu
 
Huu uzi hadi sasa haujafika kurasa kumi, Watanzania mnakwama wapi na povu zenu, endeleeni kushibisha huu uzi.....tumewazidi kwa elimu, kijeshi, kiuchumi, uchapa kazi....haya povu ziendelee.
 
Huu uzi hadi sasa haujafika kurasa kumi, Watanzania mnakwama wapi na povu zenu, endeleeni kushibisha huu uzi.....tumewazidi kwa elimu, kijeshi, kiuchumi, uchapa kazi....haya povu ziendelee.
mmetuzidi kila kitu kwa kweli[emoji16][emoji16]

ila tukikohoa kidogo EA nzima inatega masikio(big bro anongea), wakati huo nyang'au zinazima taa kabisa.
 
mmetuzidi kila kitu kwa kweli[emoji16][emoji16]

ila tukikohoa kidogo EA nzima inatega masikio(big bro anongea), wakati huo nyang'au zinazima taa kabisa.

Niliwaaambia nyie ni mfano wa kaka mkubwa kijijini aliyebaki huko, huwa hana mbele wala nyuma, wadogo zake wote wameelimika na kwenda kufanya makubwa mjini na husafiri kwenda kuwasabahi wazazi kijijini huku wakiendesha magari ya kifahari, kikao kikifanyika cha wanafamilia inabidi lazima yule kaka mkubwa aalikwe ili kudumisha heshima tu lakini likiongea huwa ni pumba, kazi mipombe tu na udenda.
 
Niliwaaambia nyie ni mfano wa kaka mkubwa kijijini aliyebaki huko, huwa hana mbele wala nyuma, wadogo zake wote wameelimika na kwenda kufanya makubwa mjini na husafiri kwenda kuwasabahi wazazi kijijini huku wakiendesha magari ya kifahari, kikao kikifanyika cha wanafamilia inabidi lazima yule kaka mkubwa aalikwe ili kudumisha heshima tu lakini likiongea huwa ni pumba, kazi mipombe tu na udenda.
sijui mimi mfano wako ni relative au ni wa kujibu niliotoa.

twende hivi, ni kaka wa kijijini aliyefanikiwa hapo hapo kijijini na kisha kusaidia wazazi wake na wanakijiji wengine, tofauti na madogo ambao wana magari ila wanafata chakula kijijini kila mwezi, na hawana msaada kwa wazazi.

hatujui magari wamepewa wauzie sura au ni kweli wamenunua kwa pesa zao.
 
sijui mimi mfano wako ni relative au ni wa kujibu niliotoa.

twende hivi, ni kaka wa kijijini aliyefanikiwa hapo hapo kijijini na kisha kusaidia wazazi wake na wanakijiji wengine, tofauti na madogo ambao wana magari ila wanafata chakula kijijini kila mwezi, na hawana msaada kwa wazazi.

Watoto wake wamekua omba omba, yeye mzembe wa kutupwa.
 
Watoto wake wamekua omba omba, yeye mzembe wa kutupwa.
ombaomba wamewafuata baba zao wadogo mjini kwa kudhani sasa wanakwenda kurudi na magari[emoji3][emoji3][emoji3]. bad enough baba zao wadogo nao wazururaji tu huko mjini hawana mbele waka nyuma, wakitaka kurudi home wanakodi magari ya kifahari waje kutanua villa.

imekuwa taabu hata kuwapa nauli watoto wa kaka yao warudi kijijini wameshindwa, hata kuwabeba kwa gari za kuazima imekuwa ishu maana mkataba na mwenye yard gari isibebe mzigo[emoji23][emoji23]
 
ombaomba wamewafuata baba zao wadogo mjini kwa kudhani sasa wanakwenda kurudi na magari[emoji3][emoji3][emoji3]. bad enough baba zao wadogo nao wazururaji tu huko mjini hawana mbele waka nyuma, wakitaka kurudi home wanakodi magari ya kifahari waje kutanua villa.

imekuwa taabu hata kuwapa nauli watoto wa kaka yao warudi kijijini wameshindwa, hata kuwabeba kwa gari za kuazima imekuwa ishu maana mkataba na mwenye yard gari isibebe mzigo[emoji23][emoji23]

Wanaukimbia umaskini wa baba yao kijijini, yeye mwenyewe anaishi kwa kutegemea misaada.
 
Wanaukimbia umaskini wa baba yao kijijini, yeye mwenyewe anaishi kwa kutegemea misaada.
ndio muwatoe kwenye lindi la omba omba sasa nyinyi si middle income, inakaaje na omba omba bana[emoji1787][emoji1787]
 
Kenya lazima mtakuwa mnaongoza kwa mambo flani.
1. Kutokana na hali ya hewa inayowapendeza Mabeberu, Wakoloni weupe waliigeuza Kenya kuwa makazi yao. Na kuanzisha Uchumi Mkazi yaani Settler Economy.
Mabeberu waliwekeza kwa Wingi kenya ikiwa pamoja na Sekta ya Elimu na wao ndio wanaofanya Uhakiki wa Ubora wa Elimu na hawawezi kujidondosha.
2. Masettler hawa waliwekeza miradi bora kabisa yaani Viwanda vya kiwango bora kutokana na kuwa na teknolojia bora. Ndio maana bidhaa za Kenya zina Ubora kupita za majira wake.
3. GDP ya Kenya ni kubwa kutokana na uwekezaji wa awali kabisa wa Mabeberu, hivyo pato la Kenya liko Juu.
4. Asilimia kubwa ya uchumi wa Kenya unawanufaisha Mabeberu.

5. Wakati Tanzania tupo na Siasa za Ujamaa na Kujitegemea, Kenya waliruka kutoka maisha ya Ujima hadi Ubepari. Wakati Watanzania tunahangaika na Kilimo cha jembe la mkono Kenya tayari walikuwa kwenye Uwekezaji wa Viwanda. Habari ya Vijiji vya Ujamaa haikuwepo Kenya.

Wakati Tanzania tumepitia hatua zote za Uchumi yaani kuanzia Ujima, Ukabaila, Ujamaa, Ubepari. Kenya walipitia hatua ya Ujima na kurushwa hadi Ubepari.
Hali hii ndio inayoweka Kenya kuwa juu Kiuchumi. Lakini kadri siku zinavyozidi kupita Tanzania inaenda kasi zaidi katika maendeleo ya kiuchumi na siku za Usoni itaifikia na kuipita Kenya.
Pia zile hatua za kiuchumi ilizopitia Tanzania zimeimarisha hali bora ya wananchi wake ndio maana Watanzania walipata fulsa ya kuamua mambo yao ya msingi kama.
1.Kuondoa Ukabila.
2.Kuitunza Ardhi yao kwa vizazi vijavyo na kuifanya iwe ya Umma.
3. Kuhifadhi maliasili zao kama Madini, Misitu, Mbuga (kama Selous ambayo ni kubwa kuliko zote barani Afrika na haijafunguliwa bado)

Kenya hawakupata mda wa kufanya maamuzi mazuri kiuchumi kama haya kwakuwa Masettler walijimilikisha bila ridhaa ya wakenya wengi Ardhi yote ikiwemo na maliasili zake kama madini, misitu, maji nk.

Hivyo hakuna namna siku chache za usoni Tanzania itaipiku Kenya kwa kiwango kikubwa sana. Utajiri wa Wakenya ushagawiwa kwa watu binafsi. Vizazi vijavyo vya Kenya vitakuja kuishi Kitumwa kwakuwa havitakuwa na ardhi, ardhi yote umeuzwa kwa Mapepari. Watabakia na Mbuga za wanyama tu, nazo wanaweza kuziuza kwa mabeberu siku za usoni.

Amini nawaambia siku zijazo Wakenya wengi mtakimbilia Tanzania kuomba uraia. Ili mpate mtaji wa kujitegemea. Wakenya wengi hawana furaha, ni Wakali na hata kama hajaenda shule anajiona anajua kila kitu.
Wakenya mna dharau na mnajiona sana, nimeishi nanyi sana, hamna upendo kama waTZ. Ukabila ni matokeo kukosa upendo kwa jirani.
Hii inatoka na ugumu wa Maisha na kukata tamaa, na kujifananisha na Wazungu hadi mnakataa kuzungumza lugha yenu mama na kutumia Kiingereza.

Kwa leo naishia hapa
 
Sio inachekesha, be real, roho inawauma, ni wivu mnasikia, u wish u had our guts.
Wewe kuna mtu unamfaham amekufa kwa corona huko kwenu
I wish I could be jealous of Tanzania. As things stand, I am not and I don't think I ever will coz we are miles ahead of you in virtually everything. Speaking of corona, I have a relative who tested positive and luckily he recovered. News of people dying of corona is all over the place with the latest being Papa Shirandula. We don't sugar coat like you do it down there mate. Adios!
 
waswahili na elimu wapi na wapiiii! jamani waonewe huruma tuu...hostel nyingi vyuoni tz ni madanguro tu ...zero kabisa!
 
Mimi mjalana ila umenizidi kidogo pia wewe na mamako mmenizidi kidogo ukima maana kama unaweza mwelewesha kima mwenzako kuwa sio mtanzania huoni umenizidi ukima?
[emoji3][emoji3][emoji3] naona unatamaani kuwa MTZ wewe utabaki kua nyang'au[emoji205] tu hata ukipaniki
 
Back
Top Bottom