Akili yangu inawaza kufa kufa tu, nafikiri nina siku chache kwenye hii dunia

Akili yangu inawaza kufa kufa tu, nafikiri nina siku chache kwenye hii dunia

Kumbe Tupo wengi…

For now I’m thinking about knife through jugular vein while having kitanzi . Last time huu mshipa wa Damu mkononi haukujibu.
Michongo yote inakataa, Furaha haipo, unasakamwa kila muda. Kama Nina gundu la maisha vile. Akili inaganda. I’m thinking about starting weed these weeks before I depart. Nimechoka…
Kuna nyimbo mbili zinanipa matumaini POS- SUECO na beyond the realms of death [emoji88]

Kila siku tunaambiwa tujipambanie em na me nijipambanie niweze kufuta Hii physical body…
 
Usiogope kufa tu mbinguni kuna makao mazuri sana. Tena uzuri ukifa utaenda kukutana na mama yako huko mtaendeleza kuambiana mambo yenu sawa eehh dunia tuachie sisi tusio na stress wala makwazo
 
Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea

After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile

Jamii forums member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta

" bye bye"
1. Umeishatoka London:
2. Je, aliyekulia mke wako vipi?

3. Ingawa siku iliyotangulia ulisema huna mke:


4. Mwanzo wa Mwaka ulikuwa ukiishi Marekani.


Niendelee kukuumbua?
 
Ili ujue kama umekufa inabidi uwe hai na ukiwa hai wewe haujafa;
Nimesema kulala ni nusu ya kufa...

Ila kufa ni zaidi ya kulala, akili ya mwanadamu haiwezi kuelezea matukio yanayotokea huko baada ya mtu kufariki.

Ila vitabu vya dini na muongozo kutoka kwa Mungu ndio tunatakiwa tuuamini na Muongozo wenyewe ni mmoja tu nao ni uislamu.

Maana kuna mambo mengi ambao tunayo ila kiuhakika hatuwezi kuyadhibiti.

Hivi unaweza kuniambia akili ni nin?
Nani aliyewahi kuiona akili na ni rangi gani?

Kwanini huyu tunasema ana akili na huyu mwendawazimu?

Vivyo hivyo kifo inatubidi tuyakubali tu maandiko!!

Maana hata hii kuumbwa kwetu ni miujiza, kuzaliwa kwetu hadi kufa kwetu.

''Ametukuka Allah mbora wa uumbaji''~Qur'an
 
Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea

After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile

Jamii forums member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta

" bye bye"

Sasa si tutafutane tuwe tunapiga story Urudi kwenye reli
 
Ata ukifa taifa hatuna hasara, wenye hasara ni jamii yako inayo kuzunguka. Jaribu kupambana na roho ya umauti ikikushinda tangulia ukiishinda endelea kuishi
 
1. Umeishatoka London:
2. Je, aliyekulia mke wako vipi?

3. Ingawa siku iliyotangulia ulisema huna mke:


4. Mwanzo wa Mwaka ulikuwa ukiishi Marekani.


Niendelee kukuumbua?
Endelea
 
1. Umeishatoka London:
2. Je, aliyekulia mke wako vipi?

3. Ingawa siku iliyotangulia ulisema huna mke:


4. Mwanzo wa Mwaka ulikuwa ukiishi Marekani.


Niendelee kukuumbua?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom