Akili yangu inawaza kufa kufa tu, nafikiri nina siku chache kwenye hii dunia

Akili yangu inawaza kufa kufa tu, nafikiri nina siku chache kwenye hii dunia

Pole sana kwa changamoto zote unazopitia lakini naomba uchukue muda na utafakari jinsi uhai ulivyokua ni zawadi kutoka kwa Mungu na pia jiulize je mama yako atafurahi huko akiona unawaza mambo ya kufa, jitahidi kujichanganya na watu avoid kutumia muda mwingi peke ako na jaribu kujiweka busy na kazi au kitu chochote usiwe idle
Mbona mimi napenda kukaa peke yangu na sijawahi kutamani kufa [emoji28][emoji28]
 
Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea

After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile

Jamii forums member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta

" bye bye"
Hapa ndani kuna watu wazima wengi wa kuongea nao na utasaidika.
Brother Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume njoeni tafadhali mtoe msahada.
 
Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea

After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile

Jamii forums member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta

" bye bye"
Pole mkuu.

Hiyo pesa ulipata kihalali?
 
Hivi inakuaje mtu anakuwa na pesa harafu Bado anakosa namna ya kujichanganya ?

Mbona hainiingii akilin ....

Mim nikiwa na pesa Moja Kwa Moja nakuwaga na furaha,maana nakuwa na vibe hatari ,maneno kibao ,mikwala mingi ,maeneo yote niliyokuwa nahofia kwenda naenda na confidence hali ya juu,kila kitu naona nakimudu ,hata hamisa mobeto nikimuona namtongoza yaani hio ni vibe la kuwa na pesaaa tu hata laki Moja .......

Sasa nyie wengine Hadi mnapesa za magari et mna stress [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hayo mengine naona mnajitakia wenyewe ...
Kabisaaa. Binafsi ki ukweli starehe yangu ni kuwa na hela,,asa mtu una hela halafu bado una sonona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea

After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile

Jamii forums member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta

" bye bye"
Pole sana.Kumbe wewe mshirikiana. Hayo majonzi yako ni kutokana na kufiwa na mama.Si unasema una pesa mbona unamuwaza sana Mama kama kwamba hukuumbwa na Allah.Kama ni hivyo huenda ukaishi miaka mingi zaidi ili ama uteseke kwa ushirikina wako au uzinduke umkumbuke na kumtegemea Allah s.w pekee.
 
Back
Top Bottom